Kumbuka anakinga ya kutoshitakiwa kwa matende yake akiwa mmlakaniWewe Ni msimamizi Mkuu wa Haki Tanzania. Kauli kuwa "muda wao umekwisha" Ni ya kukandamiza haki ambayo umeapa kuilinda. Kama ulivyoshindwa kijizuia kutoa kauli ya bitisho, mbaya Kama hiyo, Basi na mawakili wako wameshindwa kijizuia.
Jitafakari nafasi uliyoishikilia.
Pili angalia usafi wa Majaji wako.
Kwenye maadili ya uwakili kuna kitu kinaitwa wajibu kwa wakili mwenzako na wajibu kwa mahakama, Jaji Mkuu alilrnga haya sana sana mawakili wamemuelewa vyema.
Wakili ni afisa wa mahakama na anawajibu kama afisa wa mahakama na pia ana wajibu kwa taaluma na wakili mwenzake.
Pale ni baba alikuwa anaongea na wanawe usimshangae akiwakemea.
Kesho huwezi kuijua. Muulize Bashir wa Sudan na Ang Sung Suu Kyi wa Burmar..MyanmarKumbuka anakinga ya kutoshitakiwa kwa matende yake akiwa mmlakani
Kumbuka pia mkuu kuwa sheria siyo kitabu kitakatifu kutoka mbinguni maaana inatungwa na watawala tu.Kumbuka anakinga ya kutoshitakiwa kwa matende yake akiwa mmlakani
Kwani Jiwe hakuwa nayo?? Yuko wapi hivi sasa???Kumbuka anakinga ya kutoshitakiwa kwa matende yake akiwa mmlakani
Na yeye anatafuta "UDIKTETA" kwenye chombo chake.Hii ni kauli kali mno kutolewa na Jaji Mkuu, ambayo bila shaka imechagizwa na jazba, mimi nilidhani Mh Jaji Mkuu angejaribu kuangalia kufuatilia kisa cha majaji kushutumiwa mitandaoni badala ya kuwapiga mikwara watoa shutuma.
Matamshi ya aina hii ni ushahidi tosha kabisa kwamba nchi yetu imefikia pabaya sana, na kwamba njia pekee iliyobakia ni kuondoa hizi takataka kwa kila aina ya njia ziwezekanazo.Halafu watu wanashangaa kwanini cdm hawakwenda mahakamani baada ya uchafuzi Mkuu wa 2020. Jaji mkuu ndio huyo anatishia watu kuongea mtazamo wao kwenye uhuni unaoendelea mahakamani. Bila machafuko na kuonyeshana makali, sioni mifumo yetu ikirudi kwenye njia sahihi.
fanya hayo machafuko uonekane si uliliona lile komandoo la ukweli la jana? hilo siyo kama adamoo hilo likikukamata linakunyonya maviHalafu watu wanashangaa kwanini cdm hawakwenda mahakamani baada ya uchafuzi Mkuu wa 2020. Jaji mkuu ndio huyo anatishia watu kuongea mtazamo wao kwenye uhuni unaoendelea mahakamani. Bila machafuko na kuonyeshana makali, sioni mifumo yetu ikirudi kwenye njia sahihi.
wewe pekeyako ndiyo maiti sisi ni binadamu haiUkishaona Jaji mkuu katika nchi anagandamiza uhuru wa kujieleza pamoja na uhuru wa kutoa maoni jua hilo ni Taifa mfu ambalo wananchi wake ni maiti zinazotembea.
Inasaidia kitu gani iwapo hatuna uwezo wa kupaziba hapo panapovuja?Wacha iendelee kunyesha sisi tukague panapovuja
Duniani hapajawahikuwa fairNdg wananchi kama mlivyomsikia Jaji mkuu akiwalalamikia mawakili wa Mbowe kwamba kwanini wanawakosoa mawakili wa serikali mitandaoni,,,,,,,,Kumbe Jaji nae anatamani Mbowe afungwe.
Kuna haja gani kumtaja Jaji na Wakili mpaka anapoishi? Mnataka kwenda kumfanyia ugaidi au?MwanaHalisi Digital imemnukuu Jaji Mkuu wa Tanzania akikemea vikali tabia ya baadhi ya watu wakiwemo wanasheria ya kumkosoa Jaji au mwanasheria wa upande mwingine kiasi cha kumtaja kwa jina na picha yake, na wakati mwingine kutaja hadi mahali anakokaa.
Amekwenda mbali hadi kufikia kusema , wote wanaofanya hivyo wanafahamika na kwamba siku zao zimekwisha.
Hii ni kauli kali mno kutolewa na Jaji Mkuu, ambayo bila shaka imechagizwa na jazba, mimi nilidhani Mh Jaji Mkuu angejaribu kuangalia kufuatilia kisa cha majaji kushutumiwa mitandaoni badala ya kuwapiga mikwara watoa shutuma.
View attachment 2039314
======
JAJI Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahimu Juma amekubali na kuwasajili mawakili wapya 313 katika sherehe ya 65 ya kuwakubali na kuwasajili mawakili wapya iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Mawakili hao wanahusisha wanawake 170 na wanaume 143 ambao sasa wafanya idadi ya mawakili kufikia 10,749 kutoka 10,436 mwezi Juni mwaka huu katika orodha ya mawakili nchini.
Tukio hilo limefanyika leo Ijumaa, Desemba 10, 2021 katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam ambapo Prof. Ibrahimu Juma amewataka Mawakili hao kuwa na nidhamu na kufikiria mbali zaidi kuliko kusubiri ajira.
Maadili na viwango, hatupaswi kuwa na mawakili wasiokuwa na maadili, kosa moja la wakili linaweza kuzungushwa mitandaoni na kutuchafua na kuchukuliwa kama Tanzania nzima hatuna maadili. Endeleeni kupambana na mawakili vishoka.
Jaji Mkuu Profesa Ibrahim Juma amesema, ndani ya mwezi mmoja, baada ya kuanza kazi Kituo Jumuishi cha Temeke, asilimia 38 ya mashauri yaliyofunguliwa na mawakili, “yalirejeshwa kwao, makosa kama kutaja kifungu cha sheria. Majaji tuangalia la kufanya ili tusiwe tunawarudishia tu.”
Huko mitandaoni nawajua mawakili, hata majina yenu ya bandia nayajua na wengine wako ndani ya mahakama, wanamshambulia jaji kwa jina na picha au wakili wa upande wa pili. Tunawafahamu. Siku zao zimekwisha- Jaji Mkuu, Profesa Ibrahim Juma
Kukosoa hukumu hakuna tatizo. Nitafurahi hukumu zangu kama zitakosolewe, nitajifunza. Lakini saizi mawakili wanawakosoa majaji, mahakimu kwa majina na picha zao, mara anaishi wapi, hii haikubaliki na mawakili wa aina hiyo hawafai kuwa mawakili- Jaji Mkuu, Profesa Ibrahim Juma
Wewe ni maiti kwa sababu ungekuwa hai kwa kauli aliyotoa jaji, sasa hivi ninapoandika hapa huyo jaji asingekuwa kwenye nafasi hiyo ya ujaji.wewe pekeyako ndiyo maiti sisi ni binadamu hai
Mimi na wewe hatujui Bado , tuendelee kujadiliana huenda tukapata majibu.Na yeye anatafuta "UDIKTETA" kwenye chombo chake.
Nchii hii tunao watu wa ajabu sana. Huyu naye Profesa mzima, anadhani kutumia vitisho ndiyo njia sahihi ya kuondoa tatizo?
Kwa hiyo, anataka kufanya nini. Na yeye anao "WASIOJULIKANA" ili wawashughulikie hao anaowatisha?
Kwani waliombambikia walimfanyia wema🤔.Kuna haja gani kumtaja Jaji na Wakili mpaka anapoishi? Mnataka kwenda kumfanyia ugaidi au?
yaani unapoteza muda wakutafuta dagaa wa kula na familia yako inashinda njaa kisa kununua bandle uje ubishane jf mambo yasiyo na maana huyo mbowe akitoka atakusaidia nini?Wewe ni maiti kwa sababu ungekuwa hai kwa kauli aliyotoa jaji, sasa hivi ninapoandika hapa huyo jaji asingekuwa kwenye nafasi hiyo ya ujaji.