Kauli ya Jaji Mkuu Profesa Ibrahim Juma ni vema ikajadiliwa' ni kuhusu Mitandao ya Kijamii

Hamkuwa na ushahidi wowote zilikuwa propanganda tupu! Mlishindwa kihalali tu.

Hivi nyinyi mkishinda uchaguzi mtafuta kila mtu kwenye utumishi wa umma? Kwa sababu mmegombana na watu wote kuanzia vyombo vya dola, mahakama, bunge na wananchi wakawaida kila siku mnawaita wajinga sasa mtatawala wanyama au? Ndiyo maana tunasema nyinyi kutawala TZ labda baada ya miaka 3,000.
 
Hayo unayoyaona na kuyasikia hakika jua nyakati zimekaribia.
 
Haya maneno kama kweli yametoka kwa msimamizi wa haki BASI tunahitaji kuwa na msimamizi wa haki mwingine huyu hatufai!
Ni kweli hafai kuwa msimamizi wa haki! Anaongea kama IGP!

Eti hata majina yao ya bandia tunayafahamu. Hivi ni kazi ya jaji mkuu kufanya upelelezi?

Kama ni mkweli na mwenye kufahamu taaluma yake vyema, asingethubutu kuongea hayo maneno.

Very sad indeed. Inaonekana wengi wa hao majaji wamechomekwachomekwa tu kwa maslahi ya watawala na siyo kwa weledi wao.

What a hopeless statement!
 
Masikini wenzangu🏃🏃🏃🏃🏃🏃
 
Sasa hivi wanasiasa wamewazidi nguvu watumishi wa serikali kiasi cha kwamba wako tayari kujiabisha ili kuwafurahisha wanasiasa.Mfano kesi ya Mbowe ni aibu sana kwa viongozi wa JWTZ.
 
Vipi mkuu wewe ni mmoja wao waliotajwa na Jaji Mkuu nini? Mbona mapovu mengi sana?
 
Kwani mbaya wenu si akiondolewa na mungu wenu bila kumwaga damu?
 
Wewe cio mzima. Kama haya ndiyo mawazo yako unatakiwa kuombewa. Mtu anawaambia wasimamizi wa uchaguzi kuwa ole wenu muwatangaze wapinzani mtaniona halafu kwa mazingira kama hayo inaendaje mahakamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…