Kauli ya Jaji Mkuu Profesa Ibrahim Juma ni vema ikajadiliwa' ni kuhusu Mitandao ya Kijamii

Wewe cio mzima. Kama haya ndiyo mawazo yako unatakiwa kuombewa. Mtu anawaambia wasimamizi wa uchaguzi kuwa ole wenu muwatangaze wapinzani mtaniona halafu kwa mazingira kama hayo inaendaje mahakamani.
Wewe ni hopeless you know nothing about politics. Shut up!!
 
Kwani wewe ni Mungu unajua mwisho wa binadamu? Unaandika kama utopolo tu.
Lililofungwa duniani na mbinguni limefungwa ndugu. Kama ulikuwa umeneemeka pole sana umeshatoka hiyo. Muulize nduguyo Bashiru ana sonona ya kufa mtu. Hata wewe naona bado upo traumatized na kilichotokea hujaamini. Pole jifunze husiwekeze kwa shetani ni risk kwani certainty yake ni ndogo.
 
Wewe ndiyo shetani pamoja na mama yako. Kwani lini umeacha kuwa shetani na ukoo wenu? Ass!
 
Kwanini ni simuulize mama yako mkuu? Niko naye hapa Guest ngoja nimuulize nitakupa update in few minutes!!
Hapa hamna mtu,ukoo wa shetani huu. Hayo matusi kwa mzazi wango ndo unabishana nae? Kizazi cha ibilisi hiki ni cha kuombea. Huna hoja unakimbilis matusi. Mimi sikulelewa hivyo ndugu. Nyie hata mumteeje huyo ibilisi wenu hasafishiki lilikuwa ni tatizo na yote haya tunayopitia psmoja na wewe kuwa- traumatized ni yeye. Na atakukutesa sana mana ulikuwa unamwona Mungu. Pole Sana ndugu.
 
fanya hayo machafuko uonekane si uliliona lile komandoo la ukweli la jana? hilo siyo kama adamoo hilo likikukamata linakunyonya mavi

Makomandoo wa kupasuliana tofali kichwani? Yaani hata sina muda wa kuangalia vitisho outdated kama hivyo vilivyokuwa vinafanyika hapo uwanjani. Washamba ndio huwa wanakogeka na yale maonyesho ya kizee. Huwa tunaangalia silaha za kisasa na movie latest tunaona mbinu na vifaa vya ukweli, sio hayo mandege na mahelicopter ya diseli.
 
Jaji apambane kwanza na majaji vishoka kabla ya kupambana na mawakili vishoka.

Kwa sasa ni nadra sana kuwapata majaji wenye weledi na uadilifu. Tunahitaji katiba mpya itakayounda mahakama mpya kuliko hii inayofanya kazi kama idara ya Serikali.
 
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
CJ wetu siyo mtu makini na ile nafasi aliipata kwa itikadi ya ukanda wakati wa Magufuli. Japo ni mtu mwema kama binadamu na mwalimu mzuri wa sheria, lakini kuwa CJ ni mzigo mkubwa sana kwake
Huyu jaji mkuu kwa ujumla, yeye mwenye hana sifa. Wakati wa marehemu, alikuwa anashiriki vikao vya siri vya akina Polpole na Bashru. Na aheri angegombea hata umwenyekiti wa CCM mkoa.
 
Baada ya ku-neutralize mihimili yote na kuifanya matawi ya CCM wanashangaa kugundua sauti kinzani ya wananchi ikiendelea kusikika toka “nyikani”.

Ni kazi ngumu sana kusimamia totalitarian state. Kwa Kim Jong Un raia wanachapwa risasi na mateso kibao kila siku. Sijui huku wataweza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…