Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #181
[emoji38][emoji38][emoji38]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38]
Bora Cha wahuni kuliko Cha wakora.Chama cha wahuni kimeajiri mawakili wahuni.
Musee mbona povu lote Hilo, uko sawa sawa au imejeruhiwa🤔.Tuanzie wapi kujadiliana kati yako na mimi?
Tofauti na wewe, mimi nimeeleza maoni yangu, pamoja na kuuliza maswali. Wewe hata swali la kuuliza huna au hujui!
Kwa maana hiyo ni kwamba huna lolote la kujadili na mimi, kwa sababu ni mtupu.
Kila nilipopata wasaa nilijiunga clubhouse.Jambo la kwanza ni kuwa mawakili wengi walilimisha watu hasa wakai ambapo utata ulipotokea katika maamuzi.Wengi walikuwa walikuwa wanakiri kwamba "kwa sababu za kimaadili siwezi kwenda ndani sana".MwanaHalisi Digital imemnukuu Jaji Mkuu wa Tanzania akikemea vikali tabia ya baadhi ya watu wakiwemo wanasheria ya kumkosoa Jaji au mwanasheria wa upande mwingine kiasi cha kumtaja kwa jina na picha yake, na wakati mwingine kutaja hadi mahali anakokaa...
Moto gani. Mawakili wanatakiwa waheshimu viapo vyao. Wakili hapashwi kumtag Jaji kwenye utumbo wake hadi kufikia kuonyesha anapoishi Jaji na Wakili kwa nia gani?Kila nilipopata wasaa nilijiunga clubhouse.Jambo la kwanza ni kuwa mawakili wengi walilimisha watu hasa wakai ambapo utata ulipotokea katika maamuzi.Wengi walikuwa walikuwa wanakiri kwamba "kwa sababu za kimaadili siwezi kwenda ndani sana"...
duh kwa nchi makini alipaswa aachie ngazi. maana tayari ameshaonyesha bias....ana uhakika gani kuwa ni mawakili wa mbowe ndiyo wanawaponda mawakili wa serikali mitandaoni? Kwa hiyo kila anayeponda mawakili wa serikali, ni wakili wa mbowe mahakamani....Ndg wananchi kama mlivyomsikia Jaji mkuu akiwalalamikia mawakili wa Mbowe kwamba kwanini wanawakosoa mawakili wa serikali mitandaoni,,,,,,,,Kumbe Jaji nae anatamani Mbowe afungwe.
ipo siku itanyesha ya radi.....tunaendelea kumuomba MunguWacha iendelee kunyesha sisi tukague panapovuja
Majaji wa Magufuli wana matatizo.... Hata viwango vyao vinatia wasiwasi.MwanaHalisi Digital imemnukuu Jaji Mkuu wa Tanzania akikemea vikali tabia ya baadhi ya watu wakiwemo wanasheria ya kumkosoa Jaji au mwanasheria wa upande mwingine kiasi cha kumtaja kwa jina na picha yake, na wakati mwingine kutaja hadi mahali anakokaa...
Ila unafaa wewe lakini bahati mbaya upo tu kwa shemeji yako.hafai kuwa jaji
Unamaanisha fani ya uwakili itadharaulika kama ujaji au ujaji mkuu?Moto gani. Mawakili wanatakiwa waheshimu viapo vyao. Wakili hapashwi kumtag Jaji kwenye utumbo wake hadi kufikia kuonyesha anapoishi Jaji na Wakili kwa nia gani? Utaratibu kama hujaridhika na maamuzi ya Jaji ni kukata rufaa siyo kubehave kama mhuni wa mitaani wakati unajiita Msomi Wakili. Wataifanya taaluma yao idharaulike very soon kwa tabia za kihuni kama hizi.
Vitisho, Jaji jibu hoja zao acha kuwa mbabeMwanaHalisi Digital imemnukuu Jaji Mkuu wa Tanzania akikemea vikali tabia ya baadhi ya watu wakiwemo wanasheria ya kumkosoa Jaji au mwanasheria wa upande mwingine kiasi cha kumtaja kwa jina na picha yake, na wakati mwingine kutaja hadi mahali anakokaa...
Si wanajitambulisha kwenye Space za wanaharakati kwani ni siri mkuu?duh kwa nchi makini alipaswa aachie ngazi. maana tayari ameshaonyesha bias....ana uhakika gani kuwa ni mawakili wa mbowe ndiyo wanawaponda mawakili wa serikali mitandaoni? Kwa hiyo kila anayeponda mawakili wa serikali, ni wakili wa mbowe mahakamani....
Safi Sana wanatakiwa wanyoshwe maana wanadhani kuwa mwanasheria basi ni kibali cha kutoheshimu maadili.MwanaHalisi Digital imemnukuu Jaji Mkuu wa Tanzania akikemea vikali tabia ya baadhi ya watu wakiwemo wanasheria ya kumkosoa Jaji au mwanasheria wa upande mwingine kiasi cha kumtaja kwa jina na picha yake, na wakati mwingine kutaja hadi mahali anakokaa...
Kwa upande wangu, ni vizuri kuona tatizo na kulitatua. Jaji Mkuu awe ndiye anayewaunganisha majaji, mahakimu na mawakili na asiwe wa kutafuta wachawi.MwanaHalisi Digital imemnukuu Jaji Mkuu wa Tanzania akikemea vikali tabia ya baadhi ya watu wakiwemo wanasheria ya kumkosoa Jaji au mwanasheria wa upande mwingine kiasi cha kumtaja kwa jina na picha yake, na wakati mwingine kutaja hadi mahali anakokaa...
Hamia kwa jirani,kila nchi ina miiko na maadili yake.Yaap nimeona nchi ya jirani hapo kwa uhuru nyeusi inaitwa nyeusi nadhani jaji anapaswa kuwanyoshea vidole hao majaji wake kwanza bahati nzuri hii kesi ya mchongo inawaaibisha mno