Kauli ya Julius Malema kuhusu kifo cha Malkia Elizabeth inasikitisha na kuhuzunisha

Kauli ya Julius Malema kuhusu kifo cha Malkia Elizabeth inasikitisha na kuhuzunisha

Wadau hamjamboni nyote?

Alichoandika Malema muda mfupi uliopita kinahuzunisha sana hususani wakati huu wa msiba mzito wa Mkuu wa Taifa la Uingereza na Jumuiya ya Madola

Hebu someni wenyewe alichoandika:

"We do not mourn the death of Elizabeth, because to us her death is a reminder of a very tragic period in this country and Africa's history.... If there is really life and justice after death, may Elizabeth and her ancestors get what they deserve."

Binafsi sijafurahishwa na kauli yake ambayo kimsingi inatakiwa kulaaniwa dunia nzima.

Namuombea kwa Mungu apumzike kwa amani kiongozi wetu wa Jumuiya ya Madola.

Vita amevipiga na mwendo ameumaliza.

View attachment 2350759
Alichoandika ni ukweli ila kwakuwa tunapenda unafiki basi sawa.
Ila Julius Malema anafaa kuendelea kuwa mwanaharakati siku akipewa uraisi ataiua S.A kabisa.
 
Yupo sawa, kwani wazungu wamefanya njama chafu nyingi kuwamaliza viongozi wa Africa, Ref Gaddafi, Lumumba, halafu Belgium mwaka 2002 waliomba msamaha kwa wa Congo na Africa nzima kwa mauaji ya Lumumba, Mwaka 2013 zilitoka taarifa zilizokuwa za siri kwamba raisi wa marekani Dwight Eisenhower alihalalisha mauaji ya Lumumba lakini njama hizo hazikufanyiwa kazi.
Bora hata huyo aliyeidhinisha mauaji ya kiongozi wa nje ya nchi yake kwa manufaa ya watu wake kiuchumi.
Angalia hawa wetu, Sept 7, 2017 kiongozi mmoja aliamuru kiongozi mwingine auwawe kwa risasi nyingi sababu anatetea maslahi ya watu wa nchi hiyohiyo kama Mbunge na anawaelimisha watambue haki zao.
Jaribio hilo likashindwa kwa mkono wa Mungu na akajeruhiwa vibaya mno. Bado kiongozi huyo akaagiza asigharamiwe matibabu yake na pia watu wa chama chake tawala marufuku kwenda kumuona hospitali, kukusanyika kumuombea wala kuvaa T shirt zenye ujumbe wa "Pona haraka".
Jee kuna kiongozi mnyama zaidi ya huyo? Hao ndio hata Mungu huwa anachukua maamuzi mwenyewe, kwamba hata uwe na afya njema kiasi cha kupiga push up 100 hadharani au kucheza mapanga shaa kama "wanaume Temeke" lazima apite naye kuwalinda watu wake.
 
Waafrika wenyewe kwa wenyewe mpaka sasa wanadhulumiana sana huku wakichekeana halafu wanajidai kuumizwa sana na wizi uliofanywa na wazungu huko karne ya 19
Hata black people na kushirikiana na waarabu waliwai uza wazungu kwenye magulio kama bidhaa.

Katika history hakuna utumwa mkali unaofikia uliofanywa na waarabu na black dhidi ya wazungu but sijawai ona Rooney akilalamika dhidi ya history hiyo ila Omtiti ndiye usiku na mchana analia na amini dhiki aliyonayo sasa haitokani na tawala anazozipigia kura kwa kuhongwa Tshet na kofia bali Malkia aliendoka miaka zaidi ya sabini iliyopita.

Mwafrika kupora rasimali za Africa na kwenda kuficha kwenye visiwa vya usherisheri si tatizo, ila aliens(non Africa) kuchukua pembe la ndovu ni jina hisiyo sahaulika kwa Mwafrika
 
Hata black people na kushirikiana na waarabu waliwai uza wazungu kwenye magulio kama bidhaa.

Katika history hakuna utumwa mkali unaofikia uliofanywa na waarabu na black dhidi ya wazungu but sijawai ona Rooney akilalamika dhidi ya history hiyo ila Omtiti ndiye usiku na mchana analia na amini dhiki aliyonayo sasa haitokani na tawala anazozipigia kura kwa kuhongwa Tshet na kofia bali Malkia aliendoka miaka zaidi ya sabini iliyopita.

Mwafrika kupora rasimali za Africa na kwenda kuficha kwenye visiwa vya usherisheri si tatizo, ila aliens(non Africa) kuchukua pembe la ndovu ni jina hisiyo sahaulika kwa Mwafrika
Bora ungekaa kimya.

Huna evidence ya blacks kuwauza wazungu utumwani
 
Ila ilikitokea akafariki kiongozi mwenye mrengo tofauti na wazungu huwa hawa mwandiki vizuri pia.
Fatilia Kuanzia Fidel Castro, Hugo Chavez na wengine hata salamu za rambi rambi huwa hawatoi.
Mkumbuke kuna watu wengine familia zao ziliguswa kabisa na tawala za kina Elizabeth.
 
Sisi tunapenda unafki, tuendelee na maisha yetu! Ya Kenya yametushinda itakua ya Malema?
 
Ila ilikitokea akafariki kiongozi mwenye mrengo tofauti na wazungu huwa hawa mwandiki vizuri pia.
Fatilia Kuanzia Fidel Castro, Hugo Chavez na wengine hata salamu za rambi rambi huwa hawatoi.
Mkumbuke kuna watu wengine familia zao ziliguswa kabisa na tawala za kina Elizabeth.
Hawa jamaa wametutawala mpaka akili na tumekuwa kama mazuzu.
 
Sawa ndugu wa marehemu, familia iliyokuja Afrika kupora , kuiba, kukamata na kuuza babu zetu kwa nguvu, kuua mababu zetu, wakatufanya watumwa, wakaharibu mila desturi na tamaduni zetu, wakachukua ardhi yetu leo uomboleze mbona katuwakilisha tulio wengi tulioibiwa rasilimali zetu Malema kaandika na kusema vizuri
Ndio maana niliwahi sema humu sisi ni early version ya human being, version ya kiwango cha chini kabisa.
 
Hata black people na kushirikiana na waarabu waliwai uza wazungu kwenye magulio kama bidhaa.

Katika history hakuna utumwa mkali unaofikia uliofanywa na waarabu na black dhidi ya wazungu but sijawai ona Rooney akilalamika dhidi ya history hiyo ila Omtiti ndiye usiku na mchana analia na amini dhiki aliyonayo sasa haitokani na tawala anazozipigia kura kwa kuhongwa Tshet na kofia bali Malkia aliendoka miaka zaidi ya sabini iliyopita.

Mwafrika kupora rasimali za Africa na kwenda kuficha kwenye visiwa vya usherisheri si tatizo, ila aliens(non Africa) kuchukua pembe la ndovu ni jina hisiyo sahaulika kwa Mwafrika
Waarabu asili yao ni watu weusi,ni baada ya kuoana na watumwa wa kizungu,wanawake wa kizungu wa mashariki,waliokuwa watumwa ndio kukapatikana waarabu weupe.Hakuna taifa duniani,halikuwahi kufanya wengine watuma,ni mataifa yote na makabila yote,yalifanyana watumwa.
 
Sawa ndugu wa marehemu, familia iliyokuja Afrika kupora , kuiba, kukamata na kuuza babu zetu kwa nguvu, kuua mababu zetu, wakatufanya watumwa, wakaharibu mila desturi na tamaduni zetu, wakachukua ardhi yetu leo uomboleze mbona katuwakilisha tulio wengi tulioibiwa rasilimali zetu Malema kaandika na kusema vizuri
Eliza hakuwepo wakati hayo yanafanyika.Eliza ndiye alikuwa kiongozi wakati wa kupata uhuru.Makosa ya Babu zake siyo yake.
 
Kwa waafrika wenye akili nzuri, hawahitaji kujipendekeza kwa wazungu na wengine wote waliowatesa mababu zetu na wanaendelea kunyonya Africa kwa namna moja au nyingine.
Umasikini wa fikra ni mbaya kuliko ule wa mali. Siyo kila hoja hujadiliwa.
Mazuri yzo mbona huyasemi? Wa.mewaletea shule hospitali na teknolojia kibao zinazowanufaisha lakini kutokana na upambqvu wenu bado mko kwenye lindi la umaskini wa kutupwa halafu unasinguzia wazungu!

Hao watumwq, mlikuwa mnakamatana wenyewe . Mikataba mibovu .mnayoingia inatokana na ujinga wenu halafu mnalaumu wazungu.

Hata leo hii ikipigwa kura kwa uwazi waafrika wengi watachagua kurudi kutawaliwa na wazungu.. wakoloni wameondoka zaidi ya miaka sitini lakini failure zenu bado mnawatupia wazungu.
 
Nani anapokea rambi rambi ya msiba wa malkia Elizabeth? Tujitahidi kuchangia, wasije wakashindwa kusafirisha na kuzika mwili wa mpendwa wao.wana JF.
IMG-20220909-WA0001.jpg
IMG-20220909-WA0002.jpg
 
Wadau hamjamboni nyote?

Alichoandika Malema muda mfupi uliopita kinahuzunisha sana hususani wakati huu wa msiba mzito wa Mkuu wa Taifa la Uingereza na Jumuiya ya Madola

Hebu someni wenyewe alichoandika:

"We do not mourn the death of Elizabeth, because to us her death is a reminder of a very tragic period in this country and Africa's history.... If there is really life and justice after death, may Elizabeth and her ancestors get what they deserve."

Binafsi sijafurahishwa na kauli yake ambayo kimsingi inatakiwa kulaaniwa dunia nzima.

Namuombea kwa Mungu apumzike kwa amani kiongozi wetu wa Jumuiya ya Madola.

Vita amevipiga na mwendo ameumaliza.

View attachment 2350759
Wewe ni MTUMWA, na u aibu kwa wanaojitambua. Sijui unajisikiaje kuandika hayo.
 
Najaribu kufikiria kama huko waendako wafu hukutana, sijui sasa hivi Mugabe atakuwa anampa kauli gani Elizabeth II
 
Wadau hamjamboni nyote?

Alichoandika Malema muda mfupi uliopita kinahuzunisha sana hususani wakati huu wa msiba mzito wa Mkuu wa Taifa la Uingereza na Jumuiya ya Madola

Hebu someni wenyewe alichoandika:

"We do not mourn the death of Elizabeth, because to us her death is a reminder of a very tragic period in this country and Africa's history.... If there is really life and justice after death, may Elizabeth and her ancestors get what they deserve."

Binafsi sijafurahishwa na kauli yake ambayo kimsingi inatakiwa kulaaniwa dunia nzima.

Namuombea kwa Mungu apumzike kwa amani kiongozi wetu wa Jumuiya ya Madola.

Vita amevipiga na mwendo ameumaliza.

View attachment 2350759
Wewe sikijana mwenzio anajuwa mengi waafrica tumetendewa mambo yakinyama sana na wazungu hata Mungu analijuwa hilo.
 
Back
Top Bottom