Kauli ya Kufikirisha ya Dkt. Tedros Adhanom wa WHO

Jiwe amewaloga kabisa nyie watu. Nadhani mfuateni muanzishe republic ya kwenu huko aliko
Jamhuri ya watu wa kuzimu!?[emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2984]
 
Jiwe amewaloga kabisa nyie watu. Nadhani mfuateni muanzishe republic ya kwenu huko aliko
Mtu anapoongea upuuzi,majibu yako Kwa huyo mtu yanaku reflect wewe ni mtu wa Aina gani..hapa umeonyesha kuwa wewe ni mtu wa hovyo zaidi kuliko mleta mada

Mwenye hekima,hujibu Kwa hekima,mpumbavu hutoa majibu km yako..sorry km nimekukwaza
 
hakuna hoja hapo ni mawazo ya Mwendazeke unayaleta hapa, hakuna hoja. Mfuate Mwendazake , nasikia ameanzisgsha Republic yake inaitwa After -Tanzania.... kama ile ya trial of Christopher Okigbo ya After- Africa
Inaonekana stress zinakusumbua mzee, jipige kifuani mara 3 sema "mimi ni fala" huyo jiwe anakutesa akiwa kaburini!! We jamaa ni mbumbumbu namba 3 wa JF.

Sent from my Android using JamiiForums mobile app
 
Hawa watu ni wapuuzi Sana,siasa imewapifua macho Hadi majibu Yao yanajaa mihemko..nimemjibu jibu km lako
Wanaanika ujinga wao uliopo kichwani
 
Hatujaifanya COVID-19 kuwa priority hapa Tanzania tena hapa kwetu ipo underrated kuliko kwingine kote duniani ila tunapenda kuchukua hatua stahiki kwani sisi sio kisiwa, hatuna utaalamu kuzidi mataifa mengine na pia tunaathirika kiuchumi kama hatufuati standard za kimataifa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Aisee..mbona huna akili kabisa..?? Yani ngumbaru kabisa..
Haujamwelewa kabisa WHO Director...
Nenda huko kalinde kaburi la Meko.
Mimi nataka kuja kukulinda wewe ili usijidhuru kwa hasira za kuachiwa mimba na meko
 
Ndio maana tuliamua kununua ndege badala kuwawajengea wanafunzi wetu wa kike mabweni wasome kwa utulivu
Tedros katuonesha kuwa KUPANGA NI KUCHAGUA mjomba
 
Malaria ina tiba na njia nyingi nyepesi za kuizuia. Wanaokufa kwa malaria ni uzembe wa serikali zao.
Watu wanaokufa kwa Malaria nchi ni wengi zaidi ya Covid-19, basi tuwe tunatembea ndani ya vyandarua usiku pia waweke curfew usiku watu wasitoke ili wasife na Malaria, hizi ndio akili za SSH.
 
Kwa nini watanzania tujilazimishe kuifanya Covid 19 a priority wakati tuna magonjwa yanayotumaliza sana?
Mwenyekiti wako wa CCM pamoja na genge lote lililomzunguka ( Kikwete et al) watakupa jibu sahihi

Kinachopangwa ni upigaji mkubwa tu wa fedha za misaada/mkopo. Ni jambo la kipuuzi sana ile Kamati ya wachumia tumbo kuja na mawazo ya strict measures (curfews..?) wakati huu ambapo wenzetu huko wameanza kuachia kidogo mpaka kuanza kuruhusu mashabiki ndani ya viwanja vya mpira
 
Anamaanisha kwamba kutokana na mgogoro wa vita huko Tigray hakuna yeyote anayeiweka COVID-19 kama kipaumbele ili kulinda afya zao. Watu wako busy na vita.

Kwa mantiki ukiachana na COVID-19 watu wa Tigray wanakufa kwa pia kwa vitu vingine kama vita.
Ameipa kipaumbele malnitrituon zaidi ya covid 19.

Meaning we can suspend harakati za Covid 19 if we have important priorities to deal with.
 
Ameipa kipaumbele malnitrituon zaidi ya covid 19.
meaning we can suspend harakati za covid 19 if we have important priorities to deal with
Nani ameipa ?

Hivi unaelewa English kweli au ndio mzee wa "Uzarendo" wa Jiwe?
 
Corona NI BIASHARA.
NA Ujanja Ujanja mwingi .
Mimi GONJWA ambalo litaingia na kunitisha.
Ni ebola .
Hyo kitu weka mbali na watoto.
Sekunde haupo
 
Aisee..mbona huna akili kabisa..?? Yani ngumbaru kabisa..
Haujamwelewa kabisa WHO Director...
Nenda huko kalinde kaburi la Meko.
Uelewa wako ni kama vile umesoma ukiwa kichwa chini miguu juu
 
Ndiyo hivyo, na sisi tumechagua kupambana na Corona iliyotuondolea Mh. Jiwe!
Hivi kwanini mnalazimisha Jiwe kafa na corona mbona hamumtaji Maalim seif aliyejitangaza ana corona na akafa? Maalim Seifu alijitangaza kabisa kuwa anauguwa corona na hakupona akafariki ila hatuoni kuzungumziwa matokeo yake inalazimishwa Magufuli kuwa ndio kafa kwa corona kisa alikuwa anaonekana anaidharau corona, ni sababu ya isiyoendana kabisa na sayansi kwamba et ukidharau corona basi utakufa na corona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…