Kauli ya Kufikirisha ya Dkt. Tedros Adhanom wa WHO

Kauli ya Kufikirisha ya Dkt. Tedros Adhanom wa WHO

Nimejaribu kuifikiri na kuichambua kauli iliyotolewa na WHO Director General sijafika mwisho ila ni kauli inayofikirisha sana.

"COVID-19 not a priority: COVID-19 does not register as a priority for the millions of people affected by the conflict because of the myriad other threats they face, according to Tedros.

“It's not even their concern,” he said. “The chance of dying from all the issues… is really high. Compared to that, COVID is nothing."

Kauli hii ameitoa kwenye maelezo yake akiingolea jimbo lenye mgogoro la Tigrey huko ethiopia.

MY TAKE
Kwa nini watanzania tujilazimishe kuifanya Covid 19 a priority wakati tuna magonjwa yanayotumaliza sana?
Covid ni ugonjwa wa kimataifa. Ukiudharau na kuutenga dunia itakutenga. Je tunaweza kumudu? Wenzetu wanaotaka kwenda hija wanaambiwa bila chajo wasiende.
 
Sababu kuu ni hivi aina za bunduki zinazoua zipo nyingi kuna zinazotoa risasi moja moja na zipo zinazotoa multiple ,na vile vile aina ya risasi ,sasa kasi ya Corona iweke kwenye multiple inauwa haraka na ina enea haraka mfano wa Gatling machine gun inavyoweza kusababisha mtafaruku kwa wajeshi..
 
Mtu anapoongea upuuzi,majibu yako Kwa huyo mtu yanaku reflect wewe ni mtu wa Aina gani..hapa umeonyesha kuwa wewe ni mtu wa hovyo zaidi kuliko mleta mada

Mwenye hekima,hujibu Kwa hekima,mpumbavu hutoa majibu km yako..sorry km nimekukwaza
hovyo mama yako
 
Jamhuri ya watu wa kuzimu!?[emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2984]
giphy.gif
wamfuate waanzishe Republic ya kwao n watu hao uliowaleta,asante sana.
Wanaudhi sana MATAGA, huyu Jiwe ameleta maafa makubwa kwenye taifa, bado watu wanaleta story zake za kumuenzi
 
Hivi kwanini mnalazimisha Jiwe kafa na corona mbona hamumtaji Maalim seif aliyejitangaza ana corona na akafa? Maalim Seifu alijitangaza kabisa kuwa anauguwa corona na hakupona akafariki ila hatuoni kuzungumziwa matokeo yake inalazimishwa Magufuli kuwa ndio kafa kwa corona kisa alikuwa anaonekana anaidharau corona, ni sababu ya isiyoendana kabisa na sayansi kwamba et ukidharau corona basi utakufa na corona.
Unadhani mahospitalini hatuna wenzetu ambao walimhudumia? Nadhani unanipata
 
Chanjo ni issue ya kiscience sio siasa za cospirancy theorem na propaganda..waliotengeneza chanjo wameitengeneza baada ya kufanya tafiti za kiscience ili kupambana na Tatizo lililopo..

Covid 19 ni ugonjwa unaosambaa kwa kasi mahala kwenye mzunguko mkubwa wa watu kwa maana ya kuingia na kutoka...inawezekana Tanzania ni nchi ambayo hili la Covid bado sio tatizo saana lakini tatizo lipo kwa wengine tena kubwa ambao hata wao mwanzoni walikuwa safe kama sisi.....Issue ya Covid 19 tutathibitisha tu tuko salama kama itakuwa imeisha duniani lakini kama bado ipo hatutakiwi kurelax zaidi ya kujilinda..

Tanzania ni nchi ambayo watu wake wanatembea na kutembelewa mara kwa mara na watu wa mataifa mbalimbali, kwa sasa Covid 19 haijawaha tatizo kubwa kwetu kuliko hayo mengine lakini Covid 19 ni ugonjwa unaoweza kuja kwa kasi na kuwaacha na janga kubwa msipochukua hatua za tahadhari mapema...
 
Hatujaifanya COVID-19 kuwa priority hapa Tanzania tena hapa kwetu ipo underrated kuliko kwingine kote duniani ila tunapenda kuchukua hatua stahiki kwani sisi sio kisiwa, hatuna utaalamu kuzidi mataifa mengine na pia tunaathirika kiuchumi kama hatufuati standard za kimataifa.
Ni kweli hatuna utaalamu kama hayo mataifa mengine na sisi sio kisiwa ila tunayoyafanya hayatoi matokeo sawa wataalamu wanavyotuambia, yani wenzetu wamechukua hatua za kukabiliana na huu ugonjwa ambazo zinajulikana ili kuzuia athari mbaya za huu ugonjwa ila sisi hatujafuata hatua kama walizochukua wenzetu tunaishi kama kisiwa hivyo kitaalamu kabisa ilitakiwa kuwe na hali mbaya kabisa ya huu ugonjwa kitu ambacho wenzetu wanakizuia. Ila kinachotekea ni kwamba hiyo hali mbaya tunaishuhudia tu kwa wenzetu tunasikia wana uhitaji mkubwa wa mashine za kusaidia kupumua na mambo kadha wa kadha vitu ambavyo hatuvioni huku kwetu, kiuhalisia hali iko hivyo na ambavyo ni kinyume na wenzetu wataalamu wanavyotueleza.
 
Kwa sababu Dunia inaifanya priority na hili ni janga hayo mengine sio majanga ya mlipuko
 
Watu wanaokufa kwa Malaria nchi ni wengi zaidi ya Covid-19, basi tuwe tunatembea ndani ya vyandarua usiku pia waweke curfew usiku watu wasitoke ili wasife na Malaria, hizi ndio akili za SSH.
Watu wengine unaweza hata kuwatukana. Ikitokea Malaria na kipindupindu hatua zinazochukuliwa sawa? Malaria haiambukizi mtu kwa mtu huu ni ugonjwa pandemic unasambaa dunia nzima kwa wepesi ingekuwa corona iko nchi mmoja tu hata kama unauwa sana ungechukuliwa tofauti kama njia za kusambaa zinazuilika. Ndio maana mfano kikitokea kipindupindu Mbeya wana isolate mbeya tu au wilaya moja tu corona ni tofauti kwanza dalili haziji mara moja unaweza kuwa na corona na usijue ukaambukiza tu kirahisi unasafiri haraka.
 
Chanjo ni issue ya kiscience sio siasa za cospirancy theorem na propaganda..waliotengeneza chanjo wameitengeneza baada ya kufanya tafiti za kiscience ili kupambana na Tatizo lililopo..

Covid 19 ni ugonjwa unaosambaa kwa kasi mahala kwenye mzunguko mkubwa wa watu kwa maana ya kuingia na kutoka...inawezekana Tanzania ni nchi ambayo hili la Covid bado sio tatizo saana lakini tatizo lipo kwa wengine tena kubwa ambao hata wao mwanzoni walikuwa safe kama sisi.....Issue ya Covid 19 tutathibitisha tu tuko salama kama itakuwa imeisha duniani lakini kama bado ipo hatutakiwi kurelax zaidi ya kujilinda..

Tanzania ni nchi ambayo watu wake wanatembea na kutembelewa mara kwa mara na watu wa mataifa mbalimbali, kwa sasa Covid 19 haijawaha tatizo kubwa kwetu kuliko hayo mengine lakini Covid 19 ni ugonjwa unaoweza kuja kwa kasi na kuwaacha na janga kubwa msipochukua hatua za tahadhari mapema...
Covid 19 ilishawahi kutangazwa kuwa ipo nchini na kukawa na wagonjwa pamoja na vifo na takwimu za wakati ule zilikuwa zinaonesha maambukizi yanazidi, sasa kisayansi kama taifa tulifanya nini kupunguza hayo maambukizi hadi kufikia kujiona hatuna tatizo kubwa na hofu yetu iwe corona kutoka nje ya nchi yetu? na hata kama kweli ilipungua hata kama ni yenyewe tu hii mikusanyiko yetu isiyo na tahadhari mbona ni kama haina athari kwetu maana wenzetu sasa hivi ndio wanalegeza masharti baada ya hizo chanjo ila sisi ni kama tulishachanjwa toka zamani.

Nashindwa kuelewa kwanini sisi ambao tuliacha kuchukua tahadhari mapema sana na hatujachanjwa chanjo za corona lakini tunajiona hatuna tatizo kubwa na hofu yetu ni mataifa mengine kuwa ndio tuwe makini wasituletee tatizo?
 
hovyo mama yako
Mwanzo nilidhani umeteleza tu Kwa Ile comment,kumbe ndivyo ulivyo,haupo Sawa kichwani.
Ujumbe wangu kwako ni huu;hakuna mtu mwenye akili timamu ambae ukimkosoa,anakutukana,hayupo! Kwa hiyo wewe haupo Sawa kichwani na sipaswi kujibizana na mtu ambae ana matatizo ya akili
 
Covid ni ugonjwa wa kimataifa. Ukiudharau na kuutenga dunia itakutenga. Je tunaweza kumudu? Wenzetu wanaotaka kwenda hija wanaambiwa bila chajo wasiende.
Kwani chanjo ukichanjwa si inazuia ukipata maambukizi usiumwe sana na kufa kwa maana ni kwa ajiri ya mtu binafsi sasa kusudio la ulazima wa kuchanjwa ili kwenda hijja hapo ni nini kiasi cha kuzuia kwa asiyechanjwa?
 
Back
Top Bottom