Na mimi siwezi kujibu hilo swali lako bila utafiti na kibaya ile kamati ya corona haikufanya utafiti kujua hadi sasa tumeathirika kiasi gani toka tulipoanza kuidharau corona, kamati imekimbilia kutoa mapendekezo tu.
Mwendazake ameshamaliza kitabu chake. Sasa hv ni zama mpya. Kila zama na priority zake. Si unaina hata maujenzi Chato yamesitishwaNimejaribu kuifikiri na kuichambua kauli iliyotolewa na WHO Director General sijafika mwisho ila ni kauli inayofikirisha sana.
"COVID-19 not a priority: COVID-19 does not register as a priority for the millions of people affected by the conflict because of the myriad other threats they face, according to Tedros.
“It's not even their concern,” he said. “The chance of dying from all the issues… is really high. Compared to that, COVID is nothing."
Kauli hii ameitoa kwenye maelezo yake akiingolea jimbo lenye mgogoro la Tigrey huko Ethiopia.
MY TAKE
Kwanini watanzania tujilazimishe kuifanya Covid 19 a priority wakati tuna magonjwa yanayotumaliza sana?
Ndio maana nasema utafiti ndio ungetupa nafasi nzuri ya kuweza kujadili kwamba janga la kwetu ni la kutilia maanani au la kutotilia maanani, kwa sababu utafiti ndio ungetupa picha ya jinsi gani tumeathirika ndipo tuweze kutoa maoni kuwa hapo sasa tuchukulie maanani au ni kawaida tu tupotezee.Wala sikuhitaji ujibu hilo swali. Nilieleza hilo swali ulilouliza kwa ujumbe wako wa kwanza linaweza kujibiwa kwa mtindo huo kisayansi.
Lakini, kwa mjibu wa topic ilikuwa ni kutafakari kama hili kwetu ni janga la kutiliwa maanani au la?
Wengine akina nani tena ambao hawajachanjwa au?Inazuia pia usiwe chanzo cha maambukizi kwa wengine.
Hakuna tatizo.Wewe jamaa ni kilaza first class. Kwahiyo tatizo ni chanjo, wazungu au madalali wa chanjo ?
Na kama tatizo ni chanjo, ni chanjo ipi, Astra Zeneca, Moderna, pfizer, za china au urusi ?
una taarifa au huna?Tatizo ni pale tulipoamua kuficha taarifa za vifo halisi vya Covid, lakini hata kwa machache yanayojulikana:
1: Ni janga lipi limetuchukulia viongozi wa juu wa nchi ndani ya kipindi kifupi?
2: Ni janga lipi limeondoka na wanasayansi/wasomi andamizi ambao nchi iliwekeza kuwasomesha kwa kipindi kirefu na wakaondoka ghafla?
3: Ni janga lipi limeondoka na wananchi wa kawaida kwa wingi ndani ya kipindi kifupi?
4: Ni janga lipi hapa kwetu limetatiza uchumi wa nchi kama Covid ndani ya muda mfupi?
una taarifa au huna?
Taharuki ni janga pia
Bado kuna yasiyosubiri tafiti.Ndio maana nasema utafiti ndio ungetupa nafasi nzuri ya kuweza kujadili kwamba janga la kwetu ni la kutilia maanani au la kutotilia maanani, kwa sababu utafiti ndio ungetupa picha ya jinsi gani tumeathirika ndipo tuweze kutoa maoni kuwa hapo sasa tuchukulie maanani au ni kawaida tu tupotezee.
Mimi nazungumzia hilo janga letu.Bado kuna yasiyosubiri tafiti.
Hahaha jipige kifuani mara mbili sema mimi ni Zuzu. Sina hoja zaidi ya matusi... Njoo DM unipe namba yako ya simu upate lunch mchana keshi. Npo serious mzeefala mama yako hawala yangu kumkimbia baba yako
Bado unaangaika tu na hivi vitu?
Uliwahi kuhoji kma vaccine inaweza punguza maambukizi. Ssa ndio nakuonyesha matokeo ya chanjo.Bado unaangaika tu na hivi vitu?
Sikumbuki kuwahi kuhoji ufanisi wa hizo chanjo labda unikumbushe maana mie huwa hata sizitilii maanani kabisa hizo chanjo, hata hapa bongo mnasema maambukizi hupanda na kushuka na hapo bila chanjo sasa hizo chanjo naonaga ni muendelezo tu ya siasa kwenye corona. Huko Saudia mwanzo waliruhusu watu waliyochanjwa tu ila sasa wameamua kuhiji wenyewe tu hata ukichanjwa hakuna kwenda.Uliwahi kuhoji kma vaccine inaweza punguza maambukizi. Ssa ndio nakuonyesha matokeo ya chanjo.
So kejeli zako vp?
Tanzania bila chanjo huo ugonjwa ukija na kusepa hauuwi??Sikumbuki kuwahi kuhoji ufanisi wa hizo chanjo labda unikumbushe maana mie huwa hata sizitilii maanani kabisa hizo chanjo, hata hapa bongo mnasema maambukizi hupanda na kushuka na hapo bila chanjo sasa hizo chanjo naonaga ni muendelezo tu ya siasa kwenye corona. Huko Saudia mwanzo waliruhusu watu waliyochanjwa tu ila sasa wameamua kuhiji wenyewe tu hata ukichanjwa hakuna kwenda.
Unataka nitoe maoni gani kwamba chanjo za China ndio bora?Tanzania bila chanjo huo ugonjwa ukija na kusepa hauuwi??
Sasa nmekuletea Takwimu kwenye wilaya tu ambayo zaidi ya 90% wamechanjwa umeona vifo vimeisha na maambukizi yameisha!! Sasa unalinganishaje hizo cases mbili. Mind you Brazil bado Covid inaua kma kawa so unaweza ona wenye chanjo wameshinda.
Una maoni gani sasa?