Kauli ya Lissu ya Rais Mzanzibar ni matokeo ya kufumba masikio Tanganyika kuwa na Serikali yake na viongozi wake watakaoamua mambo yao, asilaumiwe!

Hiyo kauli inashida gani kwani siyo mzanzibar kweli? mbona Magu aliitwa msukuma na hakuna mtu alilalamika?

Tatizo sio kuitwa mzanzibari,Hoja ni kunasibisha matendo au shutuma zao kwake na uzanzibari wake, ni lugha ya uchochozi kabisa inayeeneza chuki.
 
Rais Samia aliisha sema yeye hana kabila bali ni Mzanzibar. Nape unapojibu hoja nenda na context ya mazingira ya sasa kipindi cha siasa za akina Malechela miaka ya 80 imebadilika mno
hana kabila, ila yeye ni "mzanzibari", mbona anataja kabila sasa? sisi wabara ukijiita wewe mzanzibar tunaokuona unataja kabila lako la uzanzibari, kama yeye asingekuwa mkabila, si angesema yeye ni "Mtanzania". hivi mnamwelewa?
 
Uongozi wa Samia ndio tumeona wazanzibari kuteuliwa kuwa maDC upande wa bara. Je mTanganyika anaweza kuwa DC Zanzibar?
Baba yenu wa taifa aliwahi kumteu mzanzibari kuwa waziri mkuu wakati mamlaka ya waziri mkuu mwisho chumbe pole sana
 
Mbona huyo Mwinyi amezikwa Zanzibar, na kijana wake ni Rais huko pia.
Inakuajee hapoo??
 
 

Attachments

Rais Mzanzibari amezitoa bandari zetu watanganyika kwa waarabu amewahamisha ndugu zetu Wamasai toka ngorongoro na loliondo.

Hii kitu imeniuma sana
Nilikuwa timu Mama sana . Kitendo cha TPA NA WAMASAI, imebidi nirudi nyuma

Watoto Zake na jamaa zake kawaingiza sana kwenye UDC na UDED, anaamini watanganyika hatuoni na kujua
 
wazanzibar wametuchezea na kudeka kwa miaka mingi sana. ifike mahali tumwage tu mboga na ugali.
Na amini nakuambia, kadiri unavyozidi kusikia kero za muungano zinapatiwa "ufumbuzi" ndivyo ambavyo Zanzibar inazidi kujiondoa kwenye muungano huku ikinufaika na muungano. Na naamini hakuna kipindi ambacho "kero za muungano" zimetatuliwa nyingi na kwa kasi kama kipindi cha Raisi Samia. Jiulize, ni kwa nini?
 
Kwamba Rais wa Tanzania anamipaka yake kwa nchi ya Tanzania? Kwahiyo ni Rais wa nchi gani?

Ni Muungano wa kipuuzi kabisa. Rais wa JMT ana mamlaka ya kila kitu kwa Tanganyika, hata yasiyo ya Muungano, ila kwa Zanzibar, Rais wa JMT hana chake, isipokuwa kwa mambo ya muungano tu!!
 
Hii inshu ingekua nchi nyingine tyr kingekuwa kimewaka. Watz ni wapole kwa kweli. Nchi ya amani hii
Mimi sidhani ni tatizo tena kwa Chadema kutumia suala la U-Zanzibar wa Raisi Samia kuwaondoa CCM madarakani, kwa sababu huo ndio ukweli. Kwa hatua tuliyofikia kwa kile ambacho wanaita "wameondoa kero za Muungano"sioni kwa nini serikali ya muungano iwe na raisi kutoka Zanzobar, kwa sababu serikaliya muungano imebaki na mambo yanayohusu bara peke yake.

Nadhani hili suala linapaswa liende hadi ndani ya Katiba, kwamba kwa sababu serikali ya Zanzibar ina raisi wake na mamlaka yake, basi siku zote raisi wa muungano LAZIMA atoke bara, na makamu wake atoke visiwani. ISIPOKUWA, ikiwa Raisi wa muungano atakufa, basi makamu wa raisi kutoka Zanzibar atakaimu kiti cha uraisi kwa kipindi kisichozidi mwaka moja, ambapo ndani ya kipindi hicho uchaguzi wa raisi utaitishwa. Na atakapokuwa akikaimu kiti cha uraisi, atakuwa na limited powers of authority katika kufanya maamuzi.
 
Ni Muungano wa kipuuzi kabisa. Rais wa JMT ana mamlaka ya kila kitu kwa Tanganyika, hata yasiyo ya Muungano, ila kwa Zanzibar, Rais wa JMT hana chake, isipokuwa kwa mambo ya muungano tu!!
Na sasa mambo ya muungano hayaihusu Zanzibar, isipokuwa pale Zanzibar inapokuwa na maslahi. Halafu Tundu akisema analaumiwa?
 

Kwa sababu serikali 3, CCM hawataki. Na Serikali 1 imeshindikana. Hivyo serikali ya Muungano ndiyo serikali ya Tanganyika, basi iwe marufuku Mzanzibari kuwa Rais wa JMT, kwani haitakuwa sahihi mzanzibari kuwa Rais wa Tanganyika iliyojificha ndani ya JMT.
 
Hii inshu ingekua nchi nyingine tyr kingekuwa kimewaka. Watz ni wapole kwa kweli. Nchi ya amani hii

Sidhani kama ni amani. Labda ni uoga na kutojitambua. Lakini taratibu watu wanaelewa, na kuna siku watachukua hatua.
 
Hivi wasiotaka serikali 3 ndani ya CCM ni nani hasa? Tusisahau Zanzibar wameshawatambua baadhi ya viongozi wa bara ndani ya CCM ambao hawana uwezo wa kufikiri zaidi ya kufurahia nafasi zao, ambao wameamua kuwatumia kiawswasa. Hao watu ni wasaliti wa watu wa bara, wanatumika wakijua wanatumika lakini wakiona ni sawa kutumika kwa maslahi yao binafsi.
 
Umeongea kitu cha maana sana
 
Tatizo sio kuitwa mzanzibari,Hoja ni kunasibisha matendo au shutuma zao kwake na uzanzibari wake, ni lugha ya uchochozi kabisa inayeeneza chuki.
Ukifanya jamba baya, ni vizuri kuambiwa, na ni sahihi kuchukiwa kwa machukizo uliyoyanya.

Wewe unaweza kuwa na sababu nzuri za kwa nini;
1) wahusika wakuu wote wa kuuza bandari za Tanganyika ni Wazanzibari?

2) Kama IGA iliyopoteza sovereignity ya nchi kwenye maamuzi yahusuyo bandari, bandari za Zanzibar hazimo?

3) Mbuga za wanyama na hifadhi za misitu zote walizopewa waarabu ni za Tanganyika, na hakuna japo fukwe moja ya Zanzibar waliyopewa waarabu?
 
Hii kitu imeniuma sana
Nilikuwa timu Mama sana . Kitendo cha TPA NA WAMASAI, imebidi nirudi nyuma

Watoto Zake na jamaa zake kawaingiza sana kwenye UDC na UDED, anaamini watanganyika hatuoni na kujua

Huyu mama alinipa matumaini sana alipozungumza kuwa angefufua mchakato wa katiba mpya.

Lakini nilianza kumwekea alama ya kuuliza alipombambikia kesi Mbowe.

Alipoamua kuwagawia waarabu bandari, hifadhi za misitu na mbuga za wanyama, nikaona afadhali ya mtangulizi wake. Mtangulizi wake, utawala wake ulijaa mauaji, utekaji na upotezaji watu waliohoji utawala wake. Lakini huyu anaua na kupoteza Taifa. Taifa ni pamoja na ardhi na rasilimali asilia zake. Huyu anagawa bandari na hifadhi za Taifa kwa waarabu!!
 
Simkubali Lissu, ila pia tuna msiba mzito yatima sisi,ilikuwaje tukaachiwa hii vurugu.
Na sijui itachukua mda gani.
Tumeambiwa fomu ni moja tu,so tunaye huyu tena.
Mi mpk leo sijui nani ananiongoza.
Naona mauzauza tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…