Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
- Thread starter
- #81
Hapana Mkuu. Hata Mkapa ambaye alikuwa ni rafiki mKubwa wa Magufuli, labda aliona mapungufu fulani ndani ya Magufuli hivyo hakumpa support yote ili kwenye mio za uraisi. Labda pia Mkapa hakutaka kugombana na Kikwete. Ndio maana Magufuli alisema wazi siku zote - hakuna anaemdai katika kuwa kwake raisi, ni juhudi zake peke yake.'Fair enough' Mkuu Synthesizer lakini Rais Magufuli hakuangukiwa na ngekewa kama wengi wanavyoamini('at least' yeye ana amini hivyo) lakini aliandaliwa.. Ijapokuwa anaweza asijue moja kwa moja..
Kwa kifupi jaribu kuangalia sheria zilizopitishwa haraka haraka kabla ya uchaguzi wa Rais wa 2015..'statistics act 2013' ,'The Access to Information Act, 2015','Cyber crime act 2015','The media Services Act,2015 etc..
Na labda kwa hasira ya Mkapa kutokuwa nae kwenye harakati a kumrithi Kikwete, Magufuli alipokuwa rahisi alikuwa hasikilizi chochote Mkapa alichomshauri. Na wala alikuwa ham-consult. Watu walianza kumlaumu Mkapa kuwa mtu wako Magufuli haambiliki, uwe unamshauri. Mkapa aliweka bayana kwamba hata yeye Magufuli hataki kabisa kumsikiliza, japo ni kweli yeye ndio aliyemfanya afike alipofika.
Ilifikia wakati Mkapa alikasirika akawa hahudhurii function yeyote ya kitaifa.Aliamua kukaa kando kabisa na mambo ya serikali, kama amesusa. Watu wenye busara wakamwambia Magufuli kwamba umeenda mbali sana na Mkapa, mwombe msamaha, huwezi kusahau mlikotoka. Nadhani katika maisha yake Magufuli ya uraisi, ni ushauri huo tu aliowahi kupokea, maana ni kweli alimalizana na Mkapa na Mkapa akawa anashiriki dhifa za kitaifa baada ya hapo.