Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko sahihi kabisa cc chadema tukiambiwa barabarani hulala mbele kikubwa mbowe apewe heshima yakeHivi asali wanazolamba zina nini?View attachment 2251030
Unataka kusema mzilankende alikuwa mtenda haki?Wewe boya unajua maana haki?
Wengi wao ni waelewa. Wanajua kilicho mbele yao.Hivi asali wanazolamba zina nini?View attachment 2251030
Acha viuno hivyo vipumuzike.Unataka kusema mzilankende alikuwa mtenda haki?View attachment 2251099
Ndiyo maana hiyo kazi ya kudai haki yetu tumemkabidhi Wakili wetu Mbowe ambae siyo muwoga alisimamie,na ndiyo maana tunamplipa Ruzuku! Sasa kwa nini tena atusumbuwe Wateja wake, apambane huko,kwani Ruzuku anatuitaga pia tugawane!!!?? Ebbo!!!! Sisi tunataka Katiba mpya tu,hiyo Asali anayoramba Sasa ita mcost pakubwa!!!Ukweli mchungu,mtanzania kuingia barabarani kudai haki yake HAIWEZEKANI,Watanzania ni WAOGA