denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Vitisho vya polisi CCM ndio chanzo, maandamano yangeheshimiwa kama haki iliyopo kisheria pasingekuwepo na tatizo.
CCM wamefanikiwa kufanya kwenda kwenye maandamano ionekane unaenda kwenye uwanja wa vita, hii imesababishwa na uvunjifu wa sheria wa kila siku unaosimamiwa na serikali ya CCM.
CCM wamefanikiwa kufanya kwenda kwenye maandamano ionekane unaenda kwenye uwanja wa vita, hii imesababishwa na uvunjifu wa sheria wa kila siku unaosimamiwa na serikali ya CCM.