Kauli ya Mkuu wa Majeshi kwa Rais ni ONYO, Turejee hii

Wewe hujatoa pesa ya ujenzi hata kidogo zaidi ya ardhi unategemea nini? . Kama ni hivyo jenga mwenyewe.
 
Mkuu hapa hawashindanish upumbavu yan kwakuwa ccm wamewapa vyeo watu wasio kuwa raia na wewe kusema kuwa lisu sijui james sio raia unakuwa umelevel scores mkuu hii sio match ya mpira wa miguu, jaribu basi kutumia ubongo hata kidogo master, hatushindani kujua nan mpumbavu zaidi, aliesema hayo ni CDF tena mbele ya Samia na hatukumuona Rais akisema mbona james sio raia, ficha basi ujinga wa ccm kidogo tu, au wewe ni Bashite nini ? Mana lile halinaga akili na ni liropokaji,. Kuna watu wapo ccm wengine ni wakurugenz na wamezaliwa USA ila sio poa kuwataja hawahusiki hapa kwenye hii mada.
 
Kuna watu ni vilaza sana
Hapa yanazungumzwa mambo ya Nchi we unaleta uharo kabisa.

Kama sio raia Uhamiaji inasimamiwa na nani? mbona haichukui hatua?
Hili halina akili yan liache, yan daah tutafika tumechoka sana aisee yan sijui vinahusiana nini aloo
 
Bora CDF kasema tungesema Sisi huku uongozi mzima wa JF ungetulamba ban ya miezi sita
Kweli kabisa na alivyokuwa anasema anaeupiga mwingi alikaa kimya ila kuna jitu la namtumbo linakuja hapa kusema sijui lisu sio raia na james mbowe sio raia sasa wanarelate vipi na kitu alichosema CDF ? Matutusa ni wengi sana nchi hii
 
Hiyo miradi ulitoitaja, haikuendelea sio kwa sababu kuna watu wamepandikizwa ma jasusi wanahujumu! Hizo ni conspiracy tu hazinna ushahidi, hapo ni rushwa tu na wizi, wa CCM, viongozi wote anateua Raisi!
Maraisi waliopita, Mkapa, Kikwete, Maghu!
Mkapa aliuza mashirika ya umma, akajiuzia mgodi na ikulu ndogo, unataka kusema ni "ma jasusi wa, Rwanda ndio, wlimfanya afsnye hivyo?
Ur fucking kidding me bro!
Kikwete kauza gesi,skendal za, Richmond, wizi wa meremeta, huo, wote umefanywa na ma jasusi!? Serious, bro!
Incompetence, na, wizi ndio balaa LA Nchi hii,
Haya, aliyetoa amri Wa Masai wahamishwe kwa lazima, bandsri ziuzwe kwa mwarabu, tundu lisu apigwe risasi, Imran kombe auliwe kama jambazi, watu wanyongwe na kutupwa coco beach ni majasusi waliopandikizwa?
Hizi, story zenu kawasimulie watoto wa day care
 
MWAMBA KABISA WEWE....
 
Wa bongo mmefsnywa maskini, mpaka hamfurukuti! Manaona njia pekee ya kutoka kimaisha ni kujiunga na *chama", huyo binti, aliyeenda CCM, anajiunga na kundi kubwa LA vijana wenye njaa,aliondoka Kafurila, Nassari! Leo hii wapo wapi, "they are just the shells of their original self" Wamepewa, vijinafasi uchwara wasife njaa, CCM itawatumia tu, wakiisha utamu kama big j, watatupwa kule!
Ha kuna Jimbo wanaweza kupita kwa tiketi ya CCM, maana hata huko CCM wapo wenye njaa wengi tu,
Mtu alikuwa mbunge, miaka mitano,akalipwa milioni 250! Sasa hv ana njaa! Anataka aingie bungeni kuendelea"kuwasemea"wana Nchi!
Umalaya upo wa aina nyingi
 
Bora CDF kasema tungesema Sisi huku uongozi mzima wa JF ungetulamba ban ya miezi sita
Mbona mimi nimeandika sana tangu Jambo Forum 2006 mpaka leo na sijapigwa ban ndugu Mpetde !?
Uoga hata wa kuandika tukiwa na ID fake ni uoga wa kimaiti ndugu.
Tusitaje watu bila ya kuweka ushahidi usio na shaka.
 
Kiongozi akiwa dhaifu, kila kitu kitakuwa dhaifu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…