Kauli ya Mkuu wa Majeshi kwa Rais ni ONYO, Turejee hii

Tunagawana kwa sababu sisi walioweka mtaji wa uwekezaji ni wengine. Hivyo, tungepaswa kugawana faida hadi pale gharama zao za uwekezaji zitakaporudi na kupata faida kwa kadiri tutakavyokuwa tumekubaliana.
 
Tunapojadili mambo ya maana jitahidi kuficha upumbavu wako ndugu
Ni aina ya watanzania waliokua moulded na ccm na madhara yake ni kutokuona sensitive issues zinazolikabili taifa na namna ya kukabiliana nazo wanaonesha upumbavu wao hadharani na kupoteza mada ya msingi na yenye maana. Huuu ndio mtaji wa watawala na hao aliosemq sidiefu katika kulihujumu taifa kwa kufanya maamuzi tata yanayoligharimu taifa! Hawaoni hata hizo kesi za kimataifa tunazodaiwa kama ni hasara kwa taifa? Mark my word ipo siku hata dp watatudai.
 
Huyu atapewa nafasi ya utendaji serikalini, hiyo ni ajira ya kudumu
 
Hadi hasara inanitafuna sijui nijimalize???
Mhenga miye nilikuwepo RPF ilipochukua Nchi Rwanda.
  • Maafisa wa ngazi za juu waliosomeshwa na Tanzania na kujitanabaisha kuwa ni Watanzania wengi wakijiita wanyambo, waha na wahaya walinistua kupita kiasi.
  • Nilikuwa na marafiki katika idara nyeti za usalama na wengine jeshini.
Jeshini nilikuwa na rafiki yangu Luteni wa jeshi mtaalamu injinia wa vifaru.
- Serikalini nilikuwa na wataalam wakuwa wa Kilimo, Maji na ujenzi.
Katika mkoa mmoja Basi kubwa la abiria 60 lilikodishwa likaelekea Rwanda na wale niliowazoea kuwa watanzania.
  • Yule Mwanajeshi nilimtembelea Rwanda akiwa mkuu wa Kikosi cha mizinga wa Rwanda.
  • Yule wa Kilimo nilimkuta amekabidhiwa mradi mkubwa wa wizara ya kilimo huko Rwanda. Kwa vile alikuwa rafiki yangu nilikuta amebadilisha jina la ubini na kujiita majina ya kule Rwanda.

KIfupi damage iliyofanyika na inaendelea kufanyika ni kubwa kupita kiasi. Nilipouona mkataba wa DP world nilichanganyikiwa hadi leo.
General Mkunda tafadhali pindua hii nchi haraka ili ipone!
 
Hi Tundu lissu ni Mtanzania kweli ??

Jina lake tuu sio la kizalendo
Hili suala la CDF liangaliwe kwa mapana, kuna tetesi kwamba hata John Heche ni raia wa Kenya, alikuja Tanzania akiwa mkubwa tu.
 
Yupo kwenye ngazi ipi ya maamuzi aliyoteuliwa na serikali?
Sio lazima awe serikalini, hata maandamano anayopanga, yanaathiri taifa kimaamuzi, na chama anachofanyia kibarua chake, kimesajiliwa na serikali, kwa hiyo na yeye ni mtumishi wa umma in a way
 
Close information na open information unapokuw unadili na taarfa

Inawez kuw nataarfa sahihi ila zikazua taharuk
 
Walichagua uraia wa Taifa gani
 
Sisi Kwa level ya viongozi wa nchi hatuko serious vyombo vyetu vyote vimeelekezwa kuthibiti wazalendo
Kudhibiti Wazalendo !
I wish i could not believe it !
Kama itakuwa ni hivyo je hiyo itakuwa ni kwa faida ya nani ??!!
 
Kuna ka uteja flani kapo mahali fulani nyeti sana, kwa hiyo arosto ikipanda wanadungwa kasindano fulani, kisha wateja wanakua watiifu kwa kusahau pakusimamia. Enewei kama sijaeleweka, minnimeelewa.
Duh 🙄 !
 
Sio lazima awe serikalini, hata maandamano anayopanga, yanaathiri taifa kimaamuzi, na chama anachofanyia kibarua chake, kimesajiliwa na serikali, kwa hiyo na yeye ni mtumishi wa umma in a way
Uwezo wako wa akili ni mdogo au umeamua kuchagua upande wa akili ndogo! Hebu rejea kauli ya cdf "wako serikalini na wameteuliwa katika ngazi za maamuzi"

By the way nimefuatilia comments zako nyingi wewe ni mpumbavu ashakum sio matusi kwani upumbavu ni kipaji kama ufupi na urefu according to Mwalimu Nyerrer
Biblia inasema umjibu mpumbavu sawa sawa na upumbavu wake asije akaerevuka. Adios
 
Bahati mbaya huna akili,ufupi na urefu ni kipaji ?au ni maumbile? Jinga sana
 
Watoto wa Mbowe na Lissu ni raia wa Marekani na Uingereza
Therefore? Waziri mkuu wa uingereza unajua alizaliwa wapi ? TANZANIA-
BARAKA OBAMA ASILI YAKE KENYA (Luo)
Mtoto wa George Weah ni footballer wa US
Kule state kuna Mayor mwenye asili ya Somalia.
Rejea kauli ya cdf na utumie ubongo kufikiri kimantiki ndipo uongee. James Mbowe ameteuliwa serikalini katika ngazi ipi ya maamuzi? Kwanini mnakimbia vivuli? Tujadili threat iliyopo mbele yetu kwamba kuna refugees na immigrants wanaohujumu nchi yetu! We unazungumzia watu wenye uraia wa nchi nyumngine ambao walifaa kulalamikiwa huko waliko
 
Tatizo kuu ni pale vyombo vya usalama vinapowaza chaguzi zijazo na hatma ya CCM madarakani,hii imewa brainwash hadi maafisa usalama wanawaza ccm kuliko kuwaza hatma ya Taifa letu na ustawi wake!!

KOSA KUBWA SANA ALILOFANYA NYERERE NI KUWAAMINISHA WATz KWAMBA TANZANIA HAIWEZI SONGA MBELE BILA CCM KANA KWAMBA NCHI YA TANZANIA IKIONGOZWA NA VYAMA VINGINE ITABADILIKA JINA,Huo ndio mtego na zigo la misumari ambalo taifa limebebeshwa!!

Kama taifa tungekua na desturi ya vyama kupokezana vijiti nadhani tungejikita kwenye utaifa na sio uvyama Na ufia itikadi Kila chama kingejitahidi kiutendaji Ili kuweka historian ya kimaendeleo katika taifa!!!

Ujasusi uliojikita kuhakikisha chama kinashika dola ni ujasusi wa kijinga ambao binafsi najuta Saba kuzaliwa kwenye taifa ambalo wanalinda chama badala ya ustawi wa wananchi !!!


Lawama zangu zooooote ziende Kwa vyombo vya Dola kuanzia TISS,jwtz,polisi na vyombo vyoote!!

Hatuwezi endelea Kwa kulinda chama hata siku moja!!

Mimi ni mwanaccm ninaeamini ccm imeharibiwa na Dola kwa kulindwa,kuhakikishiwa kushika Dola na kulea ufisadi na uchama,dola ndio adui was CCM kama CCM ingekosa Dola hata kwa miaka kumi tungekua na ccm imara kuliko hii ya uchawa!!!
 
Daaah
 
Hawa aliwawakilisha wanawake na Samia anawawakilisha wanawake wote maana wote ni wanawake. Dunia ya wakubwa hawaamini katika kuongezea na wanawake anzia Washington hadi Piong yang
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…