Nimenukuu maneno ya Mwalimu sijajiandikia tatizo husomi between lines. Kwanini mnachagua ujinga kasome nimeandika as Per Mwalimu yeye ndio aliyesema sio mimi! Hiyo query nilikua nayo lakini kwenye academics tunaponukuu hatupaswi kubadili chochote mjinga mmoja weweBahati mbaya huna akili,ufupi na urefu ni kipaji ?au ni maumbile? Jinga sana
Mbuti, Block "E"Kumeshakucha mzee wa Kigamboni
Namshukuru Mungu amekusaidia kuuona ujinga wako mapema, na shukuru elimu yangu imekuzindua, siku nyingine usiwe unanukuu mambo ya hovyo, yanakuwa ya athibitisha jinsi ulivyo mtu wa hovyo sana, hovyo kabisaNimenukuu maneno ya Mwalimu sijajiandikia tatizo husomi between lines. Kwanini mnachagua ujinga kasome nimeandika as Per Mwalimu yeye ndio aliyesema sio mimi! Hiyo query nilikua nayo lakini kwenye academics tunaponukuu hatupaswi kubadili chochote mjinga mmoja wewe
Because you are a fool and once wise men said : dong argue with a fool because people will fail to distinguish between the two. Nakuacha ulivyo na jina lako linaloshabihiana na sehemu ya utupu wa mwamkeNamshukuru Mungu amekusaidia kuuona ujinga wako mapema, na shukuru elimu yangu imekuzindua, siku nyingine usiwe unanukuu mambo ya hovyo, yanakuwa ya athibitisha jinsi ulivyo mtu wa hovyo sana, hovyo kabisa
Achana naye huyo kenge wa uvccm, naye ni damu ya kagameBecause you are a fool and once wise men said : dong argue with a fool because people will fail to distinguish between the two. Nakuacha ulivyo na jina lako linaloshabihiana na sehemu ya utupu wa mwamke
Naomba unifafanulie/Unieleweshe na hayo juu. Nimekwama kuelewa.Close information na open information unapokuw unadili na taarfa
...mpaka hapa tulipofika, ni kasheshe.Inawez kuw nataarfa sahihi ila zikazua taharuk
Mbona haueleweki ulichokiandika au umeukalia ?Wewe jamaa akili huna, wenzako wameongea hadharani ili kurahisisha operation. Kwa hiyo unadhani alichotaka kuongea CDF Mama alikuwa hakijui, waliompatia CDF hizo taarifa ndio wanampa Mama kila siku na ndio kazi yao. Ni vile tu wao hawatoki hadharani
Hata operation ya kuwaondoa wahamiaji haramu kipindi cha awanu ya 4 ilitangazwa pia, au na wewe unaamini yule mwanajeshi raia nchi ya jirani kipindi alitoroka kwa kuwa ilitangazwa ametoroka?
Yes viongozi hawapo serious, lakini kwa ukubwa wa nchi, mwingiliano wa watu kutoka mataifa mengine, uroho wa madaraka na uroho wa pesa wa viongozi wetu, ni nadra sana kujua nani ni mzalendo... Unaweza kuta hivyo vyama vya upinzani vyote vinaongozwa na raia ambao si waTanzaniaSisi Kwa level ya viongozi wa nchi hatuko serious vyombo vyetu vyote vimeelekezwa kuthibiti wazalendo
Heshima ni kitu cha bure kabisa, lakini pia usione ujanja kukaa na simu yako hakuna anayekujua ukaanza kutoa matusi. Hunijui sikujui ila heshima iwepoMbona haueleweki ulichokiandika au umeukalia ?
Kwenye umeme pia nilishawahi kuandika hapa kuwa tunahujumiwa tena na mataifa makubwa tu.
Hawataki kabisa tuwe na nishati ya kueleweka.
Bandari ya bagamoyo ingeua nchi na kuifutilia mbali kama angepewa mchina
Kama vile kila kitu unasingizia umerogwa π πHayo mataifa walikuja kukataa umeme? Waliwaambia msijenge vyanzo vipya vya umeme wakati mnajua matumizi yanaongezeka kila mwaka? Mnahujumiwa kwa lipi hasa?
Ujinga ni kuamini unahujumiwa badala ya kuwa accountable na kukabili changamoto. Hizo ni sababu nyepesi sana kukwepa uwajibikaji.
Kama vile kila kitu unasingizia umerogwa π π
Hata ukichelewa kwenda kazini unasema hii sio bure !