Kauli ya Mzee Makamba ni kitisho kwa Rais na wengine wote ambao hawatakuwa wema "Kwao"

Kauli ya Mzee Makamba ni kitisho kwa Rais na wengine wote ambao hawatakuwa wema "Kwao"

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Hutokufa (nani alisema Rais atakufa? Je alishatishiwa na sasa anahakikishiwa kuwa asiwe na shaka hatokufa?)

Mtu mbaya kwa akina nani ndiye ambaye ataishi? Mtu mwema kwa akina nani ndiye wanachagua aishi?

Kauli hii si ndogo ni kauli ambayo anafikisha ujumbe kwa watu flani. Kuwa kuna watu au kikundi wanaweza amua Rais gani aishi na yupi afe. Na hili si jambo dogo hata kidogo. Tunaweza lichukulia kiwepesi ila ujumbe umefika kwa Sukuma Gang na wengineo.

Alichoniudhi ni kumtishia Rais. Kusema hutokufa.... Ni kumtishia Rais. Ni kauli ya mtu mwenye mamlaka ya kuamua mtu afe au asife.
 
Tumshukuru Mungu kwa hili, hakuna jambo linatokea bahati mbaya, soon kuna anguko kubwa laja. Mimi sio mtabiri ila nimejaribu kusoma alama za nyakati(Luka 14:11
Kwa maana kila mtu ajikwezaye atashushwa, naye ajishushaye atakwezwa).
Mdomo uliponza kichwa.
 
Mambo machache unayoyafahamu ni matokeo ya mengi usiyoyajua, Mzee kasema hata mama akiondoshwa kabla ya 2025 Mungu atatuletea mwingine…. mimi nimechukua hapo tu.
 
"Rais tupo naye mpaka 2030 labda afe (ila wazuri hawafi)"

Wazuri ni wapi??
Watanzania Mtakuwa wajinga kama mkidhani alimaanisha wazuri kwa wananchi...


Wazuri Ni wale wanaolipa hilo kundi manufaa, ni wale walio pamoja na hilo kundi, ni wale wanaobariki matendo ya hilo kundi, ni wale wasioenda kinyume na hilo kundi.

So kinyume cha hiyo sentesi ambacho nacho ni ukweli, ni kuwa "wabaya wanakufa"....kwahyo wote wanaoenda kinyume na hilo kundi, wanaolipinga hilo kundi, wasiobariki njama na mipango ya hilo kundi, wasio pamoja na hilo kundi, WATAKUFA.


So hii ni direct threat kwa huyo aliyesifiwa kuwa yeye ni mzuri ndio maana hatakufa mpaka 2030.

Akijifanya kugeuza gia angani na kuligeuka hilo kundi ATAKUFA.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu mbariki raisi.
 
Jiwe alikuwa mbaya kwa kila mtu.

Mzee Rugemarira
Kabendera
Tundu Lisu
Lwajabe
Ben Sa8
Tito Magoti
Azory Gwanda
Godbless Lema
Maizti za kwenye viriba ufukweni.
N.k


Hawa wote walimgeuka nani?

Magufuli hasafishiki. Kilichomuua ni dhambi zake. Ukiua unauawa. Imeandikwa "auawae kwa upanga hufa kwa upanga"

Yule dikteta mnaomtetea mna roho chafu
 
Jiwe alikuwa mbaya kwa kila mtu.

Mzee Rugemarira
Kabendera
Tundu Lisu
Lwajabe
Ben Sa8
Tito Magoti
Azory Gwanda
Godbless Lema
Maizti za kwenye viriba ufukweni.
N.k


Hawa wote walimgeuka nani?

Magufuli hasafishiki. Kilichomuua ni dhambi zake. Ukiua unauawa. Imeandikwa "auawae kwa upanga hufa kwa upanga"

Yule dikteta mnaomtetea mna roho chafu
Tangu uanze kumsakama JPM hadi sasa umefanikiwa nini kwenye maisha yako ndugu??
 
Utawala wa mama ushafitinika hata kama mzee alikufa kifo asili lakini kuna watu mpaka leo hawajui/hawamini kama mzee katangulia mbele za haki kwa uwezo wa Mungu
Nipo hapa ngoja tuone
jiwe nilikuw simkubali anamengi sana kawatendea ndugu zangu lakini linapokuja suala la imani yangu samehe 7x70
 
Jiwe alikuwa mbaya kwa kila mtu.

Mzee Rugemarira
Kabendera
Tundu Lisu
Lwajabe
Ben Sa8
Tito Magoti
Azory Gwanda
Godbless Lema
Maizti za kwenye viriba ufukweni.
N.k


Hawa wote walimgeuka nani?

Magufuli hasafishiki. Kilichomuua ni dhambi zake. Ukiua unauawa. Imeandikwa "auawae kwa upanga hufa kwa upanga"

Yule dikteta mnaomtetea mna roho chafu
Unaonaje uende Chato ukamalizane na Marehemu once and for all.
 
Back
Top Bottom