Kauli ya Sean Paul imewashtua wengi baada yakusema hamjui Diamond wala Alikiba alipotua Tanzania, ila anatamani kufanya nao kazi

Kauli ya Sean Paul imewashtua wengi baada yakusema hamjui Diamond wala Alikiba alipotua Tanzania, ila anatamani kufanya nao kazi

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Mwanamuziki maarufu wa dancehall kutoka Jamaica, Sean Paul, aliwasili Tanzania jana (Novemba 29) kwa ajili ya show yake inayotarajiwa kufanyika leo. Katika mahojiano na Bongo 5, alipoulizwa kuhusu Diamond Platnumz, Sean Paul alikiri kwamba hamfahamu msanii huyo lakini yuko tayari kukutana na kushirikiana na wasanii wa Kitanzania.

Kauli hii iliwashtua mashabiki wengi, kwani baada ya wapekuzi kufukunyua mambo ikajulikana kwamba msanii hao amem-follow Diamond kwenye mtandao wa Instagram.
IMG_1105.jpeg

Sean Paul amekuwa na ushirikiano na wasanii mbalimbali duniani, ikiwa ni pamoja na wimbo maarufu “Rockabye” alioshirikishwa na Clean Bandit na Anne-Marie.
IMG_1101.jpeg

Kauli yake ya kutowafahamu miamba wa muziki Bongo Simba na King Kiba, ina funzo kwa muziki wetu?
IMG_1103.jpeg
 
Usishangae kabisa unajuwa tunavyojijuwa sisi usidhani watu wanatujuwa. Nimeshawahi kufika nchi za huko kuulizwa umetoka wapi nikasema Tanzania kwa kujiamini na nikasema kutoka Dar ili iwe rahisi japo sio wa Dar, Tanzania ndio wapi? karibu na nchi gani? lugha gani France au English... nikashtuka na hii ilikuwa sio mtu mmoja nilikuwa nimealikwa kwenye party Halloween. Hawaijuia Tanzania nikaanza East Africa naona macho tu, mnamjuwa Mandela? yes basi sio mbali sana na wao karibu na Kenya ndio nikaanza kueleweka kidogo. Usijione kujiona Boss huko Rukwa ukadhani nchi nzima wanakujuwa.. 😀
 
Usishangae kabisa unajuwa tunavyojijuwa sisi usidhani watu wanatujuwa. Nimeshawahi kufika nchi za huko kuulizwa umetoka wapi nikasema Tanzania kwa kujiamini na nikasema kutoka Dar ili iwe rahisi japo sio wa Dar, Tanzania ndio wapi? karibu na nchi gani? lugha gani France au English... nikashtuka na hii ilikuwa sio mtu mmoja nilikuwa nimealikwa kwenye party Halloween. Hawaijuia Tanzania nikaanza East Africa naona macho tu, mnamjuwa Mandela? yes basi sio mbali sana na wao karibu na Kenya ndio nikaanza kueleweka kidogo. Usijione kujiona Boss huko Rukwa ukadhani nchi nzima wanakujuwa.. 😀
Ulizunguka sana, next time sema tu Zanzibar itakusaidia kueleweka kiurahisi.

Ndio ukweli mchungu, Zanzibar inafahamika zaidi kimataifa kuliko Tanzania.
 
Ulizunguka sana, next time sema tu Zanzibar itakusaidia kueleweka kiurahisi.

Ndio ukweli mchungu, Zanzibar inafahamika zaidi kimataifa kuliko Tanzania.
Ahsante hili linasaidia kweli kabisa maneno yako. Usitaje Tanzania wala Dar es salaam. ZANZIBAR TU. Unajuwa mara ya kwanza hujui watu hawana hata habari na nyinyi.
 
Usishangae kabisa unajuwa tunavyojijuwa sisi usidhani watu wanatujuwa. Nimeshawahi kufika nchi za huko kuulizwa umetoka wapi nikasema Tanzania kwa kujiamini na nikasema kutoka Dar ili iwe rahisi japo sio wa Dar, Tanzania ndio wapi? karibu na nchi gani? lugha gani France au English... nikashtuka na hii ilikuwa sio mtu mmoja nilikuwa nimealikwa kwenye party Halloween. Hawaijuia Tanzania nikaanza East Africa naona macho tu, mnamjuwa Mandela? yes basi sio mbali sana na wao karibu na Kenya ndio nikaanza kueleweka kidogo. Usijione kujiona Boss huko Rukwa ukadhani nchi nzima wanakujuwa.. 😀
Bila mandela kumtaja mandela .. Ingekuwa changamoto sana 😁😁😁😁
 
Usishangae kabisa unajuwa tunavyojijuwa sisi usidhani watu wanatujuwa. Nimeshawahi kufika nchi za huko kuulizwa umetoka wapi nikasema Tanzania kwa kujiamini na nikasema kutoka Dar ili iwe rahisi japo sio wa Dar, Tanzania ndio wapi? karibu na nchi gani? lugha gani France au English... nikashtuka na hii ilikuwa sio mtu mmoja nilikuwa nimealikwa kwenye party Halloween. Hawaijuia Tanzania nikaanza East Africa naona macho tu, mnamjuwa Mandela? yes basi sio mbali sana na wao karibu na Kenya ndio nikaanza kueleweka kidogo. Usijione kujiona Boss huko Rukwa ukadhani nchi nzima wanakujuwa.. 😀
Hii ni kweli kabisa.
Hii dunia kuna maeneo watu hawafahamu hata kama kuna watu ni weusi huku duniani. Mtu ukiambiwa huwezi kuamini kabisa unaweza ukawaza hivi hawa watu hawana Tv na mitandao?
 
Usishangae kabisa unajuwa tunavyojijuwa sisi usidhani watu wanatujuwa. Nimeshawahi kufika nchi za huko kuulizwa umetoka wapi nikasema Tanzania kwa kujiamini na nikasema kutoka Dar ili iwe rahisi japo sio wa Dar, Tanzania ndio wapi? karibu na nchi gani? lugha gani France au English... nikashtuka na hii ilikuwa sio mtu mmoja nilikuwa nimealikwa kwenye party Halloween. Hawaijuia Tanzania nikaanza East Africa naona macho tu, mnamjuwa Mandela? yes basi sio mbali sana na wao karibu na Kenya ndio nikaanza kueleweka kidogo. Usijione kujiona Boss huko Rukwa ukadhani nchi nzima wanakujuwa.. 😀
Hatari sana
 
Hii ni kweli kabisa.
Hii dunia kuna maeneo watu hawafahamu hata kama kuna watu ni weusi huku duniani. Mtu ukiambiwa huwezi kuamini kabisa unaweza ukawaza hivi hawa watu hawana Tv na mitandao?
Unajuwa kwanini nilikuwa Canada hiyo hawa jamaa TV zao hakuna habari za dunia ni habari zao tu za ndani, hali ya hewa na stock exchange. Tena TV ikitoka sana inatangaza habari za nchi kama Canada lakini muda mwingi 80% za jimbo lao hali ya hewa na mambo yao ya ndani tu hutakuta hata siku moja habari za kwetu.
 
Back
Top Bottom