Wangeanza Kukanusha habari ya BAKWATA Mtwara ningewaona wa maana ila ya Mtwara sawa ila ya PONDA wanakanusha shuwaini kabisa, wangekua wahadhiri wa maana wangekanusha kuhususu dua iliyoombwa kwa jina la YESU.
Kwani wahadhiri ndio kinanani si nawatoa mawaidha tu kama wengine katika uislamu
Kudadeki PONDA kawashika kende sasa wanahaha, huyo kipozeo mwenyewe mla mirungi mzee wa mizigo hata akikanusha inakusaidia nini kanusho lake kwa kifupi ni kama kanusho la mtu mwingine yeyeote katika Jamii ya Kiislam. Kwa kifupi sisi answar sunna tumekubaliana wooote kwa pamoja isipokuwa bakwata na wahadhiri wake