Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,109
Wapite kule, watuwache na Ponda wetu. Waislam wote, hata yule mama wa Makonda tutampigia Lissu mwenye agenda ya haki!Masheikh UBWABWA hao ni WANAFIKI tu wako radhi kuendelea kukumbatia udhalimu wa kila aina Nchini kwa matonge machache ya UBWABWA.