Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya maugoro nenda kalishane na mabeki tatu wenzako.
Ndio kiswahili chetu huku "Nanjilinji"Hawe" ndio kiswahili cha wapi mkuu?
Ameshasema na waislam wote tuliitika ndioooooooo, ahahahahaPonda alikurupuka aisee, hakuna aliyemtuma kusema vile,
Wala hakuna kikao kilichokaa na kupitisha maazimio ya aina ile.
FactSijamsikia pale Dodoma akisema "waislamu wote" alisema sisi waislamu. Na kudhibitisha hilo alipowauliza walisema ndio! Hivyo wale waliokuwa pale wamekubali
Tuko pamoja nae kwa 100%Je ndugu zetu waislamu wanampinga Ponda?
Afadhali ya Ponda,kuliko yule mufti wa Bakwata, maana Tanzania hakuna MuftiPonda sio mufti, hana mamlaka ya kuwazungumzia waislam wa Tanzania, mwambieni awe anajizungumzia mwenyewe.
Alhad hawezi kuwa sheikh atafutiwee kanisaaa harakaaa, ajiachie na Bwana YesuNitaomba Kwa Jina Yesu Na Mohammed!!
Alhad Ni Shida!!
Sidhani Kama Itakua Sahihi Yeye Kuwaongelea Waislam Ikiwa Sio Kiongozi Rasmi...
Issa Ponda Ni Mwanazuoni Mzuri Lakini Mihemko ya Kisiasa Imekua Ikimchukua Mara Kwa Mara Na Kuifanya Elimu Aliyonayo Kuwa Useless Kwa Hapa Hapana Ajipange Na Waislam Sio Wakupelekwa Hivo!!
Ponda kashaagiza waisilamu wapenda haki wapigie kura upande wa haki. Tunasubiri tume isiyo huru ya uchaguzi ichezee matokeo ya kweli ili tujue tunatokaje hapa.Haya mambo yabkuingiza dini kwenye siasa bila exit plan, ndo yameifanya dini ya kiislamu kuhusishwa na ugaidi kwa muda mrefu sana hapa duniani. Kuna wapuuzi wachache wameibadilisha sana taswira ya uislam, Cha ajabu wengine ni viongozi kabisa.
Halafu baadae mtaanza kusema kwamba ni propaganda za watu wa magharibi kuuchafua uislam. Haya bwana kwahiyo waislam msiposhinda kwenye huu uchaguzi itakuwaje Sasa🤔!
Unapiga spana tarehe 28 unapigwa kifo cha mbwa koko,Sheikh Ponda ndiye kiongoxi wa waislaum wa Tanzania, shuguli ya ile kamati yake inajulikana nchi nzima, piga spana, pigaaa spanaa ma CCM adi yakimbie bila mwano