Uchaguzi 2020 Kauli ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ya kusema Wagombea wa Upinzani wasiwachafue wagombea wa chama tawala una lengo la kutaka kuwatisha

Uchaguzi 2020 Kauli ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ya kusema Wagombea wa Upinzani wasiwachafue wagombea wa chama tawala una lengo la kutaka kuwatisha

Nchi haijengwi kwa matusi au dharau, ni muhimu kujenga utamaduni wa kushindana kwa hoja za maendeleo. Mfano Lis anapomdharau na kumtusi Dkt Magufuli unadhani anamfurahisha nani zaidi ya kujiharibia? Watanzania ni waelewa.
Ndugu yangu yangu Unajua kuwa chato sasa hivi kuna mradi wa kukuza shamba la miti kubwa kuliko ilivyo SAW HILL ya Mufindi. Nyerere alilipeleka Iringa si Butiama.
Tuwe na kiasi kumtukuza huyu mtu. Mabaya haya machache yanapofua watu kuyaona mazuri. Mwaka huu tutachoka kumvika Nguo. Maana kila utakayomvika wapinzani watamvua. Mwisho siku ya kupiga kura ikifika atakuwa uchi na kajichafua na kinyesi
 
Habari kubwa kwenye magazeti ya Leo ni kauli aliyoitoa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ya kuwapiga mkwara mzito, wagombea wa vyama vya upinzani kuwa wasitumie majukwaa ya kisiasa katika kipindi hiki cha kampeni kuwachafua wagombea wenzao.

Ingawa hakuwataja kwa majina wagombea hao, ni dhahiri alikuwa na maana ya wagombea wa Chadema na ACT Wazalendo, ambao kwao CCM ndiyo wanawaona kuwa ni tishio kubwa sana kwao.

Ni jambo la kushangaza kauli hiyo kutolewa na kiongozi wa ngazi ya juu wa CCM, kwa kuwa katika kipindi chote cha miaka 5 iliyopita, chama cha CCM "kilijipendelea" kwa kufanya kampeni peke yao, nchi nzima, wakiwachafua na kiwatukana viongozi wenzao wa upinzani, huku wakivipiga marufuku vyama vya upinzani, kutofanya mikutano yoyote ya kisiasa ya kujibu mashambulizi hayo

Sasa inashangaza mno kwa viongozi hao wa upinzani wanapotumia fursa hii waliyoipata wakati huu kufanya kampeni kujieleza, Waziri mkuu anasema wasiwachafue viongozi wa CCM!

Hivi kwa mfano kauli iliyotolewa na kiongozi wa Chadema, ambaye pia ni mgombea wa nafasi ya Urais Tundu Lissu, kuwa Rais Magufuli ametumia nafasi yake ya Urais kujenga kiwanja cha ndege cha kimataifa, huko kijijini kwake Chato na "kulazimisha" kuwa na mbuga yao ya wanyama ya Burigi, kwa Maelezo ya waziri mkuu, ni kumchafua Rais Magufuli?

Ninavyoona Mimi kama raia wa Tanzania, ambaye nina haki ya kutoa maoni yangu, kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ibara ya 18(1) uamuzi wa busara kwa viongozi wa CCM ni kwa Rais Magufuli kujitokeza hadharani na kujibu mapigo hayo ni kwanini yeye ameamua kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa kwenye kijiji chake, kinyume cha viongozi waliomtangulia, akina Mwalimu Nyerere, Alli Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete, hawajafanya kama yeye, aende kwenye majukwaa ya kisiasa ili atoe maelezo kama maneno aliyoyatoa Tundu Lissu ni ya uwongo. OVA
Mlipewa ruksa ya kufanya mikutano ya siasa kwenye majimbo, ila mkapuuza acheni kujiliza kisa mnajua mmeshashindwa.
 
Habari kubwa kwenye magazeti ya Leo ni kauli aliyoitoa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ya kuwapiga mkwara mzito, wagombea wa vyama vya upinzani kuwa wasitumie majukwaa ya kisiasa katika kipindi hiki cha kampeni kuwachafua wagombea wenzao.

Ingawa hakuwataja kwa majina wagombea hao, ni dhahiri alikuwa na maana ya wagombea wa Chadema na ACT Wazalendo, ambao kwao CCM ndiyo wanawaona kuwa ni tishio kubwa sana kwao.

Ni jambo la kushangaza kauli hiyo kutolewa na kiongozi wa ngazi ya juu wa CCM, kwa kuwa katika kipindi chote cha miaka 5 iliyopita, chama cha CCM "kilijipendelea" kwa kufanya kampeni peke yao, nchi nzima, wakiwachafua na kiwatukana viongozi wenzao wa upinzani, huku wakivipiga marufuku vyama vya upinzani, kutofanya mikutano yoyote ya kisiasa ya kujibu mashambulizi hayo

Sasa inashangaza mno kwa viongozi hao wa upinzani wanapotumia fursa hii waliyoipata wakati huu kufanya kampeni kujieleza, Waziri mkuu anasema wasiwachafue viongozi wa CCM!

Hivi kwa mfano kauli iliyotolewa na kiongozi wa Chadema, ambaye pia ni mgombea wa nafasi ya Urais Tundu Lissu, kuwa Rais Magufuli ametumia nafasi yake ya Urais kujenga kiwanja cha ndege cha kimataifa, huko kijijini kwake Chato na "kulazimisha" kuwa na mbuga yao ya wanyama ya Burigi, kwa Maelezo ya waziri mkuu, ni kumchafua Rais Magufuli?

Ninavyoona Mimi kama raia wa Tanzania, ambaye nina haki ya kutoa maoni yangu, kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ibara ya 18(1) uamuzi wa busara kwa viongozi wa CCM ni kwa Rais Magufuli kujitokeza hadharani na kujibu mapigo hayo ni kwanini yeye ameamua kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa kwenye kijiji chake, kinyume cha viongozi waliomtangulia, akina Mwalimu Nyerere, Alli Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete, hawajafanya kama yeye, aende kwenye majukwaa ya kisiasa ili atoe maelezo kama maneno aliyoyatoa Tundu Lissu ni ya uwongo. OVA
Maneno ya mwoga: "Mshikeni. Nitamuua".
 
Siyo dini ndiyo inayomlinda huyo kivuruge.

Bali ukweli ni kuwa yupo "karibu sana" na Jiwe, ndiyo imekuwa kinga yake kubwa, hadi vyombo vya sheria vinamuogopa!
true hakuna aliyeawhi mgusa msiba akabaki salama alishughulikiwa
 
Ttz miaka yote mitano walikua wanajixifia kipindi hiki wanakoxolewa wanaxema wanachafuliwa wapeleke ujinga wao huko watulie dawa iingie
 
Si mmemaikia mkuu wa Tanpol,na yeye kaimba wimbo uleule.
 
Mbona wapinzani wakitukanwa (wanaitwa vibaraka wa mabeberu, wazinzi, wana mahusiano ya jinsia moja, mafisadi wa ruzuku, wauaji wa Akwilina n.k.) na wafuasi wa Chama Tawala hatuwasikii mkiwatetea? Watu wamewatishia vifo na kuwatia vilema lakini hatuwasikii mkisema kuwa hiyo sio sahihi!
Watanzania kweli ni waelewa na wanajua nani anamtukana nani.

Amandla...
Watawala Mara zote hujisahau na kujiona kuwa wao ndiyo wenye hati miliki ya nchi, wanasahau nchi ni ya wananchi na waowamepewa dhamana tu ya kuendesha nchi chini ya uangalizi wa wananchi kwa miaka mitano.
 
Habari kubwa kwenye magazeti ya Leo ni kauli aliyoitoa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ya kuwapiga mkwara mzito, wagombea wa vyama vya upinzani kuwa wasitumie majukwaa ya kisiasa katika kipindi hiki cha kampeni kuwachafua wagombea wenzao.

Ingawa hakuwataja kwa majina wagombea hao, ni dhahiri alikuwa na maana ya wagombea wa Chadema na ACT Wazalendo, ambao kwao CCM ndiyo wanawaona kuwa ni tishio kubwa sana kwao.

Ni jambo la kushangaza kauli hiyo kutolewa na kiongozi wa ngazi ya juu wa CCM, kwa kuwa katika kipindi chote cha miaka 5 iliyopita, chama cha CCM "kilijipendelea" kwa kufanya kampeni peke yao, nchi nzima, wakiwachafua na kiwatukana viongozi wenzao wa upinzani, huku wakivipiga marufuku vyama vya upinzani, kutofanya mikutano yoyote ya kisiasa ya kujibu mashambulizi hayo

Sasa inashangaza mno kwa viongozi hao wa upinzani wanapotumia fursa hii waliyoipata wakati huu kufanya kampeni kujieleza, Waziri mkuu anasema wasiwachafue viongozi wa CCM!

Hivi kwa mfano kauli iliyotolewa na kiongozi wa Chadema, ambaye pia ni mgombea wa nafasi ya Urais Tundu Lissu, kuwa Rais Magufuli ametumia nafasi yake ya Urais kujenga kiwanja cha ndege cha kimataifa, huko kijijini kwake Chato na "kulazimisha" kuwa na mbuga yao ya wanyama ya Burigi, kwa Maelezo ya waziri mkuu, ni kumchafua Rais Magufuli?

Ninavyoona Mimi kama raia wa Tanzania, ambaye nina haki ya kutoa maoni yangu, kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ibara ya 18(1) uamuzi wa busara kwa viongozi wa CCM ni kwa Rais Magufuli kujitokeza hadharani na kujibu mapigo hayo ni kwanini yeye ameamua kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa kwenye kijiji chake, kinyume cha viongozi waliomtangulia, akina Mwalimu Nyerere, Alli Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete, hawajafanya kama yeye, aende kwenye majukwaa ya kisiasa ili atoe maelezo kama maneno aliyoyatoa Tundu Lissu ni ya uwongo. OVA
Je wakati kina Slowslow, kibajia na msukuma wakitoa kashfa na kejeli zao kwa wabunge wasio wa ccm mh. PM akiwa kiongozi wa shughuli za serikali bungeni kwanini hakukemea? Wakati EL anagombea kupitia ukawa kashfa za nguoni alizotupiwa au clip walizozagaza kina msukuma wakati FM amevamiwa kwanini hakukemea?
WAVUMILIE TU WATU WATEME NYONGO ZA KUDHIHAKIWA MIAKA MITANO!
"Mwanasiasa anapaswa kuwa na ngozi ngumu..." by NM
 
Waziri mkuu nilikuwa namuona kama ni mtu mpole, msitarabu, anajiheshimu,,,ila kutokana na hiyo kauli yake naye kuanzia sasa nimemuweka kwenye kundi la watu wa OVYO OVYO
 
Watawala Mara zote hujisahau na kujiona kuwa wao ndiyo wenye hati miliki ya nchi, wanasahau nchi ni ya wananchi na waowamepewa dhamana tu ya kuendesha nchi chini ya uangalizi wa wananchi kwa miaka mitano.
Huo ndiyo ukweli mchungu, ambao watawala wanajitia upofu, kujifanya hawauoni..........

Lakini ipo siku hizi.dhuluma zote zinazofanywa na watawala zitafika mwisho
 
Habari kubwa kwenye magazeti ya Leo ni kauli aliyoitoa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ya kuwapiga mkwara mzito, wagombea wa vyama vya upinzani kuwa wasitumie majukwaa ya kisiasa katika kipindi hiki cha kampeni kuwachafua wagombea wenzao.

Ingawa hakuwataja kwa majina wagombea hao, ni dhahiri alikuwa na maana ya wagombea wa Chadema na ACT Wazalendo, ambao kwao CCM ndiyo wanawaona kuwa ni tishio kubwa sana kwao.

Ni jambo la kushangaza kauli hiyo kutolewa na kiongozi wa ngazi ya juu wa CCM, kwa kuwa katika kipindi chote cha miaka 5 iliyopita, chama cha CCM "kilijipendelea" kwa kufanya kampeni peke yao, nchi nzima, wakiwachafua na kiwatukana viongozi wenzao wa upinzani, huku wakivipiga marufuku vyama vya upinzani, kutofanya mikutano yoyote ya kisiasa ya kujibu mashambulizi hayo

Sasa inashangaza mno kwa viongozi hao wa upinzani wanapotumia fursa hii waliyoipata wakati huu kufanya kampeni kujieleza, Waziri mkuu anasema wasiwachafue viongozi wa CCM!

Hivi kwa mfano kauli iliyotolewa na kiongozi wa Chadema, ambaye pia ni mgombea wa nafasi ya Urais Tundu Lissu, kuwa Rais Magufuli ametumia nafasi yake ya Urais kujenga kiwanja cha ndege cha kimataifa, huko kijijini kwake Chato na "kulazimisha" kuwa na mbuga yao ya wanyama ya Burigi, kwa Maelezo ya waziri mkuu, ni kumchafua Rais Magufuli?

Ninavyoona Mimi kama raia wa Tanzania, ambaye nina haki ya kutoa maoni yangu, kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ibara ya 18(1) uamuzi wa busara kwa viongozi wa CCM ni kwa Rais Magufuli kujitokeza hadharani na kujibu mapigo hayo ni kwanini yeye ameamua kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa kwenye kijiji chake, kinyume cha viongozi waliomtangulia, akina Mwalimu Nyerere, Alli Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete, hawajafanya kama yeye, aende kwenye majukwaa ya kisiasa ili atoe maelezo kama maneno aliyoyatoa Tundu Lissu ni ya uwongo. OVA
aende zake huko yeye sio mbunge na sio waziri tena anawezaje kutisha wagombea wezake
 
Back
Top Bottom