Kauli za akina Tundu Lissu, Boniface Jacob, Twaha Mwaipaya, Mdude Nyagali, Pambalu, Sativa, Heche ndizo zimesababisha 4R kusahaulika

Kauli za akina Tundu Lissu, Boniface Jacob, Twaha Mwaipaya, Mdude Nyagali, Pambalu, Sativa, Heche ndizo zimesababisha 4R kusahaulika

Joined
Nov 27, 2024
Posts
43
Reaction score
127
Tangu mwanzo wanasiasa hawa walikuwa wakiongea maneno ya hovyo, kwenye mikutano ya TCD, mikutano ya kutoa maoni ya dira ya Taifa, mikutano yoyote yenye mikusanyiko ya watu, walikuwa wakitoa kauli za kibabe sana.

Mfano Boni Yai anawaambia wana chadema msinipigie simu nataka mtu akinipigia simu aniambie amechukua hatua gani kwa msimamizi wa uchaguzi au msimamizi wa kituo, huyo Mwaipaya akawa akienda hadi kwenye vipimajoto vya ITV anasimama kwa mbwembwe akisema kuwa wasimamizi wa vituo tunaishi nao, wakurugenzi tunaishi nao, migambo tunaishi nao, Polisi tunaishi nao, kwanza polisi wako wachache nchi hii sisi tuko wengi, tutasema nao.

Lissu naye ndio usiseme kila mtu anajua hadi anamkashifu Rais wa nchi, huyo Sativa daah hana adabu hata kidogo, kule kwa Mdude Nyagali yeye ndio anajiona mwamba kuliko wote ndani ya Chadema.

Sasa vitisho vya namna hii utadhani nchi hii haina vyombo vya usalama unamtishia nani? Uchaguzi umefanyika jana Boni Yai kapiga kura karudi zake home anatweet tu kwenye mtandao wa X sijui amekutana na kiongozi mstaafu wa Serikali amemwambia hivi hivi, huku vijana wa chama hicho wakila virungu na kutaabika.Huyo Mwaipaya kakaa pembeni, hakuna yeyote aliyeonekana akipambana zaidi ya kutumia mitandao kulalamika lalamika tu.

Kama sio kauli zao naamini uchaguzi ungefanyika katika mazingira ya amani na utulivu kuliko hivi sasa ambapo vijana wengi sidhani kama mwakani watakwenda kupiga kura.
 
We pambania maisha yako ya ushabiki mkuu.

Hayo mambo ya siasa ni zaid ya akili na nje ya scale ya mshahara wako.
 
4R zilikuwa ni famba bin fambastic, CDM jipangeni upya 2025 maana hamna jambo jepesi Duniani bila jasho & damu.
 
Tangu mwanzo wanasiasa hawa walikuwa wakiongea maneno ya hovyo, kwenye mikutano ya TCD, mikutano ya kutoa maoni ya dira ya Taifa, mikutano yoyote yenye mikusanyiko ya watu, walikuwa wakitoa kauli za kibabe sana.

Mfano Boni Yai anawaambia wana chadema msinipigie simu nataka mtu akinipigia simu aniambie amechukua hatua gani kwa msimamizi wa uchaguzi au msimamizi wa kituo, huyo Mwaipaya akawa akienda hadi kwenye vipimajoto vya ITV anasimama kwa mbwembwe akisema kuwa wasimamizi wa vituo tunaishi nao, wakurugenzi tunaishi nao, migambo tunaishi nao, Polisi tunaishi nao, kwanza polisi wako wachache nchi hii sisi tuko wengi, tutasema nao.

Lissu naye ndio usiseme kila mtu anajua hadi anamkashifu Rais wa nchi, huyo Sativa daah hana adabu hata kidogo, kule kwa Mdude Nyagali yeye ndio anajiona mwamba kuliko wote ndani ya Chadema.

Sasa vitisho vya namna hii utadhani nchi hii haina vyombo vya usalama unamtishia nani? Uchaguzi umefanyika jana Boni Yai kapiga kura karudi zake home anatweet tu kwenye mtandao wa X sijui amekutana na kiongozi mstaafu wa Serikali amemwambia hivi hivi, huku vijana wa chama hicho wakila virungu na kutaabika.Huyo Mwaipaya kakaa pembeni, hakuna yeyote aliyeonekana akipambana zaidi ya kutumia mitandao kulalamika lalamika tu.

Kama sio kauli zao naamini uchaguzi ungefanyika katika mazingira ya amani na utulivu kuliko hivi sasa ambapo vijana wengi sidhani kama mwakani watakwenda kupiga kura.
Ina maana hujui kwa nini wametoa kauli hizo au kwa kushabikia Simba na Yanga akili zimekuhama kabisa.
 
Iko siku Chadema watatafutwa na kumbembelezwa lakini mtakuwa mmechelewa
 
Wao
Tangu mwanzo wanasiasa hawa walikuwa wakiongea maneno ya hovyo, kwenye mikutano ya TCD, mikutano ya kutoa maoni ya dira ya Taifa, mikutano yoyote yenye mikusanyiko ya watu, walikuwa wakitoa kauli za kibabe sana.

Mfano Boni Yai anawaambia wana chadema msinipigie simu nataka mtu akinipigia simu aniambie amechukua hatua gani kwa msimamizi wa uchaguzi au msimamizi wa kituo, huyo Mwaipaya akawa akienda hadi kwenye vipimajoto vya ITV anasimama kwa mbwembwe akisema kuwa wasimamizi wa vituo tunaishi nao, wakurugenzi tunaishi nao, migambo tunaishi nao, Polisi tunaishi nao, kwanza polisi wako wachache nchi hii sisi tuko wengi, tutasema nao.

Lissu naye ndio usiseme kila mtu anajua hadi anamkashifu Rais wa nchi, huyo Sativa daah hana adabu hata kidogo, kule kwa Mdude Nyagali yeye ndio anajiona mwamba kuliko wote ndani ya Chadema.

Sasa vitisho vya namna hii utadhani nchi hii haina vyombo vya usalama unamtishia nani? Uchaguzi umefanyika jana Boni Yai kapiga kura karudi zake home anatweet tu kwenye mtandao wa X sijui amekutana na kiongozi mstaafu wa Serikali amemwambia hivi hivi, huku vijana wa chama hicho wakila virungu na kutaabika.Huyo Mwaipaya kakaa pembeni, hakuna yeyote aliyeonekana akipambana zaidi ya kutumia mitandao kulalamika lalamika tu.

Kama sio kauli zao naamini uchaguzi ungefanyika katika mazingira ya amani na utulivu kuliko hivi sasa ambapo vijana wengi sidhani kama mwakani watakwenda kupiga kura.
Uongo huu. Wao watu 6 waharibu maslahi ya 45 milioni? Halafu pengine alieandika mada graduate from Udsm
 
Back
Top Bottom