Kauli za Chalamila zinazua maswali mengi

Kauli za Chalamila zinazua maswali mengi

Chalamila eti na yeye ana PhD

20210515_172228.jpg
 
Hii inawezekana Tz tu.,no Kama swali langu....hivi ilikuwaje Mwigulu akakwea pale alipo!
 
What a bogus guy. He deserved to be fired from the Office
 
Kwani hukuwahi msikia mwendazake akiwaambia watu wa Mwanza, akielezea kuwa anawateua "wehu" wenzake kwenye serikali yake?

Hivi unadhani kweli "upstairs" zake ziko sawa huyu Chalamila??
Umeweza vipi kumjudge mtu Ni mwehu aisee.kuna watu chuki zitawapeleka pabaya
 
Kuna swali moja umeshindwa kujiuliza kuwa huyu ni mkuu wa mkoa na ni mwenyekiti wa kamati ya usalama ya Mkoa. Mchukue yeye na kila kitu kuhusu yeye kama upumbavu Ila mbakizie tu hiyo nafasi ya mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa na itafakari kauli yake chini ya nafasi hiyo.
Mkuu:
Kiongozi yeyote yule anaye ongoza watu ni lazima atumie hekima na busara katika uongozi wake, na hii inathibitika pale anapo toa kauli zake, hapo ndipo kipimo cha uwezo wake kinapojulikana. JK aliwahi kusema akili za kuambiwa changanya na zako.
 
Huyu Chalamila nadhani kichwani kuna mahali hapapo sawa. Mtu mwenye akili timamu kabisa hawezi kuropoka kiasi hicho.

Mh. Samia atambue kuwa mtangulizi wake, mara nyingi alikuwa akiwapenda watu wenye akili na tabia za ajabu ajabu. Na kuna wakati aliwahi kutamka kuwa amemteua jamaa mmoja kwa sababu ni kichaa kama yeye. Rais awachunguze wateule wote wa mtangukizi wake, wale ambao akili, tabia na hekima havijatimia awaondoe mapema. Kuendelea kuwalea, kuna siku Mh. Rais atakuja kujutia kwa nini hakuwaondoa mapema.

Bado List ipo mkuu
 
Chalamila hajamaliza hata wiki mbili tangu awe Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, sasa je aliwezaje kuzipata taarifa za Wakazi wa Mwanza kwa muda mfupi tuu kuwa watu Wanakinyongo na Kifo cha Magufuli?
Labda kwenye pombe maana alikuwa anahamasisha sana watu kwenda kunywa pombe
 
Back
Top Bottom