Kauli za Chalamila zinazua maswali mengi

Kauli za Chalamila zinazua maswali mengi

Hayo maneno washamba wa Mwanza ndio huwa petrol inayoanzisha uhasama baadae.

Rwanda ilichafuka 1994 kwa maneno machache tu kama hayo.

Kule ulaya mashariki kwa kina Albania kulichafuka kwa maneno machache tu.
Ninachoshukuru hujanielewa.
But naaamini hamtaishia kumtumbua tu huyu mkosa busara Chalamila, bali mtatafakari pia na kauli yake ili mjue kama ni ya Chalamila lopo lopo, au Chalamila Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama wa mkoa.
 
Haya mabaki ya Mwendazake lazima tuyang'oe kama magugu shambani na hayawezi kujificha. Yako mengi tu pamoja na ;
Ali Happi, Biswalo Mganga, Lazaro Mambosasa, Wilson Mahera, Dotto James, Palamagamba Kabudi, Bashiru Ally na Humphrey Polepole.

Hao ni sumu kwa Utawala wa Rais SSH
 
Ninachoshukuru hujanielewa.
But naaamini hamtaishia kumtumbua tu huyu mkosa busara Chalamila, bali mtatafakari pia na kauli yake ili mjue kama ni ya Chalamila lopo lopo, au Chalamila Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama wa mkoa.
Kapigwa chini yeye na kamati inaendelea na kazi chini ya RC mpya mwenye uwezo wa kuuchunga mdomo wake.
 
Hapa tunaweza kuwa tukakubaliana kwenye kufikiria vyema. Ila haiondoi ukweli wa kile ambacho yeye kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa wa Mwanza anaweza kuwa alikuwa anakijua kuhusu watu wa Mwanza.
Yani kwa wiki Mbili uyajue mawazo na maoni ya wana Mwanza tena kwa Jambo kubwa kama hilo
 
Kapigwa chini yeye na kamati inaendelea na kazi chini ya RC mpya mwenye uwezo wa kuuchunga mdomo wake.
Hiyo Genocide unayosema moja ya sababu ilikuwa kufunika kombe mwanaharamu apite, hata pale ilipokuwa inaonekana wazi kuwa mwanaharamu hawezi pita.
 
Kuna swali moja umeshindwa kujiuliza kuwa huyu ni mkuu wa mkoa na ni mwenyekiti wa kamati ya usalama ya Mkoa. Mchukue yeye na kila kitu kuhusu yeye kama upumbavu Ila mbakizie tu hiyo nafasi ya mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa na itafakari kauli yake chini ya nafasi hiyo.
Hakupaswa muropoka hadharani Ile kamati ni confidential kama kuna taarifa peleka kunakohusika. Albert ni mjinga sana.
 
Hakupaswa muropoka hadharani Ile kamati ni confidential kama kuna taarifa peleka kunakohusika. Albert ni mjinga sana.
Mkuu kwenye hili hata Mimi naungana nawe kabisa. Hapa jamaa ameonyesha ujuha. Swali linabaki hii kauli tuichukue kama kauli ya juha huyu tu kaamua kujiropokea kutokana na ujuha wake. Au ni ukweli ambao umeropokwa na juha.
 
Sijui wanatumiaga vigezo vipi kumpata mkuu wa mkoa maana Chalamila hata mjumbe wa mtaa ulikua haumfai kutokana na lugha zake chafu
 
CHALAMILA KAULI ZAKE ZINAZUA MASWALI MENGI.

Na Robert Heriel.

Nani aliyemuambia wananchi wa Mwanza Wanakinyongo na Kifo cha Magufuli?

Chalamila hajamaliza hata wiki mbili tangu awe Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, sasa je aliwezaje kuzipata taarifa za Wakazi wa Mwanza kwa muda mfupi tuu kuwa watu Wanakinyongo na Kifo cha Magufuli?

Je Chalamila alikuwa akiisemea nafsi yake au alikuwa akiwasilisha vinyongo vya watu wanaomzunguka kuhusu Kifo cha Magufuli?

Je Chalamila hakuwepo wakati msiba wa Magufuli na hakusikia Sababu zilizosababisha Umauti umfikie JPM?

Je nini dhamira ya Chalamila kusema kauli hiyo?

Chalamila kusema watu Waende na Mabango yenye jumbe zozote hata za MATUSI, alikuwa anajaribu Kueleza Uhuru wa namna gani?

Chalamila akiwa Mbeya aliwahi kusema hataki Mabango ya Aina yoyote yenye jumbe za hovyo, je nini kimebadilika alipofika Mwanza?

Nilishawahi kusema, Wale wote waliokuwa wakisapuza na kuhamasisha JPM aongezewe muda wa kuongoza wanapaswa waondolewe katika nafasi walizonazo. Na Kama ni wabunge mwaka 2025 wasirudi bungeni.

Bahati nzuri wanafahamika, na wanajifahamu. Hatuwezi kuwa na taifa la viongozi wasioweza kutumia akili zao vizuri.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa MOROGORO

View attachment 1816057
KAMWENE 😁😁
 
CLIP NZIMA ITAFUTE ALIONGEA VIZURI TU,ALITAKA WAANZE KWENDA KWAKE NA HAYO MABANGO SABABU ALISEMA HATA YEYE KUNA MAMBO YANAWEZA KUWA YANAFANYIKA ILA ANAFICHWA PIA ALISEMA KABLA YA RAIS KUJA KUPITIA HAYO MABANGO YEYE NA TIMU YAKE WATAYAFANYIA KAZI NA MTU AMBAYE BADO ANAKINYONGO AU UNAHISI AMEONEWA AJE HATA NA MABANGO YA MATUSI OFISI KWAKE WATAMSIKILIZA SHIDA YAKE...ILA HIYO INAYOZUNGUKA MITANDAONI WAJANJA WAME´EDIT .....ila nadhani mama samia kumtumbua sio kwa sababu ya ile clip maana habari kamili alikuwa nayo...kamtumbua kwa sababu ya makandokando yake ya huko nyuma
Alizoea kutamka maneno ya kumfurahisha mwendazake, juzi alizidisha viungo akaharibu mchuzi. Ninaamini Chalamila hakuazimia kusema watu waende na mabango ya matusi.
I
 
CHALAMILA KAULI ZAKE ZINAZUA MASWALI MENGI.

Na Robert Heriel.

Nani aliyemuambia wananchi wa Mwanza Wanakinyongo na Kifo cha Magufuli?

Chalamila hajamaliza hata wiki mbili tangu awe Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, sasa je aliwezaje kuzipata taarifa za Wakazi wa Mwanza kwa muda mfupi tuu kuwa watu Wanakinyongo na Kifo cha Magufuli?

Je Chalamila alikuwa akiisemea nafsi yake au alikuwa akiwasilisha vinyongo vya watu wanaomzunguka kuhusu Kifo cha Magufuli?

Je Chalamila hakuwepo wakati msiba wa Magufuli na hakusikia Sababu zilizosababisha Umauti umfikie JPM?

Je nini dhamira ya Chalamila kusema kauli hiyo?

Chalamila kusema watu Waende na Mabango yenye jumbe zozote hata za MATUSI, alikuwa anajaribu Kueleza Uhuru wa namna gani?

Chalamila akiwa Mbeya aliwahi kusema hataki Mabango ya Aina yoyote yenye jumbe za hovyo, je nini kimebadilika alipofika Mwanza?

Nilishawahi kusema, Wale wote waliokuwa wakisapuza na kuhamasisha JPM aongezewe muda wa kuongoza wanapaswa waondolewe katika nafasi walizonazo. Na Kama ni wabunge mwaka 2025 wasirudi bungeni.

Bahati nzuri wanafahamika, na wanajifahamu. Hatuwezi kuwa na taifa la viongozi wasioweza kutumia akili zao vizuri.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa MOROGORO

View attachment 1816057
Huyu Chalamila nadhani kichwani kuna mahali hapapo sawa. Mtu mwenye akili timamu kabisa hawezi kuropoka kiasi hicho.

Mh. Samia atambue kuwa mtangulizi wake, mara nyingi alikuwa akiwapenda watu wenye akili na tabia za ajabu ajabu. Na kuna wakati aliwahi kutamka kuwa amemteua jamaa mmoja kwa sababu ni kichaa kama yeye. Rais awachunguze wateule wote wa mtangukizi wake, wale ambao akili, tabia na hekima havijatimia awaondoe mapema. Kuendelea kuwalea, kuna siku Mh. Rais atakuja kujutia kwa nini hakuwaondoa mapema.
 
Imefanyika Sana chini ya tawala dhalimu.
Mahakimu walishindana kuwanyima wapinzani Dhamana Ili kumfurahisha mwendazake Ili afurahi awape teuzi ya ujaji.
Mapolisi walishindana kukamata wapinzani na intelligence zisizoisha mbona siku hizi hizo intellegencia ya viashiria vya vurugu atusikii kwenye mikutano ya wapinzani.Wapo waliopewa teuzi baada ya kutishia kuwaua wapinzani.
Hakika tumepita kwenye bonde la uvuli wa mauti.
Mungu yu mwema Hakuna mwanadamu yeyeto aliyewahi ibeba dunia.
Mkuu wa mkoa yule ndugu Bashite aliwahi taka kuzuia Viongozi wa Upinzani na watu asiowapenda wasikanyage ama waondoke Dar.
Hii Dunia hii.
Magufuli aliwahi tanks ikifika mwezi wa Saba mwaka ule Kuna watu wataondoka mjini(Dar).
Hii Dunia hii.
 
Mkuu wa mkoa yule ndugu Bashite aliwahi taka kuzuia Viongozi wa Upinzani na watu asiowapenda wasikanyage ama waondoke Dar.
Hii Dunia hii.
Magufuli aliwahi tanks ikifika mwezi wa Saba mwaka ule Kuna watu wataondoka mjini(Dar).
Hii Dunia hii.
Madaraka ayawafai watu washamba
 
Haya mabaki ya Mwendazake lazima tuyang'oe kama magugu shambani na hayawezi kujificha. Yako mengi tu pamoja na ;
Ali Happi, Biswalo Mganga, Lazaro Mambosasa, Wilson Mahera, Dotto James, Palamagamba Kabudi, Bashiru Ally na Humphrey Polepole.

Hao ni sumu kwa Utawala wa Rais SSH
Hata Ntibayonzika na Madelu ndiwo haohao.Kwa ujumla Rais wetu ana kazi kwerikweri
 
Back
Top Bottom