Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #21
Upstairs kuna shida kama ilivyokuwa kwa jamaa yake.
Anajifanyisha tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upstairs kuna shida kama ilivyokuwa kwa jamaa yake.
nadhani msimu uliopita.. mkuu alikuwa hasikilizi vetting. anaamua yeye anavyoona. matokeo yake kapata magugu majiSerikali iwe makini wakati mwingine, hasa TISS vinginevyo watu Kama hawa wanaharibu Sana nchi
nadhani msimu uliopita.. mkuu alikuwa hasikilizi vetting. anaamua yeye anavyoona. matokeo yake kapata magugu maji
Kwani hizo taarifa anazikusanya yeye, kama Kuna wanaokusanya hizo taarifa na kumpa yeye kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa, hao watu nao walikuwa na siku ngapi hapo mwanza?Unajua anamuda gani tangu afike Mwanza, na tangu aanze kazi??
Kuwa mwenyekiti wa usalama Mkoa haimaanishi Kwa muda mfupi unaweza pata Data za watu wengi katika Mkoa wako.
Kusema watu Wanakinyongo ni kuzua maswali Tata Kwa wakubwa wanaokusikiliza Mkuu
Kwan wewe ni mgeni wa awamu ya tano mzee??Hivi inakuwaje mtu wa namna hii anateuliwa nafasi Kama hiyo?
nadhani msimu uliopita.. mkuu alikuwa hasikilizi vetting. anaamua yeye anavyoona. matokeo yake kapata magugu maji
maisha bila exposure ni tatizo saaaana, hawa viongozi wetu wengi wamesoma ila hawana exposure ya maisha zaidi...
Chala boy ni mhuni tu kama wahuni wengine wa kizamani tu... afundishwe uhuni wa kisasa bado ana uhuni wa kizamani kama yule jamaa...
Hawa waliomuita Yesu walikufuru na yeye mh akakubari kupokea utukufu wa ki Mungu, akasambaratishwa, waliokosea danaKuna Wale waliosema JPM ni Yesu, yaani dunia haiishi vioja
Kwani hizo taarifa anazikusanya yeye, kama Kuna wanaokusanya hizo taarifa na kumpa yeye kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa, hao watu nao walikuwa na siku ngapi hapo mwanza?
Hawa waliomuita Yesu walikufuru na yeye mh akakubari kupokea utukufu wa ki Mungu, akasambaratishwa, waliokosea dana
Chalamila hakutaka kuendelea na kazi, kwa hiyo alikuwa kajipanga kwa aina hiyo!!
Hapa na mimi ameniacha njiani, lakini Rais alifahamu kuwa Chalamila ni petrol na haikupita muda petrol imelipuka.Kusema watu Wanakinyongo alikuwa anazungumzia nini Mkuu
unataka uolewe naye, embu jaribu kama utampiku aliyenaye!!Huyu jamaa ana mke?