sawima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 5,496
- 8,491
Mwenzie Mongera hakuliona hilo lkn yeye kafika wiki mbili tu tayari!Hapa tunaweza kuwa tukakubaliana kwenye kufikiria vyema. Ila haiondoi ukweli wa kile ambacho yeye kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa wa Mwanza anaweza kuwa alikuwa anakijua kuhusu watu wa Mwanza.