Kauli za kuwaita mawaziri wapumbavu ama nonsense zitafutwa na Katiba Mpya

Kauli za kuwaita mawaziri wapumbavu ama nonsense zitafutwa na Katiba Mpya

Ungesikiliza alichokisema huyo Waziri usingeandika ulichoandika. Ilikuwa ni msimamo wa Serikali wala siyo wa Waziri kuwa sukari itaagizwa tu na wenye viwanda kuziba pengo la sukari inayozalishwa nchini na mahitaji ya nchi. Waziri alikuwa anasimamia maamuzi ya Serikali kumuita nonsense ni kuitukana Serikali nzima.View attachment 2027359View attachment 2027361

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Kama kuna mtanzania anadhani hilo li nonsense ni kwa ajili ya waziri basi amepotea.

Hilo tusi ni la jumla jumla kwa baraza zima na watendaji woote na wananchi
 
Tunaoenda kulisha maneno watu Raisi alisema ujumbe ulikuwa non sense lakini hajamwita mtu yetote mpumbavu hii ni kuongeza chumvi!. Ungesema kwamba waziri kaongea mambo ya kijinga tungekuelewa lakini kusema “ mpumbavu” ni mtu sio maneno…
Unatetea ujinga
 
Wanaume wanakuja wanajipigia vocal wakiondoka tunaanza kusikilizia madhara ya vocal zao.

Banana Republic
 
Profesa anazo sababu nzito za kujiuzulu, ili kulinda heshima yake, sijui bado anangoja nini?

Alishasema mwenyewe kuwa kama msimamo wake utapingwa ni bora angeachia ngazi!!! Akiachia ngazi atalinda heshima yake kwani kiuchumi uamuzi wake ni sahihi kwa kutaka nchi ijitegemee kwa uzalishaji wa sukari ili hali Hangaya anarubuniwa na Museveni na yeye anakubali badala ya kwenda na maamuzi ya Waziri Mkuu na waziri wake wa kilimo!!!

Halafu Hangaya akiitwa MUGYA nyie waimba Kwaya wake mnasema ametukanwa!!! Wajanja kama Museveni will take advantage ya UMUGYA wake!!!!
 
Watu inabidi waseme kilichopo kwenye mawazo yao / wanachokiamini ukisema fulani anachofanya ni nonsense au upuuzi wala sio tusi kwake ni kuelezea alichofanya kwa mtizamo wako..., cha maana aliyeambiwa alichofanya ni upuuzi aweze kutetea alichofanya kwa hoja..., na aliyesema kwamba mwenzake amefanya upuuzi wala asikasirke siku na yeye akiambiwa anafanya upuuzi kwa mtizamo wa mwenzake
 
..wewe Jamaal unapenda uzushi pia unaongopa kwa rejea feki.
Hakuna uzushi hapo dunia yote ilisikia Jiwe akiwakashifu mawaziri wake Mpango na Kabudi hadharani bila kupepesha macho yake !! Usitake kupindisha ukweli.
 
Tunaoenda kulisha maneno watu Raisi alisema ujumbe ulikuwa non sense lakini hajamwita mtu yetote mpumbavu hii ni kuongeza chumvi!. Ungesema kwamba waziri kaongea mambo ya kijinga tungekuelewa lakini kusema “ mpumbavu” ni mtu sio maneno…
Shwain
 
Ungesikiliza alichokisema huyo Waziri usingeandika ulichoandika. Ilikuwa ni msimamo wa Serikali wala siyo wa Waziri kuwa sukari itaagizwa tu na wenye viwanda kuziba pengo la sukari inayozalishwa nchini na mahitaji ya nchi. Waziri alikuwa anasimamia maamuzi ya Serikali kumuita nonsense ni kuitukana Serikali nzima.View attachment 2027359View attachment 2027361

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Daah! Kweli rais wa Tanzania ni zaidi ya Mungu aisee
 
Tunaoenda kulisha maneno watu Raisi alisema ujumbe ulikuwa non sense lakini hajamwita mtu yetote mpumbavu hii ni kuongeza chumvi!. Ungesema kwamba waziri kaongea mambo ya kijinga tungekuelewa lakini kusema “ mpumbavu” ni mtu sio maneno…
Soma tena bandiko langu. Umekurupuka
 
Madaraka yanawapa kiburi.Ila acha yaparuane yenyewe kwa yenyewe maana hayakuingia madarakani kwa kura halali Bali wizi.
 
Katiba yetu inampa Rais mamlaka makubwa sana nchi hii. Rais ni kama Mungu kwa mujibu wa katiba yetu.

Mawaziri wanatwezwa lkn hawana cha kufanya. Wakijuzulu "mungu" anaweza kutafsiri hatua hii kama dharau na kuamua kuwashughulikia. Wanalazimika kuipokea kauli ya "mungu mtu" kwa mikono miwili.

Rais Magufuli aliwaita mawaziri Dr. Philip Mpango na Prof. Kabudi WAPUMBAVU mbele ya hadhara. Wakapokea kauli hii kwa mikono miwili. Sote tukabakia tumeduwaa. Ni kwasababu hawakuwa na la kufanya mawaziri hawa. Walimwogopa "mungu" na malaika wake

Rais Samia ametamka hadharani kwamba uamuzi wa Prof. Mkenda kuzuia sukari toka nje ni NONSENSE. Sote tumebaki tumepigwa na butwaa. Hana la kufanya Prof. huyu akirogwa kujiuzulu "Mungu" ama malaika wake watamshughulikia.

Tuiangalie upya Katiba yetu inayomjenga mtu kuwa "Mungu".
Wataendelea kutukanwa sana. Maan hawajielewi
 
Back
Top Bottom