Kauli za kuwaita mawaziri wapumbavu ama nonsense zitafutwa na Katiba Mpya

Kauli za kuwaita mawaziri wapumbavu ama nonsense zitafutwa na Katiba Mpya

Katiba yetu inampa Rais mamlaka makubwa sana nchi hii. Rais ni kama Mungu kwa mujibu wa katiba yetu.

Mawaziri wanatwezwa lkn hawana cha kufanya. Wakijuzulu "mungu" anaweza kutafsiri hatua hii kama dharau na kuamua kuwashughulikia. Wanalazimika kuipokea kauli ya "mungu mtu" kwa mikono miwili.

Rais Magufuli aliwaita mawaziri Dr. Philip Mpango na Prof. Kabudi WAPUMBAVU mbele ya hadhara. Wakapokea kauli hii kwa mikono miwili. Sote tukabakia tumeduwaa. Ni kwasababu hawakuwa na la kufanya mawaziri hawa. Walimwogopa "mungu" na malaika wake

Rais Samia ametamka hadharani kwamba uamuzi wa Prof. Mkenda kuzuia sukari toka nje ni NONSENSE. Sote tumebaki tumepigwa na butwaa. Hana la kufanya Prof. huyu akirogwa kujiuzulu "Mungu" ama malaika wake watamshughulikia.

Tuiangalie upya Katiba yetu inayomjenga mtu kuwa "Mungu".
Hapa kuna tatizo. Si kawaida Rais, Waziri Mkuu na Waziri kutofautiana wakati wote wanatumikia serikali moja na wana kila fursa ya kuweza kuwasiliana kabla ya kutoa msimamo. Naona hapa Rais amechemsha kweli kweli. Anaonyesha alivyo mtupu kwa kiwango kikubwa. Nadhani ingekuwa vizuri wahusika wote wajiuzulu. Nasema hivi kuepuka mmoja kutumia mamlaka yake kuwaumiza wengine. Hapa kuna tatizo. Rais hata hajui sheria inasema nini! Je anapata faida gani au amepewa kitu au hii biashara ni ya watu wake au ndugu zake?
 
Katiba yetu inampa Rais mamlaka makubwa sana nchi hii. Rais ni kama Mungu kwa mujibu wa katiba yetu.

Mawaziri wanatwezwa lkn hawana cha kufanya. Wakijuzulu "mungu" anaweza kutafsiri hatua hii kama dharau na kuamua kuwashughulikia. Wanalazimika kuipokea kauli ya "mungu mtu" kwa mikono miwili.

Rais Magufuli aliwaita mawaziri Dr. Philip Mpango na Prof. Kabudi WAPUMBAVU mbele ya hadhara. Wakapokea kauli hii kwa mikono miwili. Sote tukabakia tumeduwaa. Ni kwasababu hawakuwa na la kufanya mawaziri hawa. Walimwogopa "mungu" na malaika wake

Rais Samia ametamka hadharani kwamba uamuzi wa Prof. Mkenda kuzuia sukari toka nje ni NONSENSE. Sote tumebaki tumepigwa na butwaa. Hana la kufanya Prof. huyu akirogwa kujiuzulu "Mungu" ama malaika wake watamshughulikia.

Tuiangalie upya Katiba yetu inayomjenga mtu kuwa "Mungu".
Tofautisha mtu anaposema kauli hii ni ya kijinga na wewe ni mjinga

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Alishasema mwenyewe kuwa kama msimamo wake utapingwa ni bora angeachia ngazi!!! Akiachia ngazi atalinda heshima yake kwani kiuchumi uamuzi wake ni sahihi kwa kutaka nchi ijitegemee kwa uzalishaji wa sukari ili hali Hangaya anarubuniwa na Museveni na yeye anakubali badala ya kwenda na maamuzi ya Waziri Mkuu na waziri wake wa kilimo!!!

Halafu Hangaya akiitwa MUGYA nyie waimba Kwaya wake mnasema ametukanwa!!! Wajanja kama Museveni will take advantage ya UMUGYA wake!!!!
Hapa kuna tatizo. Si kawaida Rais, Waziri Mkuu na Waziri kutofautiana wakati wote wanatumikia serikali moja na wana kila fursa ya kuweza kuwasiliana kabla ya kutoa msimamo. Naona hapa Rais amechemsha kweli kweli. Anaonyesha alivyo mtupu kwa kiwango kikubwa. Nadhani ingekuwa vizuri wahusika wote wajiuzulu. Nasema hivi kuepuka mmoja kutumia mamlaka yake kuwaumiza wengine. Hapa kuna tatizo. Rais hata hajui sheria inasema nini! Je anapata faida gani au amepewa kitu au hii biashara ni ya watu wake au ndugu zake?
 
Sasa unazuiaje sukari nje?, Kwani matokeo yake hujayaona? Viwanda vichache, bei ikapanda hadi sukari ikawa adimu kupatikana, acha mataifa mengine yajaze sukari nchini ushindani uwe mkubwa bei iwe chee!

Mama yupo sahihi kwenye hili. [emoji3581]
Sukari ya magendo ndo inaweza kushusha bei .. ikipita mfumo rasmi bei inabaki vile vile kutokana na sera ya sukari iliyopo.kama tunaruhusu uingizaji wa sukari ya nje basi na sie wa Mbeya turuhusiwe kuleta kutoka malawi ambayo ni bei nafuu kuliko ya Uganda.
 
Ashazoea jengo lile sasa
Hiyo ni dalili ya kulewa madaraka/mamlaka huwa na ndio kiashiria cha mwanzo wa mwisho wake, KISIASA na labda .........
Nabii Walwa Njozi wa Burigi
nae ilikuwa hivi hivi. Alijaa jeuri, kutukana na kuharibu waliopanga wateule wake, kukashifu yeyote hadharani. Ikulu kuhamia nyumbani kwake, wateule wakiapishwa mpaka uani.
 
Mama yupo sawa! Hoja ya kuzuia sukari ya nje haina mashiko! Maana viwanda vyetu bado havitutoshelezi.
 
Katiba yetu inampa Rais mamlaka makubwa sana nchi hii. Rais ni kama Mungu kwa mujibu wa katiba yetu.

Mawaziri wanatwezwa lkn hawana cha kufanya. Wakijuzulu "mungu" anaweza kutafsiri hatua hii kama dharau na kuamua kuwashughulikia. Wanalazimika kuipokea kauli ya "mungu mtu" kwa mikono miwili.

Rais Magufuli aliwaita mawaziri Dr. Philip Mpango na Prof. Kabudi WAPUMBAVU mbele ya hadhara. Wakapokea kauli hii kwa mikono miwili. Sote tukabakia tumeduwaa. Ni kwasababu hawakuwa na la kufanya mawaziri hawa. Walimwogopa "mungu" na malaika wake

Rais Samia ametamka hadharani kwamba uamuzi wa Prof. Mkenda kuzuia sukari toka nje ni NONSENSE. Sote tumebaki tumepigwa na butwaa. Hana la kufanya Prof. huyu akirogwa kujiuzulu "Mungu" ama malaika wake watamshughulikia.

Tuiangalie upya Katiba yetu inayomjenga mtu kuwa "Mungu".
Mimi namuachia Mungu
 
Katiba yetu inampa Rais mamlaka makubwa sana nchi hii. Rais ni kama Mungu kwa mujibu wa katiba yetu.

Mawaziri wanatwezwa lkn hawana cha kufanya. Wakijuzulu "mungu" anaweza kutafsiri hatua hii kama dharau na kuamua kuwashughulikia. Wanalazimika kuipokea kauli ya "mungu mtu" kwa mikono miwili.

Rais Magufuli aliwaita mawaziri Dr. Philip Mpango na Prof. Kabudi WAPUMBAVU mbele ya hadhara. Wakapokea kauli hii kwa mikono miwili. Sote tukabakia tumeduwaa. Ni kwasababu hawakuwa na la kufanya mawaziri hawa. Walimwogopa "mungu" na malaika wake

Rais Samia ametamka hadharani kwamba uamuzi wa Prof. Mkenda kuzuia sukari toka nje ni NONSENSE. Sote tumebaki tumepigwa na butwaa. Hana la kufanya Prof. huyu akirogwa kujiuzulu "Mungu" ama malaika wake watamshughulikia.

Tuiangalie upya Katiba yetu inayomjenga mtu kuwa "Mungu".
Hivi kuna vikao vingapi vya cabinet secretariat? Hivi mambo kama haya yasingeweza kumalizwa kwenye vikao vya baraza la mawaziri kwa amani badala ya kuja kuyasema huku nje na wananchi wakaanza kupigwa butwaa??
 
Katiba yetu inampa Rais mamlaka makubwa sana nchi hii. Rais ni kama Mungu kwa mujibu wa katiba yetu.

Mawaziri wanatwezwa lkn hawana cha kufanya. Wakijuzulu "mungu" anaweza kutafsiri hatua hii kama dharau na kuamua kuwashughulikia. Wanalazimika kuipokea kauli ya "mungu mtu" kwa mikono miwili.

Rais Magufuli aliwaita mawaziri Dr. Philip Mpango na Prof. Kabudi WAPUMBAVU mbele ya hadhara. Wakapokea kauli hii kwa mikono miwili. Sote tukabakia tumeduwaa. Ni kwasababu hawakuwa na la kufanya mawaziri hawa. Walimwogopa "mungu" na malaika wake

Rais Samia ametamka hadharani kwamba uamuzi wa Prof. Mkenda kuzuia sukari toka nje ni NONSENSE. Sote tumebaki tumepigwa na butwaa. Hana la kufanya Prof. huyu akirogwa kujiuzulu "Mungu" ama malaika wake watamshughulikia.

Tuiangalie upya Katiba yetu inayomjenga mtu kuwa "Mungu".
Bosi wa huyu bibi alikuwa anashikilia msimamo wa kukataza sukari kutoka nje na huyu bibi alikuwa anaunga mkono, leo jambo hilo limegeuka kuwa non-sense. Kesho litaeleweka na bibi mwenyewe atatoa kibali sukari ije kutoka nje lakini hatawaambia hadharani, non-sense!
 
Katiba yetu inampa Rais mamlaka makubwa sana nchi hii. Rais ni kama Mungu kwa mujibu wa katiba yetu.

Mawaziri wanatwezwa lkn hawana cha kufanya. Wakijuzulu "mungu" anaweza kutafsiri hatua hii kama dharau na kuamua kuwashughulikia. Wanalazimika kuipokea kauli ya "mungu mtu" kwa mikono miwili.

Rais Magufuli aliwaita mawaziri Dr. Philip Mpango na Prof. Kabudi WAPUMBAVU mbele ya hadhara. Wakapokea kauli hii kwa mikono miwili. Sote tukabakia tumeduwaa. Ni kwasababu hawakuwa na la kufanya mawaziri hawa. Walimwogopa "mungu" na malaika wake

Rais Samia ametamka hadharani kwamba uamuzi wa Prof. Mkenda kuzuia sukari toka nje ni NONSENSE. Sote tumebaki tumepigwa na butwaa. Hana la kufanya Prof. huyu akirogwa kujiuzulu "Mungu" ama malaika wake watamshughulikia.

Tuiangalie upya Katiba yetu inayomjenga mtu kuwa "Mungu".
Kasema nonsense wakati yeye wakati maamuzi yanafanywa alikuwa na kura ya turufu mkoni juu ya jambo hilo, je haikuwanosense yeye kuitumia ?
 
Kasema nonsense wakati yeye wakati maamuzi yanafanywa alikuwa na kura ya turufu mkoni juu ya jambo hilo, je haikuwanosense yeye kuitumia ?
Mmh! Nchi ngumu sana hii mkuu
 
Usiwaonee huruma CCM mkuu acha watukanane hadharani wanajua namna walivyoingia kimagumashi madarakan

Na Bado Sana utayaona mengi

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hapana watz tujenge tabia ya kuheshimiana na kupendana.Mungu ametuasa tuwe na upendo.Na hizi kauli za kudharauliana hazileti tija,kila mtu anastahili kuheshimiwa bila kujali ana hadhi na wadhifa gani.nakumbuka kuna tajiri mmoja alisema hawezi kuongea na mbwa bali na mwenye mbwa kilichompata anakijua mwenyewe.
 
Ungesikiliza alichokisema huyo Waziri usingeandika ulichoandika. Ilikuwa ni msimamo wa Serikali wala siyo wa Waziri kuwa sukari itaagizwa tu na wenye viwanda kuziba pengo la sukari inayozalishwa nchini na mahitaji ya nchi. Waziri alikuwa anasimamia maamuzi ya Serikali kumuita nonsense ni kuitukana Serikali nzima.View attachment 2027359View attachment 2027361

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Mwndazake ameacha precedence mabya sana ambayo itadumu kwa muda.

Mama madaraka yashaanza kupanda kichwani ..... imagine achukue 2025 ..... si hapo kuna watu watamwagiwa #@&^%! ya nguoni kabisa!!
 
Katiba yetu inampa Rais mamlaka makubwa sana nchi hii. Rais ni kama Mungu kwa mujibu wa katiba yetu.

Mawaziri wanatwezwa lkn hawana cha kufanya. Wakijuzulu "mungu" anaweza kutafsiri hatua hii kama dharau na kuamua kuwashughulikia. Wanalazimika kuipokea kauli ya "mungu mtu" kwa mikono miwili.

Rais Magufuli aliwaita mawaziri Dr. Philip Mpango na Prof. Kabudi WAPUMBAVU mbele ya hadhara. Wakapokea kauli hii kwa mikono miwili. Sote tukabakia tumeduwaa. Ni kwasababu hawakuwa na la kufanya mawaziri hawa. Walimwogopa "mungu" na malaika wake

Rais Samia ametamka hadharani kwamba uamuzi wa Prof. Mkenda kuzuia sukari toka nje ni NONSENSE. Sote tumebaki tumepigwa na butwaa. Hana la kufanya Prof. huyu akirogwa kujiuzulu "Mungu" ama malaika wake watamshughulikia.

Tuiangalie upya Katiba yetu inayomjenga mtu kuwa "Mungu".
katiba mpya ndiyo upuuzi gani
 
Kulingana na Hali ya maisha ya watz, sukari haitakiwi kuzidi 1500 kwa kilo. Wewe binafsi unanufaiki nini na sukari kuuziwa na wazawa sh 3000 kwa kilo? Ni nonsense kweli kweli. Hao wazawa wa chache wanazidi kuwa matajiri, lkn wananchi walio wengi wanaumia
Point yangu ni kuwa huyo Waziri alikuwa anasimamia maamuzi ya Serikali kuita kauli yake ni nonsense maana yake Serikali yote iliyoweka msimamo huo ni nonsense. Rais angemuambia tu Rais mwenzake kuwa tutanunua sukari toka Uganda,suala la kauli ya Waziri wake wangelimaliza internally.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom