Kama kuna mtanzania anadhani hilo li nonsense ni kwa ajili ya waziri basi amepotea.Ungesikiliza alichokisema huyo Waziri usingeandika ulichoandika. Ilikuwa ni msimamo wa Serikali wala siyo wa Waziri kuwa sukari itaagizwa tu na wenye viwanda kuziba pengo la sukari inayozalishwa nchini na mahitaji ya nchi. Waziri alikuwa anasimamia maamuzi ya Serikali kumuita nonsense ni kuitukana Serikali nzima.View attachment 2027359View attachment 2027361
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Unatetea ujingaTunaoenda kulisha maneno watu Raisi alisema ujumbe ulikuwa non sense lakini hajamwita mtu yetote mpumbavu hii ni kuongeza chumvi!. Ungesema kwamba waziri kaongea mambo ya kijinga tungekuelewa lakini kusema “ mpumbavu” ni mtu sio maneno…
Tatizo dhamira yake inamuelekeza kuvumilia kwani anajua alipata ubunge kwa wizi wa kura ulioratibiwa na vyombo vya dola hivyo naye ameshakuwa sehemu ya mfumo dhalimProfesa anazo sababu nzito za kujiuzulu, ili kulinda heshima yake, sijui bado anangoja nini?
Hapo issue siyo heshima ya uprofessor bali linafikiriwa kwanza tumboProfesa anazo sababu nzito za kujiuzulu, ili kulinda heshima yake, sijui bado anangoja nini?
Profesa anazo sababu nzito za kujiuzulu, ili kulinda heshima yake, sijui bado anangoja nini?
Sasa hivi tumsubirie Ndugaye amchukulie hatua huyo mzee wa nonsenseNasema ni wapumbavu na non sense mawaziri mizigo wote.
..wewe Jamaal unapenda uzushi pia unaongopa kwa rejea feki.Kuna kipindi jiwe alitangazia umma wa watanzania kuwa alikuwa anamwambia waziri wake kuwa wewe ni mpumbavu.
Siwezi kubishana na wewe unayeitegemea tiiibiisiiii kama chanzo chako cha habari..wewe Jamaal unapenda uzushi pia unaongopa kwa rejea feki.
Hakuna uzushi hapo dunia yote ilisikia Jiwe akiwakashifu mawaziri wake Mpango na Kabudi hadharani bila kupepesha macho yake !! Usitake kupindisha ukweli...wewe Jamaal unapenda uzushi pia unaongopa kwa rejea feki.
ShwainTunaoenda kulisha maneno watu Raisi alisema ujumbe ulikuwa non sense lakini hajamwita mtu yetote mpumbavu hii ni kuongeza chumvi!. Ungesema kwamba waziri kaongea mambo ya kijinga tungekuelewa lakini kusema “ mpumbavu” ni mtu sio maneno…
Naomba tafsiri ya NONSENSERais Samia ametamka hadharani kwamba uamuzi wa Prof. Mkenda kuzuia sukari toka nje ni NONSENSE
Daah! Kweli rais wa Tanzania ni zaidi ya Mungu aiseeUngesikiliza alichokisema huyo Waziri usingeandika ulichoandika. Ilikuwa ni msimamo wa Serikali wala siyo wa Waziri kuwa sukari itaagizwa tu na wenye viwanda kuziba pengo la sukari inayozalishwa nchini na mahitaji ya nchi. Waziri alikuwa anasimamia maamuzi ya Serikali kumuita nonsense ni kuitukana Serikali nzima.View attachment 2027359View attachment 2027361
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Soma tena bandiko langu. UmekurupukaTunaoenda kulisha maneno watu Raisi alisema ujumbe ulikuwa non sense lakini hajamwita mtu yetote mpumbavu hii ni kuongeza chumvi!. Ungesema kwamba waziri kaongea mambo ya kijinga tungekuelewa lakini kusema “ mpumbavu” ni mtu sio maneno…
Anaogopa kushighulikia na mungu wa TanzaniaProfesa anazo sababu nzito za kujiuzulu, ili kulinda heshima yake, sijui bado anangoja nini?
Wataendelea kutukanwa sana. Maan hawajielewiKatiba yetu inampa Rais mamlaka makubwa sana nchi hii. Rais ni kama Mungu kwa mujibu wa katiba yetu.
Mawaziri wanatwezwa lkn hawana cha kufanya. Wakijuzulu "mungu" anaweza kutafsiri hatua hii kama dharau na kuamua kuwashughulikia. Wanalazimika kuipokea kauli ya "mungu mtu" kwa mikono miwili.
Rais Magufuli aliwaita mawaziri Dr. Philip Mpango na Prof. Kabudi WAPUMBAVU mbele ya hadhara. Wakapokea kauli hii kwa mikono miwili. Sote tukabakia tumeduwaa. Ni kwasababu hawakuwa na la kufanya mawaziri hawa. Walimwogopa "mungu" na malaika wake
Rais Samia ametamka hadharani kwamba uamuzi wa Prof. Mkenda kuzuia sukari toka nje ni NONSENSE. Sote tumebaki tumepigwa na butwaa. Hana la kufanya Prof. huyu akirogwa kujiuzulu "Mungu" ama malaika wake watamshughulikia.
Tuiangalie upya Katiba yetu inayomjenga mtu kuwa "Mungu".