Eleminator
JF-Expert Member
- Sep 29, 2022
- 597
- 975
- Thread starter
-
- #21
AseeeHilo tusi nalishukuru sana liliniamsha usingizini
Nilihama hiyo nyumba fasta na nikasajili kampuni ya kimagumashiAseee
Sema sometime maneno yao yanaleta hamasa ya kutafuta ilimrad u Win kaul yakeπ
Hahah atakayeingia akutane naloππNilihama hiyo nyumba fasta na nikasajili kampuni ya kimagumashi
Hizi taarifa akizpta lazm kchwa iwake moto upande mmojaπAliniambia nikipata mwanamke mkali kumzidi nimwite mbwa, amekaa paleeee[emoji1787]
But guess what, niko nafatilia form ya umiss Tanzania ya shemeji yenu 2023[emoji2960]
Unataka kumuone hurumaπ"Amna mwanamke atakae kuja kukupenda kama nilivyo kupenda mimi" adi leo naona ana niwaza hadi nahisi ni ukwel[emoji81][emoji81]
Kimoyon unajichekea kwa nguvuMimi niliambiwa kwakuwa siku izi k yangu ni kubwaa
Na ukivuta picha n kizur kwelππ"Kmmk SYB hutakaa upate demu mwenye kitumbua kitamu kama changu....."
Nilimwangalia sikummaliza.....
View attachment 2489424
Kwan ulibakia hapo hapo"Kwendraaa hukoo"
Hata sikujua cha kumjibu
Tena zaid yake[emoji23]alf kuna sku nkamchana nkamwambia uliniambia hv na hvNaukampata[emoji3]
πππHutokuja kupata atakayekupenda zaid yangu[emoji23]
Kwa hiyo nani alimpiga kibuti mwenzake?Aliondoka Kwa kashfa alafu akasema nitapata tabu sana yeye ndo mwanaume wa maana na kapta mwanamke mzuri na anamprnda,Sasa my wangu sijui kakumbwa na nn sikuhiz ππππdoh
Ilikuwa ni mesejiKwan ulibakia hapo hapo
[emoji23][emoji23]Aliondoka Kwa kashfa alafu akasema nitapata tabu sana yeye ndo mwanaume wa maana na kapta mwanamke mzuri na anamprnda,Sasa my wangu sijui kakumbwa na nn sikuhiz [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]doh