Kauli za Ma Ex

X namba ake ya simu, au kukaribiana nae barabarani kumpa salamu ya kazi gani?
 
Nimewahi kuambiwa..

"Niliisha kuua kitambo tu kaandae kaburi"

Tulikuwa hatujapima muda wote wa mahusiano wa mwaka mmoja. But sikuwahi kwenda nyama kwa nyama.

Ilibidi nikapime nikajikuta nipo poa sana. Ila nilipata stress aisee.
Huyo katilisana
 
Aliondoka Kwa kashfa alafu akasema nitapata tabu sana yeye ndo mwanaume wa maana na kapta mwanamke mzuri na anamprnda,Sasa my wangu sijui kakumbwa na nn sikuhiz πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚doh
Kila siku asubuhi anakuamsha amaπŸ˜„πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…