Kauli za Ma Ex

Aliondoka Kwa kashfa alafu akasema nitapata tabu sana yeye ndo mwanaume wa maana na kapta mwanamke mzuri na anamprnda,Sasa my wangu sijui kakumbwa na nn sikuhiz [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]doh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shangaziii bhanaaa.
 
"Nilikua na wee kwa hisani tyuuh kwako, na sahivi hisani yangu imeishaaa"

Hapooo ndo naachwaa aani, wakati huo nimezamaaa kwake, na mapenzi ndo nayaanza. Nusu niwehukwe kuwa chizi, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Siku nakutana nae mlimani main campus, anasema "daaah mtoto unazidi kushynee tyuuh"

nkamjibu "ndyooo nimempata mtu wa kunisitiri sahivi hisani si uliondoka nayo wee" alitazama chini kwa aibuuu.

Now muda wote kunifuatiliaaa. Afu mie hata mshipa wa nyege haustuki kwake.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwakweli sijui wanatuonaje yaani
 
๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ huttopata mwingine ka mimi afu lenyewe kutwa kunitafutatafuta ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kiporo kinataka kupashwa
Hahah kwa usiniambie saivi ameanza upya kupiga Sound๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Na wew hukumbuki chchot kuhusu yeye
 
Alinambia โ€œCapone, kamwe hutapata mwanamke anayekupenda kama mimiโ€
Nilimwambia aache utani wake

Mwingine aliwahi nambia siku namuomba tuachane โ€œWewe nenda unakotaka ila ukijisikia kurudi rudi tuโ€

Kweli mpaka leo naendaaa Nikiona sielewi narudi na nampa mirejesho ya huko nilikotoka, ananiona kama mwanae

Mwingine alisema โ€œSiwezi acha kukupenda labda Nikipata uthibitisho kuwa kweli umenifanyia ubayaโ€

Lakini huyu hajibu texts zangu

Mwingine alinipa laana eti โ€œCapone nakuchukia nakuchukia nakuchukia sana na sintakusamehe mpaka naingia kaburiniโ€

Nikamwambia sweetheart wewe ni mzinzi kama mimi unatoa wapi hiyo nguvu ya kunipa laana? Ila usijichoshe hakuna kitu kitanipata


Mwingine alisema โ€œUnaniita ili unit*mb* ya mwisho mwisho, sitaki wewe nenda tuโ€
Ila alikuja na alichodhania ni kweli kilitokea
Aah wengine nimesahau walisemaje nikikumbuka nitawaambia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ