Kauli za Ma Ex

Mpelekee ajue anachomiss😂
 
Mimi Kuna kipindi nilichimbiwa mikwara Hadi nikatoa macho wee, imagine aliniambia eti aliniambukiza ngwengwe kwa hiyo nijiandae tu kufa.

Mwanzoni niliichukulia hiyo kauli Kama utani ilia kadri siku zilivyosonga nilianza kuimind hyo Sana kauli Yake.Ikanibidi niende nichukue vipimo vya HIV nikajikuta nipo sawa,baada ya miezi mingine 3 nikarudi Tena kupima nikakuta mambo Ni sawa tu😂
 
Hhahah hyo kauli huwez pata usingz lazm kila cku uote upo misiban😀😀
 
Wew jamaa umekuwa kam yule fundi Nguo
Kweny series ya FUNDI
na hapo kun wengine umesahau misemo Yao😁😁😁
 
Bora ambao mulipewa maneno makali. wengine ni silence halafu anatupia picha kila siku akiwa na mwanamke wake bahati mbaya alikuwa ana kazi tu yakukidhi mahitaji yake. demu alimudanganya sijui nini akaacha kazi yake. leo hii ananiomba hela ya mtaji afungue biashara nimekaa silent ocean!
 
Mpe bhna simlishachanganya damu😀😀
 
Hiyo kauli ya kwanza huwa najiuliza jeuri ya kuongea hivyo huwa wanaitoa wapi 😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…