Kwani kadanganya? Mara ngapi maji huwa yanapungua katika mito?
Unaujua vizuri mto rufiji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kadanganya? Mara ngapi maji huwa yanapungua katika mito?
Wanafunzi wawapo darasani na hupewa mtihani waufanye kwa pamoja ili kuweza kuwapima uelewa wao ktk mambo waliyofundishwa na walimu wao. Ijapokuwa huwa wanafundishwa kwa wakati mmoja, na mwalimu husika wa somo, na hata kupewa rejea za notisi na vitabu vyenye kufanana. Lakini matokeo yakitoka hujikuta wakiwa na matokeo tofauti ya viwango vya ufaulu wa mitihani yao.
Hivi ndivyo ambavyo hutokea hata katika siasa nyakati za kampeni za uchaguzi. Kwa watu wana utofauti ktk viwango vya uelewa pale wanaposikiliza sera zikimwaga na wagombea tofauti wa vyama. Hii ndiyo maana simshangai mleta mada ktk uzi huu. Yaani licha ya madini na hoja mujarabu za Tundu Lissu, yeye anadai ni za kupuuziwa kweli!
Mkuu, sometimes kuficha ujinga wako mbele ya watu makini ni hekima pia. Yaani kama kweli ulipata muda kulisikiliza kipindi cha ITV cha dakika 45 cha mahojiano na Tundu Lissu, na ukashindwa kabisa kuona madini aliyatoa kuhusiana na sera za chama chake, basi tatizo litakuwa ni kama wale wanafunzi wengine wawasindikizao wenzao kimasomo na kufeli na kupata alama za miswaki (F) ambapo ili kuficha madhaifu ya kufeli, sera CCM huuita ni ufaulu hafifu.
Kwa hiyo basi mkuu, pamoja na kushindwa kabisa na kuwa na uelewa wa nondo za Tundu Lissu basi tuseme umefaulu. Ijapokuwa ufaulu wako ni hafifu.
huwez jua n zip maana kchwani ni zero IQHoja zipi?
Mh...!huwez jua n zip maana kchwani ni zero IQ
Nani alieanzisha umeme wa gas?kama mliona kuwa gas ndo kipaumbele kwa ajil ya kuzalisha umeme ilishindika a nini kuuendeleza kulikon kuwanyonya maskini kila siku kwa kuanzisha mirad mikubwa ambayo n mtu mmoja anakopa hela bila utaratibu na kuianzisha?lazima tufikie sehem kama nchi inayoendelea tuwe na dira ya maendeleo,c kila kiongoz anakuja na lake ma kuanza kuponda miradi ilioanzishwa ili kutafuta sifa za kijinga kwa wananchi,kiujumla hilo bwawa ni kuwanyonya tu wananch wa hali ya chin kulipa deni kwan sion umuhimu wakw kamaa tulishaanzishq umeme wa gas,yaan mmeishia kusifia tu ujinga ambao unawatesa watz kilq leo,Kwahiyo kwenye akili zako, kukarabati Ni Bora kuliko kuweka kitu kipya🤔? Alafu kumbuka hoja kubwa hapa Ni kwamba mabwawa yaliopo, hayakidhi hitaji la umeme kwa watanzania.
Sasa Hili la umeme nalo Ni la kupinga kweli🤔?Yaani hauoni kabisa umuhimu wa nchi kuwa na chanzo cha umeme cha uhakika😲?.Kama hii ndio misingi ya Sera zenu, Basi hamtakiwi kupewa nchi .Acheni kubweka 🗣️🗣️ bila hoja za msingi.
Hajasema sababu ya maji au mvua, amesema ulikuwa ushauri wa wataalamuMgombea wa Chadema anatoa hoja za ajabu sana kiasi kwamba anatia aibu. Mfano anadiliki kusema eti sababu Tanzania ni nchi ya kitropiki basi mradi wa JNHP hauna tija na kuwa hautakuwa na ufanisi,sababu tu mvua sio nyingi. Hivi hii inaingia akilini! Yaani anasema kuwa bora tungeendelea kujenga uzalishaji umeme wa gas pale Kinyerezi. Hivi hajui Kinyerezi phase 1& 2 ni kama MW 200 tu. Ujenzi wake umechukua muda mrefu.
Unafanya watanzania wajinga? Kasema nchi hii ni ya kitropiki, anamaanisha mvua ni chache. Acha kutumia ugoro kufikiri.Hajasema sababu ya maji au mvua, amesema ulikuwa ushauri wa wataalamu
ni nishati ya uhakika zaidi maana ya maji inawezekana kukakosekana mvua ikawa shida kama kipindi cha iptl, lakini jua lipo siku zote, Unakumbuka ya Mtera kukauka mara kujaa tope nkKwa hiyo wataalum wa Lissu wamemuambia umeme wa jua ( solar) , upepo na umeme wa gesi ni gharama ndogo zaidi ya umeme wa maji, na CDM pia wamekubali na kuweka kwenye ilani yao bila kufikiri, kama mambo basics hivi hamjui mnaropoka uongo, mnachojua ni nini sasa?
amesema ya kitropiki lakini hajasema mvua, wewe ndiye unasema ya kitropiki maana yake mvua ni chacheUnafanya watanzania wajinga? Kasema nchi hii ni ya kitropiki, anamaanisha mvua ni chache. Acha kutumia ugoro kufikiri.
ni nishati ya uhakika zaidi maana ya maji inawezekana kukakosekana mvua ikawa shida kama kipindi cha iptl, lakini jua lipo siku zote, Unakumbuka ya Mtera kukauka mara kujaa tope nk
😂😂 Ila nyie makamanda muda mwingine mnashangaza Sana.Kiongozi wenu anasema Magu amesababisha ugumu wa maisha,amewanyonya watu watu wamekuwa masiki, hawana hela, lakini huyohuyo aliemaliza kuyasema hayo, anawaomba Tena masikini wasiokuwa na hela wamchangie😂😂😂.Nani alieanzisha umeme wa gas?kama mliona kuwa gas ndo kipaumbele kwa ajil ya kuzalisha umeme ilishindika a nini kuuendeleza kulikon kuwanyonya maskini kila siku kwa kuanzisha mirad mikubwa ambayo n mtu mmoja anakopa hela bila utaratibu na kuianzisha?lazima tufikie sehem kama nchi inayoendelea tuwe na dira ya maendeleo,c kila kiongoz anakuja na lake ma kuanza kuponda miradi ilioanzishwa ili kutafuta sifa za kijinga kwa wananchi,kiujumla hilo bwawa ni kuwanyonya tu wananch wa hali ya chin kulipa deni kwan sion umuhimu wakw kamaa tulishaanzishq umeme wa gas,yaan mmeishia kusifia tu ujinga ambao unawatesa watz kilq leo,
Watanzania zaidi ya 60% ni wajinga sana na huo ndiyo mtaji wa CCM. Wanaamini kila anachosema MagufuliLissu anatuona sie WaTZ mafala Sana, Wakati tunafikiri vizuri tu na tumetulia!!!
Nini sasa hiki umemjibu huyu jamaa?Watanzania zaidi ya 60% ni wajinga sana na huo ndiyo mtaji wa CCM. Wanaamini kila anachosema Magufuli
Loketo hana hojaNaona vilaza wa lumumba mnajiliwaza baada ya kushindwa kujibu hoja za TAL
Wewe ndio MJINGA mkuu, Inamana kwà hizo takwimu zako ndio umuone LISSU anaakili sanaWatanzania zaidi ya 60% ni wajinga sana na huo ndiyo mtaji wa CCM. Wanaamini kila anachosema Magufuli
Siasa za miaka ya 2015 usizifananishe na sasa. Utajidanganya, zimebadika mno. Uyo slaa kwa siasa za Sasa angekua segereaUchaguzi wa mwaka huu umekuwa wa ajabu sana. Maana ukilinganisha na chaguzi zilizopita mwaka huu ni vituko na mambo ya ajabu sana.
Okiondoa uchaguzi wa mwaka 2015 miaka ya nyuma wapinzani walikuwa na hoja. Na mikutano yao ilikuwa na hamasa. Nakumbuka mwaka 2010 alikuwa akisimama Dk Slaa unaona uwanja mzima unasisimka. Maana mbali na kuibua madudu ya ufisadi lakini alikuwa anatoa nondo za maana juu ya namna gani atalifanyia taifa letu kama angelishinda.
Mwaka huu ni dalili kuwa Chadema hawakuwa na utayari wa kuja kupambana na Ccm ili kuchukua dola.
Mgombea wa Chadema anatoa hoja za ajabu sana kiasi kwamba anatia aibu. Mfano anadiliki kusema eti sababu Tanzania ni nchi ya kitropiki basi mradi wa JNHP hauna tija na kuwa hautakuwa na ufanisi,sababu tu mvua sio nyingi. Hivi hii inaingia akilini! Yaani anasema kuwa bora tungeendelea kujenga uzalishaji umeme wa gas pale Kinyerezi. Hivi hajui Kinyerezi phase 1& 2 ni kama MW 200 tu. Ujenzi wake umechukua muda mrefu.
Lakini JNHPP inajengwa kwa miaka mitatu na itapokamilika mwakani ni Mw 2100 zitazalishwa kwa mkupuo. Na hoja anazotoa kuwa umeme wa gas una gharama kidogo kuliko wa maji ni ukakasi na zinamuondolea sifa za kuwa kiongozi.
Mimi binafsi nilitarajia ampongeze JPM kwa kujenga mradi kama ule kwa pesa za ndani kuliko kuleta habari kama hizi ambazo zinashangza sana. Ila mimi siwezi kushangaa maana huu mradi hata mabeberu walikuwa wanaupinga na mgombea wa Chadema anajinasibu kuwa yupo karibu na Mabeberu
Je, kwa hoja kama hizi zisizo na kichwa wala miguu Chadema mlistahili kuwa na mgombea kama huyu? Kwanini msingeziua tu na kutafuta madiwani na wabunge kama hamna mgombea!
Unamfahamu Dr Slaa?Siasa za miaka ya 2015 usizifananishe na sasa. Utajidanganya, zimebadika mno. Uyo slaa kwa siasa za Sasa angekua segerea
Hakusema ni ghali, alisema uzalishaji wa umeme kwa kutumia maji hauna garantii for the long run hasa kwenye hizi zetu za kitropiki. Alifanya utafiti.Hili hata mimi nilishangaa, ni kweli Lissu anatoa haya kwenye ilani ya CDM au ni maoni yake binafsi, maana kila mtaalam anajua umeme wa maji una gharama nafuu zaidi ya umeme wa jua na gesi, sasa mgombea urais, Lissu kuja kusema JNHPP ( Stigler’s gorge) ni ghali zaidi ya umeme wa jua, unatambua tu uropokaji umechukua nafasi yake na CDM hawakujiandaa au hawakumuandaa Lissu kuja kugombea kama anaropoka asiyoyajua.