Wewe umepiga kura au uko mtandaoni kuzusha uongo? Nyie wenyewe mlikuwa mnapiga kelele kuwa mtajitojeza kwa wingi Sasa inakuwaje Tena mnasema watu wamepuuza? Very stupid...kwa hiyo wale waliokuwa kwenye mikutano ya kibaraka wa mabeberu nao wamepuuza au tuseme hawakuwa wapiga kura?
Sasa si wanaharibu ushahidi?
Hebu angalia kwa umakini uniambie kama polisi hawapo hapo..
Wazushi wakubwa nyie...mwambie hivyo baba yako mzazi na pia mama yako aliyekuzaa...mwambie baba nenda kakojoe ulale halafu nenda kwa mama yako aliyekuzaa mwambie mama kakojoe ulaleKakojoe ulale. Si kwa kiwango hiki cha kufikiri.
WANGEITA POLISI TU NA WANA HABARISasa si wanaharibu ushahidi?
Huu ni Uongo na wawazi kabisa mmepika hiyo taarifa, ingalikuwa ni kweli mngeonesha hao waliopigiwa kura.Wananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawaView attachment 1614622
Wee mwanamke hebu punguza resi basi.. Chadema wanakuwaje waongo ilihali makaratasi yametikiwa ccm yote hayo na polisi wanajionea upuuzi wenu unaoturnish uchaguzi huu.Hili lifanyiwe kazi zilikotoka hizo karatasi fake kujulikane. Vinginevyo ni Uzushi uliotengenezwa
CHADEMA wana kiwanda cha uongo - Jakaya Kikwete
Hiyo access ya ballot papers Chadema wanaitoa wapi? So unataka kuniambia NEC ni fraud[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Utajua baadae kidogoWee mwanamke hebu punguza resi basi.. Chadema wanakuwaje waongo ilihali makaratasi yametikiwa ccm yote hayo na polisi wanajionea upuuzi wenu unaoturnish uchaguzi huu.
Tangulia barabarani mkuu upate dawa chungu.Uchaguzi ushaharibika tayari
Ushenzi huu ulitarajiwa
Halafu kuna mtu anasema Time iko huru
Inaweza kuwa wewe ndio mapuuziHabari za kipuuzi kama hizi zinafikaje JF
Then wakatiki kwa CCM na wanataka ziwe counted... So hilarious... Tumieni akili japo kidogo.Chadema walitengeneza papers za ziada, mawakala wa CCM wakawastikia
Kama unajadiliana na kiazi Bila Shaka huna kitu kichwani.wazushi wakubwa nyie.yaani mnaandaa kura fake na kuzichoma Moto ili iwe Nini?Kuna kiazi mwenzako ameweka idadi ya wanaccm anasema mko 22m+, na hizo ndio kura zenu. Je huko kwenye vituo vya kura wanaccm hawaendi, au wao wanatembezewa mabox ya kura nyumba kwa nyumba? Shubamiit. Hao waliokuwa kwenye mikutano ya Lisu wana imani na Lisu na sio huo utoto uitwao uchaguzi.