Uchaguzi 2020 Kawe, Dar: Kura feki zanaswa, Wananchi wazichoma moto!

Uchaguzi 2020 Kawe, Dar: Kura feki zanaswa, Wananchi wazichoma moto!

2020 - 2025 nchi haitawaliki, vyombo vya dola wanatakiwa wawe makini au lasivyo nchi inaharibika ndani ya muda mfupi sana.

Hatua inayofuata ni wananchi kuingia mtaani, kama mambo haya yataendelea.

Wananchi wa Kawe watazaa na huyo mcheza filamu za X wanaolazimishwa kupewa na CCM.
Hovyooooo, pumbvu weweeeeeeeee
 
Hizo ni mbwembwe za mitaani.
Kwani huwezi chapisha makaratasi?
Ushahidi wameuharibu.
Ingependeza wataalamu wakapewa kuhakiki karatasi kama ni halali au fake.
Ushahidi wampelekee nani.?
 
Kuna mpambe mmoja wa Gwajima aliniambia kuwa usiku wa jana wanakwenda kufanya hiyo kazi. Nawaonea huruma wanaotoa sadaka kumpa huyu.
Ulaaniwe wewe na ukoo wako wote, kama uyasemayo hapa ni uongo. Imekuwa
 
Ushahidi kuchomwa moto bila vyombo vingine kushuhudia ni utata mwingine

Tukusema hizo kura waliandaa chadema, halafu wakazikamata chadema wenyewe ili kuchafua zoezi la uchaguzi, kisha wakazichoma moto ili kupoteza ushahidi tutakua sawa zaidi

Maendeleo hayana vyama

Cc Mariki boy Pendael24 Bia yetu cocochanel 1954 Wakudadavuwa NAWATAFUNA Da'Vinci

Halima Mdee kaenda mpaka kituo cha kura polisi wakamzuia kuficha aibu. Wamempeleka kituo cha polisi kuandika maelezo ili kumtisha.
 
Sauti ya zege kwisha habari yake. Bishop Gwajima yuko smart kuliko wewe bibi kidude.
 
Mjinga wewe, ushahidi kwa mahakama zipi za kutoa haki nchini? Zaidi sana policcm wangewavamia na kuyapora hayo masanduku kisha wao kuumizwa. Kuyachoma moto ni sahihi. HAKUNA kitakachoongezwa kwenye tallying ya kura.
Wewe ni mzushi mkubwa kabisa..mabox ya kura fake halafu mnadai kura zimeshikwa au kukamatwa?! Inaelekea wewe ni unaunga mkono wale waliochoma ofisi za Chadema kule Arusha na kudai ni CCM wamechoma...yaani mnaandaa kura fake na kuzichoma kwa lengo la kuichafua nchi...utanufaika vipi...kitendo mlichofanya ni Cha kishenzi kabisa...
 
2020 - 2025 nchi haitawaliki, vyombo vya dola wanatakiwa wawe makini au lasivyo nchi inaharibika ndani ya muda mfupi sana.

Hatua inayofuata ni wananchi kuingia mtaani, kama mambo haya yataendelea.

Wananchi wa Kawe watazaa na huyo mcheza filamu za X wanaolazimishwa kupewa na CCM.
Binafsi niliacha kuheshimu wana siasa, mtu anaingia madarakani kwa njia kama hizo alafu anakuhimiza uheshimu sheria!
 
Back
Top Bottom