Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
Huo ushahidi unaupeleka kwenye mahakama ipi au tume ipi ya uchaguzi?Sasa si wanaharibu ushahidi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ushahidi unaupeleka kwenye mahakama ipi au tume ipi ya uchaguzi?Sasa si wanaharibu ushahidi?
Hao ni waongo tu...hivi sura zao zinaonekana?Wakiweka ushahidi watanyang'anywa na kuambiwa ni kura halali, watarudisha kwenye ballot box na kuwafunga pingu wanaolalamika. Dawa ni kuichoma moto
Kuwa mpole mmekamatwa na kura fake. Ukali wa nini?Habari za kipuuzi kama hizi zinafikaje JF
Yaani ushahidi dhidi ya serikali unategemea utafanyiwa kazi, ni bora walivoziharibu.kweli kabisa. sielewi kwa nini wachome moto ushahidi! ni upumbavu uliokithiri!
Usanii mtupu hizo n sample imetumika kwenye seminaWananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawaView attachment 1614622
kweli kabisa. sielewi kwa nini wachome moto ushahidi! ni upumbavu uliok
Acha ujinga wewe! Nchi isitawalike kisa nini?2020 - 2025 nchi haitawaliki, vyombo vya dola wanatakiwa wawe makini au lasivyo nchi inaharibika ndani ya muda mfupi sana.
Hatua inayofuata ni wananchi kuingia mtaani, kama mambo haya yataendelea.
Wananchi wa Kawe watazaa na huyo mcheza filamu za X wanaolazimishwa kupewa na CCM.
sasa kura feki unazitoa wap maaana kura zinazohesabika ni ambazo zpo kwenye boxi, chadema bana! kichapo kipo pale pale
ushahidi ni hiyo videoNami hili limenifikirisha
KURA FAKE NA ZA WIZI!!!
Propaganda. Bishop. Gwajima hawezi kufanya huu utoto. Halima imekula kwako mama, tena utajipatia laana kwa kumsingizia mtumishi wa Mungu aliye hai.Wananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawaView attachment 1614622
Sidhani kuwa "kuzichoma moto" ndio ilikuwa hatua sahihi.Wananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawaView attachment 1614622
Hiyo chai tu kama ingekuwa kweli mngetaka mabeberu wenu wajue hivyo mngeita wandishi wa habari na msingezichoma motoWananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawaView attachment 1614622
Hzo ni za Sauti ya zege. Kazitengeneza, kazikamata, na kuzichoma! Bonge la movie!![emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kiti ndo kinapotea hvyo, kirahiiiiiisi!!Kuna mpambe mmoja wa Gwajima aliniambia kuwa usiku wa jana wanakwenda kufanya hiyo kazi. Nawaonea huruma wanaotoa sadaka kumpa huyu.