Uchaguzi 2020 Kawe, Dar: Kura feki zanaswa, Wananchi wazichoma moto!

Uchaguzi 2020 Kawe, Dar: Kura feki zanaswa, Wananchi wazichoma moto!

Wakiweka ushahidi watanyang'anywa na kuambiwa ni kura halali, watarudisha kwenye ballot box na kuwafunga pingu wanaolalamika. Dawa ni kuichoma moto
Hao ni waongo tu...hivi sura zao zinaonekana?
 
Any proof? Km mm nikizprint au copy then nikazijaza na kuja ktk hadhara??


Pia linaweza kuwa igizo la kipropaganda.
 
Propagnda kwenye ubora wake,kama kweli umekamata kura,kwa nini uzichome moto,wangeacha na kupeleka tume kama ushahidi ,huo ni uhongo wa kupuuzwa kabisa,Bibi kigagula lazima apigwe,ccm ndo mshindi
 
2020 - 2025 nchi haitawaliki, vyombo vya dola wanatakiwa wawe makini au lasivyo nchi inaharibika ndani ya muda mfupi sana.

Hatua inayofuata ni wananchi kuingia mtaani, kama mambo haya yataendelea.

Wananchi wa Kawe watazaa na huyo mcheza filamu za X wanaolazimishwa kupewa na CCM.
Acha ujinga wewe! Nchi isitawalike kisa nini?
 
Mshaanza filamu, halima baada ya kujua hana chake anatafuta kila mbinu kubatilisha uchaguzi, haitamsaidia kwani hata ukirudiwa mambo ni yale yale tu.
 
Wananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawaView attachment 1614622
Hiyo chai tu kama ingekuwa kweli mngetaka mabeberu wenu wajue hivyo mngeita wandishi wa habari na msingezichoma moto

Unachomaje moto ushahidi muhimu kama huo
 
Choreograph tu! Mara nasikia karatasi za semina mara sanitizer, mara kura, .... what?
 
Halima kazitengeneza asingizie CCM

Yaani kajishusha chini sana.. kideo anaulizwa zipo wapi.. eti elfu 10.. hana hata moja mkononi... watu wake wanadai kuchoma kumbe mafiksi tu..

Leo 💛💚💛💚💛💚
Halafu wapo kimya wanasubiri kura za kuweka historia
 
Kuna mpambe mmoja wa Gwajima aliniambia kuwa usiku wa jana wanakwenda kufanya hiyo kazi. Nawaonea huruma wanaotoa sadaka kumpa huyu.
Hzo ni za Sauti ya zege. Kazitengeneza, kazikamata, na kuzichoma! Bonge la movie!![emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kiti ndo kinapotea hvyo, kirahiiiiiisi!!
 
Back
Top Bottom