Uchaguzi 2020 Kawe, Dar: Kura feki zanaswa, Wananchi wazichoma moto!

Uchaguzi 2020 Kawe, Dar: Kura feki zanaswa, Wananchi wazichoma moto!

Imagine, Kama kituo kimoja iko hivo Vip maeneo mengi nchi nzima. Mfumo WA uchaguzi umepitwa na wakati. Yaan mazingira ya kupiga kura bado Yanatoa mwanya Sana Wizi kufanyika
Gwajima atazawadiwa ubunge siyo kwa kushinda kwa kura bali kwa kura za wizi
 
#Kurazidhaniwadho ni batili/feki: Kwanini hizo karatasi zinazodaiwa ni feki zichomwe harakaharaka hivyo wakati ni ushahidi kumtia mtu hatia? Kwanini hao watu wamejichukulia sheria mkononi kuharibu ushahidi wakati kufanya hivyo ni kosa ndani ya kosa?

Mtuhumiwa yuko wapi na inawezekanaje awakimbie na kuwaacha wananchi wengi kiasi hicho? Kwa kitendo cha kuingilia kithibiti (Tangible evidence) tayari mmeharibu taarifa hiyo kuaminika pasipo kuwa na shaka.

Next time please be patient taking such risk decision which implication is averse to assure your integrity. It seems like this is a cover story to trigger desperate emotions among the voters which is unacceptable during the poling process.
Bora wamechoma moto ushahidi unaweza ukayeyuka maana matokeo ya urais hayapingwi mahakamani
 
Visingizio na maigizo ruksa

Aibu imekushika vibaya sana,toks muda tulikuwa tunawambia Magufuli hana sifa ya kushinda kwa kura. Na hiyo tabia yake ndio kaipeleka rasmi CCM. Hii tabia ya kunajisi box la kura ndio imepelekea watu kupuuza zoezi zima la upigaji wa kura. Nenda kwenye vituo vya kura uone watu walivyo wachache. Nani atashiriki upuuzi wa hivyo?
 
2020 - 2025 nchi haitawaliki, vyombo vya dola wanatakiwa wawe makini au lasivyo nchi inaharibika ndani ya muda mfupi sana.

Hatua inayofuata ni wananchi kuingia mtaani, kama mambo haya yataendelea.

Wananchi wa Kawe watazaa na huyo mcheza filamu za X wanaolazimishwa kupewa na CCM.
Tumemaliza kazi tayari, kuandamana ni juu yenu na kuwavunja ugoko ni kazi yetu
 
Hayo maigizo ya wachaga hawa, wote hao wanaongea kilughalugha cha kichaga.

Hizo karatasi hakuna hata karatasi moja ya kura kwa waliopiga kura leo. Ni makaratasi ya sampuli walizokuwa wanafanya CCM kwenye semina zao namna ya kupiga kura.

Angalia hapo hayo makaratasi sio ya NEC.

HUU USANII WENU MWISHO LEO.
Teh teh teh, inaonekana waigizaji hata hasakujua rangi za karatasi za kupigia kura. Sisi ambao tumeshapiga kura, hapo rangi ambayo angalau imefana nazo ni ya diwani. Jf huu upuuzi uangalieni vinginevyo mnaruhusu upotoshaji wa makusudi
 
Aibu imekushika vibaya sana, yuko kuwa tunaambia Magufuli hana sifa ya kushinda kwa kura. Na hiyo tabia yake ndio kaipeleka rasmi ccm. Hii tabia ya kunajisi box la kura ndio imepelekea watu kupuuza zoezi zima la upigaji wa kura. Nenda kwenye vituo vya kura uone watu walivyo wachache. Nani atashiriki upuuzi wa hivyo?
Hakuna aliyemchagua magufuli bali kilichofanyika ni wizi wa kura tu ni Aibu kuwa na Rais asiye chaguo la wananchi
 
Aibu imekushika vibaya sana, yuko kuwa tunaambia Magufuli hana sifa ya kushinda kwa kura. Na hiyo tabia yake ndio kaipeleka rasmi ccm. Hii tabia ya kunajisi box la kura ndio imepelekea watu kupuuza zoezi zima la upigaji wa kura. Nenda kwenye vituo vya kura uone watu walivyo wachache. Nani atashiriki upuuzi wa hivyo?
Zanzibar ndiyo imetia doa
 
Halima aendee juu arudi chini.
anenepe akonde.
alale aamke.
lakini Kawe ataisikia kwenye radio.ubunge tena hapati.
 
Habari za kipuuzi kama hizi zinafikaje JF

Bonge la aibu, sasa hivi redio na tv zote zikitaka kutangaza ukweli wanakatisha matangazo, mmedhibiti habari za ukweli huko, saa hii roho inakuuma ukweli huku uko wazi. Ile mlikuwa mnatamba mtashinda kwa 85% ndio ilikuwa kwa upuuzi huo!
 
Propaganda za kitoto hizi,jpm ndo rais wetu sote
Mnaziita propaganda ilihali mnagharimu maisha ya watu... Stupid is what stupid does
SmartSelect_20201028-133042_WhatsApp.jpg
 
Halima aendee juu arudi chini.
anenepe akonde.
alale aamke.
lakini Kawe ataisikia kwenye radio.ubunge tena hapati.

Sio kwa kura halali. Haya tuliwaambia toka mwanzo uwezo wa ccm kushinda kwa kura halali haupo. Imeisha hiyo.
 
Kuanzia kesho asubuhi tegea tv uangalie, msije mkaanza kujiua
Nani afe kwa wizi wa wazi wa kishamba
Orodha ya wapia kura kubwa kuliko uhalisia
Mnasubiri tukimaliza wapigakura halisia muanze kujaza uongo
 
Back
Top Bottom