Uchaguzi 2020 Kawe, Dar: Kura feki zanaswa, Wananchi wazichoma moto!

Uchaguzi 2020 Kawe, Dar: Kura feki zanaswa, Wananchi wazichoma moto!

Story ya magumashi karatasi zinaonyesha sio original kabisa.
Ukiona hivi chadema wamesha shindwa.
Halima na masela wake😁😁😁😁 wakamatwe waisaidie police kuthibitisha hilo
 
Wananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawaView attachment 1614622
#Kurazidhaniwazo ni batili/feki: Kwanini hizo karatasi zinazodaiwa ni feki zichomwe harakaharaka hivyo wakati ni ushahidi kumtia mtu hatia? Kwanini hao watu wamejichukulia sheria mkononi kuharibu ushahidi wakati kufanya hivyo ni kosa ndani ya kosa?

Mtuhumiwa yuko wapi na inawezekanaje awakimbie na kuwaacha wananchi wengi kiasi hicho? Kwa kitendo cha kuingilia kithibiti (Tangible evidence) tayari mmeharibu taarifa hiyo kuaminika pasipo kuwa na shaka.

Next time please be patient taking such risk decision which implication is averse to assure your integrity. It seems like this is a cover story to trigger desperate emotions among the voters which is unacceptable during the poling process.
 
Wananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawaView attachment 1614622
Ingekuwa bora mngetuonesha aliyekamatwa nazo lakini si kutuonyesha kwamba zimekamatwa wakati mtuhumiwa hayupo ndio nini sasa,labda mumeamua kupotosha umma ili ieleweke kuwa ni kweli kumbe usanii ,sasa nimeanza kuona umuhimu wa kuzima mitandao maana haya wanaoona hawafiki hata 1000
 
Visingizio na maigizo ruksa
mmeng'olewa ubongo mpaka kitufe cha aibu kimekufa , wewe umeonyeshwa hadi mabegi yaliyobebwa na askari huku ndani kuna kura kibao lakini bado huamini , hivi unaweza kuamini nini ?
 
hi sampling tu upuuzi Kama huu utakuwa umefanyika sehemu kubwa ya nchi yetu ....

Bila wizi fisiemu hawezi shinda....
CCM haichaguliwi hali watajichagua wao wenyewe kwa kuiba kura tunaenda kuwa na wabunge wasio chaguo la wapiga kura
 
Wananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawaView attachment 1614622
Hayo maigizo ya wachaga hawa, wote hao wanaongea kilughalugha cha kichaga.

Hizo karatasi hakuna hata karatasi moja ya kura kwa waliopiga kura leo. Ni makaratasi ya sampuli walizokuwa wanafanya CCM kwenye semina zao namna ya kupiga kura.

Angalia hapo hayo makaratasi sio ya NEC.

HUU USANII WENU MWISHO LEO.
 
Kuna mpambe mmoja wa Gwajima aliniambia kuwa usiku wa jana wanakwenda kufanya hiyo kazi. Nawaonea huruma wanaotoa sadaka kumpa huyu.
Huo ni uongo tu hizo ni za kwao ho wanaochoma, kwa nini wasiziweke kama ushahidi na waliyemkamata nazo wampeleke police?
Hizo wametengeneza wenyewe kisha wanachoma wenyewe.
 
Back
Top Bottom