mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Na mimi nimeshangaa sana kwanini wameharibu ushahidi. Na nilivyo mgumu kuamini vya kuambiwa bila kuthibitisha sasa😎😎😎How can you destroy evidence?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mimi nimeshangaa sana kwanini wameharibu ushahidi. Na nilivyo mgumu kuamini vya kuambiwa bila kuthibitisha sasa😎😎😎How can you destroy evidence?
CCM haiko hatari kuondoka kwa kutumia sannduku option ya pili ni Silaha hata za jadi
Bora umegundua kuwa mnafanya upuuziHabari za kipuuzi kama hizi zinafikaje jf
Halima na masela wake😁😁😁😁 wakamatwe waisaidie police kuthibitisha hiloStory ya magumashi karatasi zinaonyesha sio original kabisa.
Ukiona hivi chadema wamesha shindwa.
Nami hili limenifikirisha
Bora wachome ukipeleka kushtaki zitachukuliwa na wao kisha zitahesabiwa tutabaki tunashangaa tuSasa si wanaharibu ushahidi?
💩💩💩💩💩💩💩💩Nenda karushe mshale central
Chua juWananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawaView attachment 1614622
...kuaibisha, kufedhehesha na kufadhaisha ni adhabu za kisiasa.Sasa si wanaharibu ushahidi?
Gwajima ameiba kura mno ni Asikofu mwizi sanaWananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawaView attachment 1614622
Asikofu mwizi yupo kaweAskofu wangu katika kashfa ya wizi sasa
#Kurazidhaniwazo ni batili/feki: Kwanini hizo karatasi zinazodaiwa ni feki zichomwe harakaharaka hivyo wakati ni ushahidi kumtia mtu hatia? Kwanini hao watu wamejichukulia sheria mkononi kuharibu ushahidi wakati kufanya hivyo ni kosa ndani ya kosa?Wananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawaView attachment 1614622
Tanzania nzima CCM wanaiba kuraNi dhahiri sasa hakuna kukubali Matokeo
Wewe jua hivyo huo ubongo wako ni halali yao na halali yetuKuna MUNGU anayetetea ushoga ?
Ingekuwa bora mngetuonesha aliyekamatwa nazo lakini si kutuonyesha kwamba zimekamatwa wakati mtuhumiwa hayupo ndio nini sasa,labda mumeamua kupotosha umma ili ieleweke kuwa ni kweli kumbe usanii ,sasa nimeanza kuona umuhimu wa kuzima mitandao maana haya wanaoona hawafiki hata 1000Wananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawaView attachment 1614622
mmeng'olewa ubongo mpaka kitufe cha aibu kimekufa , wewe umeonyeshwa hadi mabegi yaliyobebwa na askari huku ndani kuna kura kibao lakini bado huamini , hivi unaweza kuamini nini ?Visingizio na maigizo ruksa
CCM haichaguliwi hali watajichagua wao wenyewe kwa kuiba kura tunaenda kuwa na wabunge wasio chaguo la wapiga kurahi sampling tu upuuzi Kama huu utakuwa umefanyika sehemu kubwa ya nchi yetu ....
Bila wizi fisiemu hawezi shinda....
Hayo maigizo ya wachaga hawa, wote hao wanaongea kilughalugha cha kichaga.Wananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawaView attachment 1614622
Huo ni uongo tu hizo ni za kwao ho wanaochoma, kwa nini wasiziweke kama ushahidi na waliyemkamata nazo wampeleke police?Kuna mpambe mmoja wa Gwajima aliniambia kuwa usiku wa jana wanakwenda kufanya hiyo kazi. Nawaonea huruma wanaotoa sadaka kumpa huyu.