Halima ndo kutengeneza kura halisi za NEC na kumpigia Gwajima. Hawa ndio vijana tunaowategemea et?Halima alizoea ujanja ujanja safari hii umepatikana.Wewe tengeneza habari kwa mabeberu wako,lakini jimbo hupati
kweli kabisa. sielewi kwa nini wachome moto ushahidi! ni upumbavu uliokithiri!Sasa si wanaharibu ushahidi?
October gani mkuu na October ndio hii. Mmechanganyikiwa mpaka unasahau kuwa tupo October tayariUongo wa CHADEMA mwisho wao ni October
Huyo Gwajima na waumini wake wote ni wapumbavu mashuhuri dunianihuyu gwajima afu kesho-keshokutwa akahubiri kanisani. ujinga mtupu hawa wanaojiita watumishi wa mungu na makanisa yao.
Hivi wewe una ubongo au takataka? Hiyo video huioni? Jinga kweli wewe.Visingizio na maigizo ruksa
Eti wamechoma CHADEMA ni janga la taifa acha tuwapumzishe tumechoka na mikeleleHizo ni mbwembwe za mitaani.
Kwani huwezi chapisha makaratasi ?
Ushahidi wameuharibu.
Ingependeza wataalamu wakapewa kuhakiki karatasi kama ni halali au fake.
Wewe ndiyo kidume kwenye uchaguzi mkuu huu
Ushachana mkeka mkuu, kweli game rahisi hivi unakubali Muhindi ale pesa yako kizembe hivi!Mi hapa mkuu, kura zote kwa Mh Lissu na Chadema
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Leo ndio Tar.28 eeeh?
nani kapiga kura hapa?
Kwanini wanaharibu ushahidi?Wananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawaView attachment 1614622
Nakuapia kwa jina la Mungu risasi za hao unao watetea zitakosa mwelekeo na kufumua bichwa lako hiloWewe hoehae kawape vitisho wafuga punda wenzio wa singida mashariki
How can they destroy evidence!!!??Wananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawaView attachment 1614622
October gani mkuu na October ndio hii ... mmechanganyikiwa mpaka unasahau kuwa tupo October tayari
Leo ndio siku ya kupiga kura ni tarehe 28 OCTOBER 2020 siku ya kuudondosha utawala wa CCM
Naunga Mkono Hoja!!!Huyo gwajima na waumini wake wote ni wapumbavu mashuhuri duniani
Mkuu Chadema tutashinda lakini kimbembe kipo kwenye kutangazwa, ila kumbuka sasa hivi hatumuachii Munguushachana mkeka mkuu,kweli game rahisi hivi unakubali Muhindi ale pesa yako kizembe hivi!