Hovyooooo, pumbvu weweeeeeeeee2020 - 2025 nchi haitawaliki, vyombo vya dola wanatakiwa wawe makini au lasivyo nchi inaharibika ndani ya muda mfupi sana.
Hatua inayofuata ni wananchi kuingia mtaani, kama mambo haya yataendelea.
Wananchi wa Kawe watazaa na huyo mcheza filamu za X wanaolazimishwa kupewa na CCM.
Mwenzako yuko korokoroni sasa, atakula wa chuya msagaji yule. Mungu akiwa upende wa watu wake ni nani awezaye kuwa juu yao.?Ni dhahiri sasa hakuna kukubali Matokeo
Ushahidi wampelekee nani.?Hizo ni mbwembwe za mitaani.
Kwani huwezi chapisha makaratasi?
Ushahidi wameuharibu.
Ingependeza wataalamu wakapewa kuhakiki karatasi kama ni halali au fake.
Ukikaa na hizi kura kuna uwezekano wa kubadilishiwa kibano na kushitakiwa kwa kuhujumu uchaguzi.kweli kabisa. sielewi kwa nini wachome moto ushahidi! ni upumbavu uliokithiri!
Kwani lini alishinda kwa ujanja ujanja?Halima alizoea ujanja ujanja safari hii umepatikana. Wewe tengeneza habari kwa mabeberu wako, lakini jimbo hupati.
Ulaaniwe wewe na ukoo wako wote, kama uyasemayo hapa ni uongo. ImekuwaKuna mpambe mmoja wa Gwajima aliniambia kuwa usiku wa jana wanakwenda kufanya hiyo kazi. Nawaonea huruma wanaotoa sadaka kumpa huyu.
Ulitaka zifike kwa bibi yakoHabari za kipuuzi kama hizi zinafikaje JF
Ushahidi kuchomwa moto bila vyombo vingine kushuhudia ni utata mwingine
Tukusema hizo kura waliandaa chadema, halafu wakazikamata chadema wenyewe ili kuchafua zoezi la uchaguzi, kisha wakazichoma moto ili kupoteza ushahidi tutakua sawa zaidi
Maendeleo hayana vyama
Cc Mariki boy Pendael24 Bia yetu cocochanel 1954 Wakudadavuwa NAWATAFUNA Da'Vinci
Kwani Jane Lowassa na Elitwege wameona hii post?Wananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawaView attachment 1614622
there is no such thing as watumishi wa mungu, they are all bunch of criminalsHuyu Gwajima halafu kesho-keshokutwa akahubiri kanisani. Ujinga mtupu hawa wanaojiita watumishi wa Mungu na makanisa yao.
Wajue wapi?Hawa wanajua maana ya “research” kweli?
Habari za kipuuzi kama hizi zinafikaje JF
Sifa hii ni ya genge la wahuni wa chama cha Mbowe.there is no such thing as watumishi wa mungu, they are all bunch of criminals
Wewe ni mzushi mkubwa kabisa..mabox ya kura fake halafu mnadai kura zimeshikwa au kukamatwa?! Inaelekea wewe ni unaunga mkono wale waliochoma ofisi za Chadema kule Arusha na kudai ni CCM wamechoma...yaani mnaandaa kura fake na kuzichoma kwa lengo la kuichafua nchi...utanufaika vipi...kitendo mlichofanya ni Cha kishenzi kabisa...Mjinga wewe, ushahidi kwa mahakama zipi za kutoa haki nchini? Zaidi sana policcm wangewavamia na kuyapora hayo masanduku kisha wao kuumizwa. Kuyachoma moto ni sahihi. HAKUNA kitakachoongezwa kwenye tallying ya kura.
Binafsi niliacha kuheshimu wana siasa, mtu anaingia madarakani kwa njia kama hizo alafu anakuhimiza uheshimu sheria!2020 - 2025 nchi haitawaliki, vyombo vya dola wanatakiwa wawe makini au lasivyo nchi inaharibika ndani ya muda mfupi sana.
Hatua inayofuata ni wananchi kuingia mtaani, kama mambo haya yataendelea.
Wananchi wa Kawe watazaa na huyo mcheza filamu za X wanaolazimishwa kupewa na CCM.