Uchaguzi 2020 Kawe, Dar: Kura feki zanaswa, Wananchi wazichoma moto!

Kuna mpuuzi wa kuingia mtaani.....video yenyewe wanatuma kwa kufichaficha sura kujiamini 0
 
Wewe ni kabox kweli... Halima atoe wapi ballot papers?????
 
Halima Mdee kaenda mpaka kituo cha kura polisi wakamzuia kuficha aibu. Wamempeleka kituo cha polisi kuandika maelezo ili kumtisha.
Halima Mdee kaenda mpaka kituo cha kura polisi wakamzuia kuficha aibu. Wamempeleka kituo cha polisi kuandika maelezo ili kumtisha.
😎😎
 
Waongo tu hao kwenye kituo zitaingiaje.Halima huna chako ujaribu kuhadaa wananchi
Nimeiona miwani yake kwenye ile karatasi basi nilichofanywa nikutafuta jina la Askofu lipo wapi, halafu nikamchinja mtu nikiwa ndani ya kale ka chumba maalum.

Kama Askofu anazo picha za ngono hayo ni ya kwake mwenyewe, Trump kafanya sana masuala ya kishetani enzi zile akiwa karibu na ma-miss lakini wamarekani hawakuangalia masuala yake binafsi walitazama sera zake za kumtanguliza kwanza mwananchi wa marekani na maslahi yake.
 
Chadema mliandaa kura feki mkashindwa kuingiza kwenye sanduku sasa mnazichoma
Hiyo access ya ballot papers Chadema wanaitoa wapi? So unataka kuniambia NEC ni fraud[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mtapika data sana, nenda kwenye vituo vya kupigia kura, hiyo idadi mliyopika ya 29m+ inawaumbua. Kuna wapiga kura wachache kupita maelezo. Watu wamepuuza huo utoto uitwao uchaguzi.
Wewe umepiga kura au uko mtandaoni kuzusha uongo? Nyie wenyewe mlikuwa mnapiga kelele kuwa mtajitojeza kwa wingi Sasa inakuwaje Tena mnasema watu wamepuuza? Very stupid...kwa hiyo wale waliokuwa kwenye mikutano ya kibaraka wa mabeberu nao wamepuuza au tuseme hawakuwa wapiga kura?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…