Kawe leo hii kuanzia Saa 1 hadi Saa 3 Usiku kulitokea nini hadi MP wa JWTZ Kufurika, Kukamata Watu, Kutembeza Kichapo na Kuzua taharuki?

Kumetokea nini maeneo ayo mkuu
 
Htr vijana tumechafukwa
 
Magari yamepita asubuhi Mzee wewe umelala yamepita malori kibao yamebeba wanajeshi yanatoka Lugalo, endelea kulala wao hawalali wanakulinda wewe na mipaka ya Nchi yako
Wanajitolea au wanalipwa?
Mkuu nijuavyo mimi,wanajeshi wanalipwa mishahara na posho kwaajili ya kutimiza majukumu ambayo yanawapasa.Mimi nawewe,tunalipa kodi,ambazo hizo kodi zinalipwa kwa kila askari wa JW na kada nyingine.Ukisema sisi tumelala,wengine wanatulinda,hujui kuna bodaboda wanakesha pia,kutafuta pesa au kuna madaktari wanafanya C-section usiku huu na yawezekana wakakesha,huku baadhi ya wanajeshi ambao hawako shift usiku huu,wamelala au wanalewa?
Heshimu kila mtanzania.Tunaumia kulipa kodi,ili mambo yaende,kila mtu anapambana kwa nafasi yake.
 
Duuh inasikitisha sana kama ni kweli ila hawa jamaa muda mwingi wanakosea mengi kwa kujiona hawagusiki........sasa kama nikweli mtu mwenye mafunzo mpaka cheo hiki anakufa kibwege namna hii? Kwasababu ya parking? Afande gani mwenye mafunzo na inaonyesha alikuwa senior jeshini anakosa busara na hekima kiasi hiki.
 
Sema washua wenye mamlaka huwaga wanajisahau sana , Kuna video nmeona mtandaoni Kuna dogo alikua anaendesha ist alichomekeana na land cruiser flan nyeus jamaa akaamza kumletea ubabe wa ki CIA dogo road kila akienda huku jamaa linamzibia njia dogo akaenda TikTok live akawa ana broadcast the whole shit maana alishahis hatari jamaa kufika makumbusho aka block njia akashuka kwa gar akaonekana na suti yake ya uzalendo nadhan alipigia wadau wakatoka mule chimbo lao la idara wakamuongoza dogo kuingia tunduni aku anaendelea kurusha mubashara tukio watu wa mabaka ya kenge wakashtukia kama mwamba anawarekodi ndo nkajua kabisa mwamba kaisha mule ndani kamera hapapatani kabisa na msala wa dogo sidhan ata familia yake kama inaweza kuusovu labda kwa vile sura za wahusika ziko online zinaweza kutumika kwenye mahakama za jadi kupata haki kama hakuachiwa lakin
 
Ushamba huu hufanyika Tanzania tu
 
Pole sana kwa familia ya marehemu.Tukio hilo,litumike kama funzo kwa waliobaki,kupiga wananchi,siyo vema,unampiga mtu makofi,akiriakti?
Inasikitisha sana,unaacha familia hivihivi,ulifunzwa kupambana na adui hasa mwenye bunduki au bomu,leo unauawa na bisibisi,aisee.
 
Huyo bajaji man atateswa sanaaaa kabla ya kupotezwa..atapata kifo Cha mateso otherwise mamlaka za juu za jeshi ziingilie ....maana hiyo kesi najua haitaenda polisi itamalizwa hapo jeshini....
Hata akipelekwa polisi,lazima afungwe maisha au akiwa na wakili mzuri, anaweza akahukumiwa kifungo kirefu kwa kosa la kuua bila kukusudia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…