Kawe leo hii kuanzia Saa 1 hadi Saa 3 Usiku kulitokea nini hadi MP wa JWTZ Kufurika, Kukamata Watu, Kutembeza Kichapo na Kuzua taharuki?

Kawe leo hii kuanzia Saa 1 hadi Saa 3 Usiku kulitokea nini hadi MP wa JWTZ Kufurika, Kukamata Watu, Kutembeza Kichapo na Kuzua taharuki?

Baadhi ya raia ni wajinga sana wanatumia mihadarati mda wote alafu eti na yeye ni dereva bodaboda, mda wote mtu kaweka ugoro mdomoni akipumzika kavuta bangi akipumzika energy drink akipumzika anakula mirungi akipumzika Sungura hapingwi, pumbavu kwanini usipigwe makofi?
Mpige makofi ule bisibisi ya moyo ukapigiwe saluti na mizoga huko makaburini. Maisha hayana ubabe hekima na nidhamu binafsi ni Heri kuliko. Haya kafaidika nn na mibao yake??? Mvuta bangi always maisha yake ni km mfu kila siku bora ya jana haya huyo kaacha cheo, mke, familia, mshahara mzuri na marupurupu, sifa na kupigwa saluti, nk kwa ajili ya kukosa nidhamu binafsi. Nani kapoteza zaidi.??
 
Hakuna tofauti ya hawa MP na wahuni wengine,
Akili kidogo, kama za kuku, hawa wajeshi wa siku hz, ni wa Levi, mbwa,siku zote kawe imejaa vibaka wengi, na wanajeshi, wengi wanaoishi pale, ni walevi walevi,
Eneo ni makazi ya wanajeshi wengi wa vyeo vya chini,Ila ndio kuna uharifu wa kutisha, wameshindwa kabisa kutatua tatizo, LA uharifu kawe, na hii sio Mara ya kwanza kwa mtu kuuliwa.
 
Ningekuwa mimi ndiyo Kanali, baada ya kuulizwa na dereja bajaji kwa nini nimemkinga, ningemwambia, "ooh sory kijana, ngoja nitoe gari langu upite" halafu nikasepa, kuliko kushuka kwenye gari na kumzaba kofi kijana aliyevurugwa.

Halafu kwa nini huyo kijana alishindwa kukimbia ili wahangaike kumtafuta?
 
Ningekuwa mimi ndiyo Kanali, baada ya kuulizwa na dereja bajaji kwa nini nimemkinga, ningemwambia, "ooh sory kijana, ngoja nitoe gari langu upite" halafu nikasepa, kuliko kushuka kwenye gari na kumzaba kofi kijana aliyevurugwa.

Halafu kwa nini huyo kijana alishindwa kukimbia ili wahangaike kumtafuta?
Hiyo ndiyo busara inaitwa

Ova
 
Kuna mwanajeshi mkubwa nimekutana nae asubuhi hii yupo very frustrated how come raia mnakua na uadui na wanajeshi wa Nchi yenu why muwadharau watu wanaowalinda why mnawaonyesha dharau kiasi cha kuanza kuwaua wakianza kujibu mapigo mtaanza kulialia maana hawashindwi Ila taratibu na kanuni zao zinawabana, sio fair hata kidogo kwanini usimsikilize hata km kablock njia na mmepishana kauli ndio uchukue maamuzi ya kumuua?
Ila wewe jamaa bhana😀😀😀ni masikitiko kwakweli!
 
We jamaa unaonekana mshamba, mjinga halaf huna self discipline,. Endeleeni na ubabe Wa kifala kila mtu amuheshimu mwenzie nchi sio yenu tu. Raia wakichoka tutayasikia mengi na ushamba wenu. Kataa kubali hasara ni kwa huyo aliyekufa huyo boda anaishi km kafa hana cha kupoteza haya afande akajimwambafai kaburini
Pumbavu
 
Hawa SI huwa tunawaona waki showcase kupangua visu kwa mateke kwenye shrehe za uhuru ? Babu yangu aliniwahi niambia " mjukuu wangu watu watemi au wababe hawadumu"
 
Magari yamepita asubuhi Mzee wewe umelala yamepita malori kibao yamebeba wanajeshi yanatoka Lugalo, endelea kulala wao hawalali wanakulinda wewe na mipaka ya Nchi yako
Sasa pale Kawe Kuna mpaka gani mkuu?tusaidie
 
Inasemekana ( kwa aliyenipa Taarifa Kamili kuwa ) Dereva Bajaji jana Usiku katika Baa Moja maarufu iliyo kwa ndani ( Mafichoni kidogo ) mkabala na Petro Station ya PUMA Kawe alipishana Kauli na Mwanajeshi ( tena Mkubwa wa Cheo cha Kanali ) kuhusu Kuzibiana njia ya kupita.

Ambapo Afande Kanali alikuwa Kapaki Gari lake lililokuwa limezuia njia kwa mbele na Dogo ( Dereva Bajaji ) kuhoji kwanini Afande aliziba njia hali iliyomkwaza Afande ( wa Cheo cha Kanali Muro kama sijalikosea Jina lake ) ambapo Afande Kanali akatoka ndani ya Gari lake na Kumzaba Makofi Dereva Bajaji huyo.

Kisha nae ( Dereva Bajaji ) kwa Hasira akaamua kwenda kuchukua Bisibisi Bajajini Kwake na kuja Kumchoma nayo Afande Kanali upande wa Moyo hali iliyomfanya akimbizwe Lugalo Hospital kwa Matibabu na Umauti kumkuta huko huko Wodini.
Duh!!!,Ila Wanajeshi wa Bongo Chenga sana.Sasa km umekosea usiambiwe kisa Mjeda?,Ona sasa anaacha familia Kwasababu ya kukosa unyenyekevu.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Ametaka kumchukulia poooa
Ameambiwa mshua sogeza gari nipite
Akaanza ooh sikupishi, kwanza unanijuuaaa
Akamtandika Dogo mibao ya usoni
Ndipo Dogo akamwambia we mzee Hapa umeyakanyaaga
Ngoja nilete bisibisi nije nikafungue moyo kama injinii
Kanali Ameyatimbaa aaaaah ameyatimbaa ooooh ameyatimbaa
Tokoto tokotototo tokoto tokoto tokotototo......
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanajeshi inatakiwa tabia yao wajirekebishe yani sio zuri waonevu sana, sasa ukute tu mtu mahati baya, kakosea njia pori lao maskini mtu kapotea, baada yakwamba apate mshaada kutoka kwao kama jeshi la wananchi inavyotamkwa, atakutana na adhabu kali ambayo hajawahi pata, au nusu kifo na kifo kamili. Na mengine mengi tu jeshi linafanya kwa raia adhabu za kikatili sana.
 
Back
Top Bottom