Kawe leo hii kuanzia Saa 1 hadi Saa 3 Usiku kulitokea nini hadi MP wa JWTZ Kufurika, Kukamata Watu, Kutembeza Kichapo na Kuzua taharuki?

Kawe leo hii kuanzia Saa 1 hadi Saa 3 Usiku kulitokea nini hadi MP wa JWTZ Kufurika, Kukamata Watu, Kutembeza Kichapo na Kuzua taharuki?

Ni kweli kabisa,kuna majibizano ya kijinga tu yanaweza kuleta maafa.
Natoa mfano.
Kuna bwege mmoja bouncer hivi ana bibi yake mrangi ni mzuri ila umwangalie sana.
Sasa jamaa akawa anamfata mitaa yake ya kazi(changudoa) tena wale wa barabarani kabisa
Mara siku kuna Mwamba katoka zake huko,
Hakua na huyo bibi,
Bibi yuko mbele jamaa anakuja nyuma yake nae katoka kwingine kabisa.
Yule Bouncer kuona wanakuja wameongozana kajua huyu ndo mgoni wake kwa( changudoa)
Kamrukia mshkaji pigana sana,
Alipoona unga unazidi kavunja chupa kaanza kumchana nayo jamaa tumboni.
Bahati nzuri bibi yake mwenyewe alikimbilia kusema kwa watu kijiweni kuna mtu anauliwa huku
Likaja Nyomi kufanya uokozi.
Bouncer kakimbia.
Yule jamaa katibiwa kapona baada ya muda sana akaenda eneo la tukio ,kamkuta yule mwanamke kwanza kamtafuna na mwanamke akatoa tips zote za jamaa yake.
Yule bouncer kilichomkuta anakijua mwenyewe.
Ndo tunasema usimchokoze mamba akiwa kasinzia.
Akiamka utatafuta pa kutokea.
KAPAFONA
Maisha haya
Hii iliwahi nitokea kiwanja popular sana hapo mjini Daslam, nimetoka kula vyombo mida around saa tisa usiku nikampa demu funguo za gari atangulie kwenye gari, mimi nikaenda kwanza washroom,
wakati narudi natokea mlango wa exit nisepe, mbele yangu kulikua na mdada so tukawa kama tunaongozana, kumbe jamaa yake alikua nyuma kidogo na alihisi niko na yule demu wake,
lahaula, nilipigwa ngumi moja ya mgongo vuuup chini, ile nanyanyuka nikaongezewa teke, nikarudi tena chini, jamaa anataka kuniongezea na chupa ya kichwa, Mungu saidia nikaishika,
kumuuliza shida nini mzee, ananiambia kwann unaondoka na demu wangu, na viingereza vingi, you know am sijui nani, nikampigia demu wangu simu akaja, nikamuuliza mbona mm demu wangu huyu hapa mzee,
Yule jamaa nilichomfanya Mungu anisamehe,

ninachokumbuka alikimbia akaacha viatu, kaacha demu, simu, na funguo ya gari pia aliacha pale chini, na nasikia ile gari ilikaa pale siku mbili bila jama kurud,
demu wake alilia sana, mpaka huruma, lakin alikiri jamaa yake alikua na makosa maana hata demu hatukua tunafahamiana
pamoja na kumsulubu lakini kesho yake nilitafakari sana hv jamaa wakati amenivaa bila mm kujua angenipiga nikadondoka vibaya labda nikafa ingekuaje, wangesema aliniua bila kukusudia maana mimi nilikua sina habari wala hatia yoyote

fakamia fakamia watu, kifo kinakuita
 
POLISI kazi yao nini kama JWTZ na MP wanazagaa kuwavaaa raia kwa makosa ambayo yanaweza tolewa hukumu mahakamani na vituo vya polisi?

Sawa kukosea kupo ila kilichofanyika ni kuonyesha kwamba Hii nchi unaweza miliki JESHI uwe tu na sauti ya kusikilizwa, hata vinyota anaweza kuja kwako kumkamata kibaka alovunja dirisha lako.
 
Inasemekana ( kwa aliyenipa Taarifa Kamili kuwa ) Dereva Bajaji jana Usiku katika Baa Moja maarufu iliyo kwa ndani ( Mafichoni kidogo ) mkabala na Petro Station ya PUMA Kawe alipishana Kauli na Mwanajeshi ( tena Mkubwa wa Cheo cha Kanali ) kuhusu Kuzibiana njia ya kupita.

Ambapo Afande Kanali alikuwa Kapaki Gari lake lililokuwa limezuia njia kwa mbele na Dogo ( Dereva Bajaji ) kuhoji kwanini Afande aliziba njia hali iliyomkwaza Afande ( wa Cheo cha Kanali Muro kama sijalikosea Jina lake ) ambapo Afande Kanali akatoka ndani ya Gari lake na Kumzaba Makofi Dereva Bajaji huyo.

Kisha nae ( Dereva Bajaji ) kwa Hasira akaamua kwenda kuchukua Bisibisi Bajajini Kwake na kuja Kumchoma nayo Afande Kanali upande wa Moyo hali iliyomfanya akimbizwe Lugalo Hospital kwa Matibabu na Umauti kumkuta huko huko Wodini.
Kama ni kweli iwe fundisho kwà wenzake
 
Maisha haya
Hii iliwahi nitokea kiwanja popular sana hapo mjini Daslam, nimetoka kula vyombo mida around saa tisa usiku nikampa demu funguo za gari atangulie kwenye gari, mimi nikaenda kwanza washroom,
wakati narudi natokea mlango wa exit nisepe, mbele yangu kulikua na mdada so tukawa kama tunaongozana, kumbe jamaa yake alikua nyuma kidogo na alihisi niko na yule demu wake,
lahaula, nilipigwa ngumi moja ya mgongo vuuup chini, ile nanyanyuka nikaongezewa teke, nikarudi tena chini, jamaa anataka kuniongezea na chupa ya kichwa, Mungu saidia nikaishika,
kumuuliza shida nini mzee, ananiambia kwann unaondoka na demu wangu, na viingereza vingi, you know am sijui nani, nikampigia demu wangu simu akaja, nikamuuliza mbona mm demu wangu huyu hapa mzee,
Yule jamaa nilichomfanya Mungu anisamehe,

ninachokumbuka alikimbia akaacha viatu, kaacha demu, simu, na funguo ya gari pia aliacha pale chini, na nasikia ile gari ilikaa pale siku mbili bila jama kurud,
demu wake alilia sana, mpaka huruma, lakin alikiri jamaa yake alikua na makosa maana hata demu hatukua tunafahamiana
pamoja na kumsulubu lakini kesho yake nilitafakari sana hv jamaa wakati amenivaa bila mm kujua angenipiga nikadondoka vibaya labda nikafa ingekuaje, wangesema aliniua bila kukusudia maana mimi nilikua sina habari wala hatia yoyote

fakamia fakamia watu, kifo kinakuita
Bahati yako ulikuwa na nguvu, angekuzid ww habar yako ndio ingeishia hapo
 
Inasemekana ( kwa aliyenipa Taarifa Kamili kuwa ) Dereva Bajaji jana Usiku katika Baa Moja maarufu iliyo kwa ndani ( Mafichoni kidogo ) mkabala na Petro Station ya PUMA Kawe alipishana Kauli na Mwanajeshi ( tena Mkubwa wa Cheo cha Kanali ) kuhusu Kuzibiana njia ya kupita.

Ambapo Afande Kanali alikuwa Kapaki Gari lake lililokuwa limezuia njia kwa mbele na Dogo ( Dereva Bajaji ) kuhoji kwanini Afande aliziba njia hali iliyomkwaza Afande ( wa Cheo cha Kanali Muro kama sijalikosea Jina lake ) ambapo Afande Kanali akatoka ndani ya Gari lake na Kumzaba Makofi Dereva Bajaji huyo.

Kisha nae ( Dereva Bajaji ) kwa Hasira akaamua kwenda kuchukua Bisibisi Bajajini Kwake na kuja Kumchoma nayo Afande Kanali upande wa Moyo hali iliyomfanya akimbizwe Lugalo Hospital kwa Matibabu na Umauti kumkuta huko huko Wodini.
marehemu mchokozi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli yametokea ila tumwachie mwenyezi mungu kwani ndiye ajuaye siri na kesho yetu ikoje.JWTZ ni taasisi ya serikali ambayo hufuata taratibu,sheria na kanuni za kuiongoza taasisi hiyo,kwa hiyo tuwapende wanajeshi wetu sio kutokana na sintofahamu za baadhi ya wanajeshi wetu ndio ionekane taasisi yote haieleweki.MWENYEZI MUNGU TUJALIE TUDUMISHE UPENDO BAINA YETU NA WANAJESHI WETU ILI TUWEZE ISHI KWA AMANI KUBWA NA KUILINDA MOJAWAPO YA TUNU YETU MUHIMU"AMANI".KWANI AMANI NDIO INAFANYA TUFURAIE UHAI TULIO PEWA NA MWENYEZI MUNGU
Ni wajinga. Wangetumia akili wala yasingetokea. Nani anakupa haki ya kumpiga mtu Kofi? Huko ni kushambulia. Kwa hiyo kesi marehemu kajitakia. Na huko kuwapiga raia ambao hawakuwepo, hawajua kilichoendelea, wala hakiwahusu? Upumbavu ni pamoja na kufikiria una haki kuliko mwenzako. Naamini matokeo yake mmeyaona. Roho za watu zimepotea Bure.
 
Inasemekana ( kwa aliyenipa Taarifa Kamili kuwa ) Dereva Bajaji jana Usiku katika Baa Moja maarufu iliyo kwa ndani ( Mafichoni kidogo ) mkabala na Petro Station ya PUMA Kawe alipishana Kauli na Mwanajeshi ( tena Mkubwa wa Cheo cha Kanali ) kuhusu Kuzibiana njia ya kupita.

Ambapo Afande Kanali alikuwa Kapaki Gari lake lililokuwa limezuia njia kwa mbele na Dogo ( Dereva Bajaji ) kuhoji kwanini Afande aliziba njia hali iliyomkwaza Afande ( wa Cheo cha Kanali Muro kama sijalikosea Jina lake ) ambapo Afande Kanali akatoka ndani ya Gari lake na Kumzaba Makofi Dereva Bajaji huyo.

Kisha nae ( Dereva Bajaji ) kwa Hasira akaamua kwenda kuchukua Bisibisi Bajajini Kwake na kuja Kumchoma nayo Afande Kanali upande wa Moyo hali iliyomfanya akimbizwe Lugalo Hospital kwa Matibabu na Umauti kumkuta huko huko Wodini.
Duuuh hii hatarii sasa.
 
R.I.p kanali.............
Inavyosemekana dereva bajaji anaundugu na kigogo mkubwa tu hapa bongo.....so ngoma inaenda kua drooo........waswahili wanasema ukiyajuaaa ya mbele wenzako wanajua ya nyuma....
Na uyo kigogo kasema dogo asiguswe hata na kidole ataua mtu............
Kigogo ana udugu na jamaa dereva bajaj? Au Dereva wake??
 
Kuwachokoza nani hivi unajua sisi mademu zetu wengine ni wanajeshi?
Mademu zenu wengi wanajeshi inahusiana nini na mada mezani? Mada mezani ni raia kufanya mauaji ya mwanajeshi, suala la mademu wenu wanajeshi wapo wanajeshi wanawagongea dada zenu pia ambao sio wanajeshi una kingine cha kuongea?
 
Kawe uswahili kinoma kuanzia ukwamani mpaka maringo ukiingia kule ndani ndani kuna tisha, nyumba hazina mpangilio vichochoro sasa, vibaka wa kukata madirisha wako tele, watoto wasela wamama wasela wababa nao wasela pamoja na dada poa kibao wachafu wachafu, mitaro ya maji machafu sasa daah tabu tupu kule magonjwa ya mlipuko nje nje!
Wauza vitumbua, mamalishe wachafu wachafu na wauza samaki wa kukaanga vumbi kibao, kule wachawi watakuwa wengi sana, waganga wa kienyeji tele!!!
Wamama/wadada wasio na shughuli za kufanya wanaongoza kwa kukopa kausha damu [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Magari yamepita asubuhi Mzee wewe umelala yamepita malori kibao yamebeba wanajeshi yanatoka Lugalo, endelea kulala wao hawalali wanakulinda wewe na mipaka ya Nchi yako

Ni kazi yao. Kila mtu ana kazi yake ambayo inamfanya halali kwaajili ya wengine. What’s your point?
 
Msifanye hivyo tusije baki na makuruta nchi nzima
Baadhi ya raia ni wajinga sana wanatumia mihadarati mda wote alafu eti na yeye ni dereva bodaboda, mda wote mtu kaweka ugoro mdomoni akipumzika kavuta bangi akipumzika energy drink akipumzika anakula mirungi akipumzika Sungura hapingwi, pumbavu kwanini usipigwe makofi?
 
Back
Top Bottom