Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 3,012
- 4,300
Ukipita mitandaoni na mitaani, utaona wanasimba wanalalamika wameonewa na mwamuzi sababu kubwa zao ni 1) wamenyimwa penati mbili za Kibu, na faulo iliyozaa goli haikuwa faulo ya maana.
Kwenye swala la penati ambayo ni halali ni moja tu na sio mbili kama inavyodaiwa. Ile moja ni faulo iliyochechezwa nje ya kumi na nane ila Kibu akadondekea ndani ya 18 hivyo ni maamuzi sahihi refa kuweka faulo. Kwenye swala la penati alkadharika Yanga walinyimwa penati baada ya Camara kucheza miguu ya mchezaji wa Yanga badala ya mpira.
Hamza alikuwa ni mtu wa mwisho, na Dube alikuwa ameshamuacha kwa mbio, ila akamua kung'ang'ania jezi ya Dube tukio ambalo kisheria alipaswa kula kadi nyekundu moja kwa moja.
Sasa mkimlamikia Kayoko, mkumbuke na msaada wake kwenda upande wenu wa Simba maana amewasaidia pia.
Kwenye swala la penati ambayo ni halali ni moja tu na sio mbili kama inavyodaiwa. Ile moja ni faulo iliyochechezwa nje ya kumi na nane ila Kibu akadondekea ndani ya 18 hivyo ni maamuzi sahihi refa kuweka faulo. Kwenye swala la penati alkadharika Yanga walinyimwa penati baada ya Camara kucheza miguu ya mchezaji wa Yanga badala ya mpira.
Hamza alikuwa ni mtu wa mwisho, na Dube alikuwa ameshamuacha kwa mbio, ila akamua kung'ang'ania jezi ya Dube tukio ambalo kisheria alipaswa kula kadi nyekundu moja kwa moja.
Sasa mkimlamikia Kayoko, mkumbuke na msaada wake kwenda upande wenu wa Simba maana amewasaidia pia.