Mtini
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 1,492
- 2,361
hawa panya road wanajizima dataHamza alitakiwa apewe redcard baada ya kumchezea rafu dube dakika ya 50 ila alipewa yellow card
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawa panya road wanajizima dataHamza alitakiwa apewe redcard baada ya kumchezea rafu dube dakika ya 50 ila alipewa yellow card
Mbumbumbu hawamtaki Araniga wanasema anawafungishaIle mechi ya ngao ya jamii alikataa magoli mawili ya Yanga na baadae akakataa penalty ya simba ya wazi dakika za mwishoni na alifanya vile ili abalance baada ya kuwanyima magoli mawili ya wazi
Hizi mechi zinamfaa Ahmed Arajiga sababu yule kwenye white anasema hii ni white na kwenye black anasema hii ni black hanaga mambo ya kubalanceBu
Wao wakishinda kwa utata wanasema ubaya ubwela wanasahaua what goes around comes aroundUnazi upi yaani simba mnahisi nyie ndo mnaonewa huku mechi mechi vs azam magoli yote mawili ni ya offside