Ile mechi ya ngao ya jamii alikataa magoli mawili ya Yanga na baadae akakataa penalty ya simba ya wazi dakika za mwishoni na alifanya vile ili abalance baada ya kuwanyima magoli mawili ya wazi
Hizi mechi zinamfaa Ahmed Arajiga sababu yule kwenye white anasema hii ni white na kwenye black anasema hii ni black hanaga mambo ya kubalanceBu