Kazi inaendelea, kilichobaki ni kwenda na Rais Samia. 2025 ni kumuunga mkono kwa nguvu zote

Kazi inaendelea, kilichobaki ni kwenda na Rais Samia. 2025 ni kumuunga mkono kwa nguvu zote

Hata Tz tusingekuwa na Rais, bado miradi ingekuwepo. Miradi ni kodi za wananchi na haihitaji hata uwepo wa Rais. It is too cheap kumpima Rais Samia kwa miradi iliyopo sasa, infact hata kama kigezo cha uongozi wake kiwe ni miradi, obvious Samia ataonekana amefeli vibaya. Kwanini? Miradi mingi mikubwa bado imelala, haitekelezeki au imejaa upigaji wa kiwango cha kutisha.
 
Ziara za mh zimepooza sana na hazina mvuto.Nimeangalia hapa anawauliza wananchi nani anamjua mpango?wananchi hamna hata mmoja aliyeitikia au kunyosha mkono hadi akaona aibu akanyamaza tu
Angewauliza Kirundi wamgezizima "turammenyaa!!"

The country is gone

icon_lol.gif
 
Hata Tz tusingekuwa na Rais, bado miradi ingekuwepo. Miradi ni kodi za wananchi na haihitaji hata uwepo wa Rais. It is too cheap kumpima Rais Samia kwa miradi iliyopo sasa, infact hata kama kigezo cha uongozi wake kiwe ni miradi, obvious Samia ataonekana amefeli vibaya. Kwanini? Miradi mingi mikubwa bado imelala, haitekelezeki au imejaa upigaji wa kiwango cha kutisha.
Lazima isimamiwe vyema na mkuu wa nchi.
 
Mkuu huoni kazi anyoifanya Mama Samia?

Sioni bali naona anafanya wajibu wake anaolipwa mshahara. Yaani sioni ajabu yoyote zaidi ya utekelezaji wa kawaida kabisa wa majukumu yake. Huenda ww unaona kama ni maajabu, lakini ni utendaji wa kawaida kabisa ambao siwezi kupoteza muda kusifia.
 
Zitaliwa vipi na miradi inatekelezwa

Kutekelezwa ni jambo moja, value for money unaijua? Au ukiona mradi tu basi ni ushahidi pesa haijaliwa? Unajua thamani ya hiyo miradi, na audit imefanyika kujua gharama halisi zilizotumika na kilichopo?
 
Back
Top Bottom