Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,082
Lazima kuangalia itakuwa na umuhimu upi?. Tazara mfanyabiashara gani atapanda?. Ona ilivyokuja fast jet wafanyabuashara wengi toka Zambia walikuwa wamaijaza zile ndege za fastjet. Kuna baadhi ya msimu mpaka alikuwa anakodi ndege zingineMbeya tazara inawatosha